• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

“Mvua ni Baraka lakini Zinaleta madhara Pale Zinapokuwa Nyingi Kupita Kiasi" - Mheshimiwa Mhapa

Imewekwa : December 7th, 2023

“Mvua ni Baraka Lakini Zinaleta Madhara Pale Zinapokuwa Nyingi Kupita Kiasi” – Mheshimiwa Mhapa

Kauli hii imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Stephen Mhapa alipokuwa anatoa taarifa ya hali ya Halmashauri katika Mkutano wa Baraza la Madiwani Siku ya Kwanza kwa Robo ya Kwanza Julai – Septemba, 2023/2024 ambapo umefanyika Desemba 07, 2023 na utaendelea hadi Desemba 08, 2023.

Mheshimiwa Mhapa amesema, “Mvua zimeanza kunyesha kwa kasi, hivyo tuwatangazie wananchi na wakulima wote kwenda kujisajiri katika mfumo ili waweze kupata mbole ya ruzuku kutoka Serikali Kuu”.

Mheshimiwa Mhapa ameendelea kusema kuwa, “Pamoja na kwamba mvua ni Baraka lakini zinakuja na kuleta madhara. Wenzetu wa Kata ya Migoli wamepata maafa ya mafuriko na kusababisha baadhi ya Kaya kukosa makazi na chakula, hivyo tutoe tahadhari za kiusalama kwa wananchi wetu. Pia Kata ya Idodi kuna watoto wawili wamefariki baada ya kutumbukia katika shimo lenye maji mengi yaliyosababishwa na mvua. Nawaomba wananchi wanapotaka kuvuka kwenye makorongo yenye maji, muwe waangalifu sana”

Bada ya taarifa hiyo, wajumbe wa Baraza hilo (Madiwani wa Kata) waliweza kuwasilisha taarifa kutoka kwenye Kata zao, ambapo zimebeba mafanikio na changamoto, na kwamba baadhi ya changamoto zilipatiwa majibu ya moja kwa moja, na nyingine Mwenyekiti alizipokea na kwenda kuzifanyika kazi.

Aidha Mheshimiwa Mhapa amewataka wajumbe wa Mkutano huo kuweka vipaumbele katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kusema kuwa, wanahitaji Watendaji wa Kata na Vijiji waongezwe kwa kutoa ajkwani vijiji vingi havina watendaji, maji safi na salama kwenye Taasisi, mbolea ya ruzuku ije kwa wakati, uhamisho wa watumishi hasa walimu wanaobadilishana kwani imekuwa tatizo, kukatika kwa mawasiliano ya barabara kutokana na mvua nyingi, uchakavu wa majengo ya shule za msingi na umeme kwenye baadhi ya vitongoji na vijiji.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa