• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

“Mwanamke Akiwa wa Hovyo, Baba Anakuwa Hovyo Zaidi” – Mh. Mhapa

Imewekwa : March 7th, 2024

“Mwanamke Akiwa wa Hovyo, Baba Anakuwa Hovyo Zaidi” – Mhe. Mhapa

Kauli hii imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Stephen Mhapa, ambapo alikaimu nafasi ya Mkuu wa Wilaya ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yaliyofanyika Kiwilaya Machi 06, 2024 katika Kata ya Ulanda Kijiji cha Ibangamoyo viwanja vya Shule ya Sekondari Kalenga.

Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani hufanyika kila mwaka tangu kuanzishwa kwake. Katika maadhimisho hayo Wanawake husherehekea kwa namna mbalimbali na pia hukumbushana na kufundishana stadi za maisha.

“Mwanamke ni kila kitu katika familia, mama akilegalega basi kwa asilimia kubwa familia itayumba. Baba peke yake hawezi kulea na kutunza familia. Mama akiwa wa hovyo basi Baba atakuwa hovyo zaidi”. Amesema Mheshimiwa Mhapa.

Mheshimiwa Mhapa amewasisitiza Wanawake hasa Wakristo kusoma aya ya kwenye Biblia ya Petro 1:1-2. Hii itasaidia kila Mwanamke kujikumbusha wajibu wake katika familia.

Naye Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Bi. Rehema Mohamed amesema, “Sisi Wanawake tunasomwa kama barua, basi tusomwe vizuri ili jamii izidi kutuamini na kuiga mifano kutoka kwetu. Kila mafanikio ya Mwanaume yeyote nyuma yake kuna Mwanamke”.

Bi. Rehema ameendelea kusema, Mwanamke anatakiwa kumuombea sana Mwanaume kila anapotoka na kwenda kutafuta, kadhalika na familia nzima, kwani mama ndiye kiongozi wa familia. Kauli mbiu hii inaakisi kuwa mwanamke ni mpambanaji, hivyo jamii inapaswa kumuamini”.

Pamoja na mambo mengi yaliyoongelewa siku hiyo, kulikuwa na burudani za kutosha na kukonga nyoyo za watu.

Katika siku hii, Kauli Mbiu ya mwaka huu inasema “Wekaza kwa Mwanamke Kuharakisha Maendeleo ya Taifa na Ustawi wa Jamii”. 

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa