• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Msemaji Mkuu wa Serikali, Azungumza na Vyombo vya Habari Iringa

Imewekwa : February 1st, 2024

Msemaji Mkuu wa Serikali Azungumza na Vyombo vya Habari

Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Mobhare Matinyi, amefanya mkutano Mkoani Iringa ili kuzungumza na vyombo vya Habari Mkoani humo Februari 01, 2024.

Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa ukiwa na lengo la kutoa nafasi kwa wananchi kujua Serikali inafanya nini.

Ndugu Matinyi amesema, “Rais na Serikali yake wanahakikisha Watanzania wanawasikia na kuwafikia katika kukata kiu ya maendeleo wanayoyatarajia. Fedha nyingi zimetolewa kwa ajili ya kutekeleza miradi na kwamba mafanikio yameonekana kama ujenzi wa shule mpya za Msingi na Sekondari, Zahanati, Vituo vya Afya, Hospitali na vifaa vyake, yote haya wananchi wanatakiwa kujua”.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendengo akitoa taarifa ya Mkoa ambayo imetaja kila kona kuanzia ukubwa wa Mkoa na usalama wake amesema, “shukrani za pekee ziende kwa Rais Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Awamu ya Sita kwa kuongoza Serikali hii yenye kila aina ya mafanikio”.

Mheshimiwa Dendego ameendelea kusema, “tumepokea mabilioni ya fedha kwa Mkoa wa Iringa ili tuweze kutekeleza miradi katika Nyanja mbalimbali, na wananchi wamepokea kwa mikono miwili. Ujenzi wa shule mbalimbali, ujenzi wa zahanati, vituo vya Afya, Hospitali, barabara, maji na miundombinu ya umwagiliaji, katika Wilaya zote za Iringa”.

Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Iringa wamepata nafasi kila mmoja kuzungumzia Halmashauri yake jinsi ilivyonufaika na utekelezaji wa miradi mbalimbali. Katika Mkutano huo alikuwepo Wakili Bashir Paul Muhoja, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Lain Kamendu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, Charles Fuss, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi, Ayoub Kambi, Mkurugenzi wa Mji Mafinga, na Kastori Msigala, Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa.

Wakurugenzi hao wamemshukuru sana Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwajali wananchi wake.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAZINDUA SHULE MPYA YA SEKONDARI MAKATAPOLA

    May 04, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa