• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Mohamed Hassan Moyo akisisitiza jambo katika kikao cha lishe.

Imewekwa : July 7th, 2021

“WATENDAJI TOENI ELIMU KWA JAMII YENYE KULETA TIJA YA MAPAMBANO DHIDI YA UDUMAVU” AAGIZA MH. MOHAMED HASSAN MOYO DC IRINGA.

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Mohamed Hassan Moyo amewaagiza watendaji,Wajumbe na Wadau wa masuala ya lishe  kujitoa muhanga katika kutokomeza udumavu na utapiamlo katika maeneo yao ili kutokomeza kabisa tatizo hilo.

Kauli hiyo ameitoa wakati wa kikao cha robo ya nne cha Aprili - Juni kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano ofisini kwake Julai 7, 2021 kikao ambacho ni cha tathimini ya utekelezaji wa viashiria vya mkataba wa lishe ngazi ya jamii.

Mh. Moyo amewataka washiriki wa kikao cha kamati ya lishe kuhakikisha wanazingatia lishe bora kwa watoto na wakina mama wajawazito kabla ya kujifungua ili kuleta matokeo chanya kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

"Natamani kikao kijacho cha tathimini nione mabadiliko na nipate muhtasari wa utekelezaji wa maadhimio ulipofikia hasa katika kuhamasisha wananchi kupambana dhidi ya udumavu kupitia Elimu iliyotolewa na matokeo yake" alisema Mh. Moyo

Naye, Afisa lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Bi. Tiliza Mbulla alieleza historia ya mkataba na tatizo la udumavu na utapia mlo  amesema tatizo hilo limekuwa likiathiri zaidi uchumi wa kaya na taifa lakini kupitia uwezo duni wa kufikiri kwa ubunifu na ufanisi kwa muathirika.

Bi.Mbulla alitoa rai wa wajumbe wa kamati ya Lishe kuwa na taarifa sahihi za tatizo la watu wenye udumavu katika Kata zao ili kurahisisha kuwafikia waathirika nan a kupata utatuzi wa haraka wa changamoto hiyo.

Kabla ya kufunga kikao hiko Mh.Moyo amewashauri wajumbe kwenda kuhamasisha shughuli za kilimo katika maeneo yao husani kilimo chenye tija ikiwemo kilimo cha zao la maparachichi ambacho mbali na kutumia kama tunda wanaweza kuuza na kuongeza pato katika kaya na jamii zao kwa ujumla.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa