• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MWANASHERIA IRINGA DC AKITOA MADINI KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

Imewekwa : June 24th, 2022

Mwanasheria Iringa Dc Awapa Madini ya Kiutumishi Watumishi wa Kata ya Idodi

Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mathod Msokele amewataka Watumishi kuwa makini katika utendaji kazi wao wa kila siku kwa kufanya kazi kwa wajibu na haki ili kufikia malengo ya serikali na malengo yao binafsi.

Kazi inapaswa ifanywe kwa weredi na kupenda kurudia kazi, kuihakiki kama iko sawa kabla ya kuituma mahali popote, hii itasaidia kutambua makosa ambayo yanaweza kuwa yamejitokeza na kupelekea kukutwa na hatia, kadhalika kufanya kazi kwa kujituma ili kuepusha mogorogoro inayoweza kuibuka kati ya Muajiri na Mtumishi.

Ameyazungumza hayo ikiwa ni siku ya pili ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika katika Kata ya Idodi alipokuwa akiwasilisha mada ya Wajibu wa Mtumishi wa Umma pia amesisitiza kufanya kazi kwa ubunifu, kwani kufanya kazi kwa mazoea kunapelekea kuzoeleka na hivyo makosa kuwa ni yale yale kila siku.

"Ubunifu ni kutumia mawazo yako ili kujiendeleza kiufanisi zaidi, na ili uweze kujiendeleza vizuri hayo mawazo na yalete ufanisi mzuri zaidi hakikisha unatumia taaluma yako vizuri na uzoefu ulionao kuboresha zaidi, kila siku ya Mungu hakikisha unakuwa mpya".

Usipokuwa mbunifu utakuwa unatumia kila siku mambo ya zamani na kila siku watakuwa wanakuona ni yule yule hatimae utaishia kulaumu tu na kuyaona mazingira ya kazi uliyopo hayastahili na kuanza kudai kuhamishwa bila sababu ya msingi.

Utakuwa unakimbilia kuomba uhamisho kila siku kwa sababu wewe mwenyewe kwanza sio mbunifu ambae unafikiri mambo mapya kila siku na ili wakuone mpya, Ameongeza.

Pia amewataka Watumishi wa Umma kuwa na shauku ya kazi zile wanazokuwa wanazifanya bila ya kutazama changamoto zinazowakabili, shauku inaanza kwa kuipenda kwanza kazi yoyote ile ambayo unaifanya kwani kwa kufanya hivyo kunaleta ufanisi katika kazi, kadhalika amesema kuwa kuna faida kubwa ya kuiwazia mazuri kazi yako na kuiga mfano wa watumishi wengine waliofanikiwa katika kazi zao hii itaongeza ufanisi na kuongeza shauku ya kazi.

Aidha Mwanasheria Method amewataka Watumishi wa Umma kuwa waadilifu, kuacha kujiingiza katika kashfa zozote mbaya kwa kutumia cheo au nyadhifa ya serikali vibaya kuwatapeli, kuwazurumu au kuwanyanyasa wananchi kwa namna yoyote ile kwa kigezo cha cheo au nyadhifa uliyonayo kama Mtumishi wa Umma.

"Tuwe waaminifu, tusiwe waongo, tunapokuwa waaminifu, wawazi bila ya kuficha jambo au kitu basi tunajenga imani nzuri kwa wananchi wanatuamini, unamkuta Mtumishi anaenda kulewa pombe za watu halafu halipi wakimuuliza anasema yeye ni Mtumishi wa Umma hii haikubaliki Watumishi Wenzangu".

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa