• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Iringa Mh.Abel Nyamhanga akipewa maelezo ya mradi na Mhandisi Nicco Kasililika katika eneo la mradi wa kituo cha afya Migoli mwenye shati la njano ni Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Mohamed Hassan Moyo.

Imewekwa : July 22nd, 2021

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi -CCM Mkoa wa Iringa asifu ubora na viwango katika miradi ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa aliyoitembelea na kukagua.

Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano,Iringa – DC)

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi – CCM Mkoa wa Iringa Mh.Abel Nyamhanga ameridhishwa na kazi na ubora wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa kuwa inaonyesha thamani ya pesa.

Mh.Nyamhanga ametoa kauli hiyo Julai 20,mwaka huu wakati akihitimisha ziara yake ya siku moja katika Halmashauri hiyo ambapo amempongeza Mkurugenzi Mtendaji na timu yake kwa kazi nzuri ya ufuatiliaji na usimamizi ambao ndio msingi wa kazi nzuri iliyofanywa katika miradi yote aliyopitia na kusema kuwa ubora huo unakipa heshima kubwa Chama Cha Mapinduzi ambacho kimeahidi katika ilani yake.

“Mh.Mwenyekiti wa Halmashauri,Mkurugenzi Mtendaji na timu yako nawapongeza sana sio rahisi kamati ya siasa kupongeza lakini nitakuwa wa ajabu kama sitalisema hili hap ana kusubiri kifo ndio niseme kuwa aliyesimamia ujenzi huu alifanya vizuri kwa niaba ya Kamati ya Siasa Mkoa tunawapongeza kwa dhati kwa usimamizi mzuri”alisema.

Katika ziara hiyo Mh.Nyamhanga alikagua mradi wa Daraja lililopo Kijiji cha Tosamanga,Bweni la Watoto wenye mahitaji maalum, Vikundi vilivyowezeshwa na asilimia 10 ya makusanyo ya mapato ya ndani,ujenzi wa kituo cha afya Migoli,Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) na ujenzi wa wodi tatu katika hospitali ya Wilaya ya Iringa Igodikafu iliyopo Tarafa ya Pawaga Kijiji cha Mbuyuni.

Aidha akiwa katika ziara hiyo Mwenyekiti Nyamhana aliwapongeza Viongozi wa Halmashauri kwa kutekeleza vyema ilani ya Chama Cha Mapinduzi na kwamba suala hili ni agizo la Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa ambaye ni Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa