• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira Mh Ponsiano Kayage mwenye kofia nyeusi pichani akiangalia skimu ya umwagiliaji ya Mafuruto alipozuru eneo la mradi huo mapema Juni 9 mwaka huu.

Imewekwa : June 11th, 2020

JICA, FAO na RUDI wawekeza katika sekta ya kilimo Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Na Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano,Iringa- DC)

Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira imefanya ziara ya kukagua mradi wa skimu ya umwagiliaji ya Mafuruto na ghala katika Skimu ya umwagiliaji ya Mlenge inayofadhiliwa na mashirika ya Kimatifa .

Akisoma taarifa ya miradi hiyo Kaimu Afisa Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika Bi.Clementina  Kabaka ameeleza kuwa mradi wa skimu ya umwagiliaji Mafuruto umefadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA)  na mradi wa ghala la skimu ya umwagiliaji ya Mlenge unafanywa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) na Taasisi ya RUDI kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya yaa Iringa.

Bi.Kabaka amefafanua gharama za miradi hiyo kuwa ni Skimu ya umwagiliaji ya mafuruto imeghaIimu kiasi cha shilingi milioni 400,965,800/= na ghala la skimu ya umwagiliaji Mlenge ambalo ujenzi bado unaendelea limetegewa kiasi cha 437,005,858.75/= ambapo mpaka sasa Mkandarasi ameshalipwa jumla ya shilingi 219,747,252.68/=.

Naye Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mh Ponsiano Kayage amepongeza kazi nzuri iliyofanyika katika miradi hiyo lakini pia ameipongeza serikali kwa ushirikiano mzuri wa kimataifa unaopelekea nchi rafiki kusaidia katika ujenzi wa miradi ya maendeleo.

“Naipongeza sana serikali yetu kwa mahusiano mazuri na nchi mbalimbali duniani hali iliyopelekea mashirika ya JICA,FAO na Taasisi ya RUDI kutusaidia katika masuala ya maendeleo katika Halmashauri yetu ya Wilaya ya Iringa” na kuongeza kuwa

“Tija itaongezeka sana kwa wakulima wetu kwani sehemu ya uhakika ya kuhifadhia mpunga itakuwepo tena karibu na makazi yao,niombe kwa viongozi uwepo wa ghala hili hapa ni fedha ambazo serikali imeweka litumike kwa lengo lillokusudiwa”amesema.

Aidha,Mh. Kayage  alitoa shukurani kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa uhodari wake katika usimamizi wa shughuli za Maendeleo pamoja na Wataalam wa Halmashauri ambao wamekuwa wasikivu mara zote kwa kupokea mawazo na kuyafanyia kazi.

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa