• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Mohamed Moyo baada ya mahojiano maalum yaliyofanyika ofisini kwake Agosti 16,mwaka huu 2021.

Imewekwa : August 16th, 2021

DC-Iringa aja na ziara ya ulipo nipo itakayoanza mapema Septemba mwaka huu,toa kero na changamoto.

Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano,Iringa -DC)

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Mohamed Hassain Moyo anatarajia kuanza ziara ya kusikiliza kero mapema mwezi Septemba na anaanza na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Mh.Moyo amesema hayo Ofisini kwake leo Agosti 16,mwaka huu wa 2021 na kubainisha kuwa katika ziara hiyo ataambatana na Wataalam wa Idara zote kutoka Halmashauri na migogoro na kero nyepesi zitapaiwa uvumbuzi wa hapo kwa hapo.

“nimeamua kuwafuata wananchi hasa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa jinsi ilivyo kuna uwezekano wapo wananchi wanapata changamoto au wanakero lakini wanashindwa kunifikia nimeamua kuwafuata,kusikiliza na kutatua kero zao na ziara nimeipa jina la ulipo nipo,toa kero na changamoto,sema ukweli na sio majungu”alisema Mh. Moyo.

Kuhusu suala la chanjo Mh.Moyo amesema atajipanga na wataalam wa afya wa Halmashauri ili katika ziara hiyo waweze kuwa na dawa na kwa wananchi watakaokuwa tayari kwa hiyari yao watapatiwa chanjo hiyo.

“Naamini wapo baadhi ya wananchi wanahitaji huduma hii lakini umbaali kutoka katika makazi yao mpaka kufika eneo la kituo cha kutolea huduma imekuwa changamoto sasa kwa waliotayari na kwahiyari ataweza kupata huduma hii katika ziara yangu ninayotarajia kuanza mwezi Septemba ambayo ni ziara ya Kijiji kwa Kijiji awali nilifanya ziara ya Kata kwa Kata”alisema.

Nataka wananchi wote wenye kero na changamoto kujitokeza kuzungumza kero zao na chaangamoto zao ila wasimuonee mtu wala wasifanye majungu.

“Mh. Rais ameniteua kuja kuwatumikia wananchi ikiwemo kusikiliza na kutatua kero zao na sio kuja kukaa ofisini ili viongozi wa kitaifa wakipita wakutane nazo”alisema Mh.Moyo.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa