• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Richard Kasesela akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua baraza la watoto la Halmashauri ya Wilaya

Imewekwa : October 20th, 2020

World Vision na SOS wafanikisha uzinduzi wa Baraza la Watoto Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

Na Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano, Iringa-DC)

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Richard Kasesela leo Oktoba 20 amezindua Baraza la watoto la Halmashauri ya Wilaya ambalo lina jumla ya wajumbe 56 ambao ni wawakilishi kutoka Mabaraza ya Kata.

Akizungumza katika uzinduzi huo Mh.Kasesela amesema Mabaraza hao yatumike kufikisha sauti kwa jamii na wahusishwe katika kutoa mawazo yao hasa katika vikao na mikutano ya vijiji na Kata ili kuwajengea uwezo wa kujiamini na kuweza kujitetea.

“Baadhi ya Wazazi wamekuwa wakiwachukia watoto bila sababu,ni tabia ambayo baadhi ya wazazi wanayo ya kutolipa uzito suala la malezi kwa watoto nah ii pia,inachangia katika makuzi ya motto hupelekea hata udumavu kutokana na mtoto kukosa upendo wa wazazi wake huku wengine wakijikita katika ulevi ulio kithiri”alisema.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Mganga Mfawidhi Dkt Samuel Marwa amewapongeza wadau wa World Vision na SOS kwa kujitoa kwao katika kuunga mkono jitihada na juhudi za Halmashauri katika masuala ya watoto kwani sio tu katika kufanikisha baraza hilo bali wamewezesha watoto waishio katika mazingira duni kupata bima yay a Afya kwa kaya zaidi ya elfu moja.

“Kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji napenda kutoa shukurani zetu za dhati kwa wadau wote wanaoshirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa katika kufanikisha masuala mbalimbali ya kijamii husasani katika sekta ya Elimu,Afya na Uatawi wa Jamii”alisema Dkt.Marwa

Naye Mwenyekiti wa Baraza la watoto la Halmashauri ya Wilaya  mwanafunzi wa shule ya Sekondari Tanangozi Theresia Msemwa amewaomba wazazi wawaruhusu watoto waweze kushiriki katika masuala yanayohusu watoto ilikuweza kukua kwa kujitambua na kuweza kijisimamia.

 

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa