• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Mohamed Moyo mwenye miwani akifutilia uwasilishaji wa taarifa ya zoezi la utoaji chanjo ya UVIKO -19

Imewekwa : December 1st, 2021

DC-Moyo atoa rai, Wananchi nendeni katika Zahanati na Vituo vya Afya mkapate chanjo ya UVIKO-19.

Mwenyekiti wa Kamati ya Afya ya Msingi na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Mohamed Moyo ametoa rai kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kuendelea kujitokeza kupata chanjo ya ugonjwa wa UVIKO-19 ili kuimarisha kinga za miili yao dhidi ya ugonjwa huo.

Amesema hayo Novemba 30 katika ukumbi wa siasa ni kilimo ambapo alikuwa akifanya kikao cha mwezi cha Kamati hiyo ambapo taarifa ya Utekelezaji wa zoezi la Utoaji wa chanjo ya UVIKO-19 katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Akitoa taarifa ya mwenendo wa chanjo hiyo Mratibu wa chanjo wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Bw. Sospeter Tiyara amesema kwa sasa muitikio ni mkubwa ukilinganisha na awamu ya kwanza ambapo wananchi wengi walikuwa hawana uelewa wa kutosha sambamba na kushibishwa taarifa potofu kutoka katika baadhi ya mitandao ya kijamii.

Hadi kufikia 29 Nov 2021 Halmashauri ya Wilaya imetumia dozi 4572 sawa na 68.58% ambayo jumla ya wateja waliochanja aina ya JANSSEN na awamu ya pili ya chanjo aina ya SINOPHARM kati ya dozi 6667 zilizopokelewa kutoka katika Ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa.

“Mkuu wa Wilaya katika ziara yake ya ulipo nipo alikuwa akitoa elimu na uhamasishaji wa kuchanja katika kila kijiji alichopita ambapo alikuwa akifanya mikutano ya hadhara,lakini pia Mbunge wa Jimbo la Ismani Mh.William Lukuvi na Viongozi mbalimbali wa kisiasa walifanya uhamasishaji wa zoezi la chanjo ya Uviko-19”alisema Bw.Tiyara.

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa