• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mwongozo wa Chakula na Ulaji

Imewekwa : February 16th, 2024

Mwongozo wa Chakula na Ulaji Watolewa Tanzania Bara

Mwongozo huo umeweza kutolewa katika Kikao cha Kamati ya Lishe Robo ya Pili Oktoba – Desemba kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, katika Ukumbi wa Halmashauri uliopo Ihemi Februari 16, 2024.

Kamati hiyo imeweza kupokea Muongozo wa Chakula na Ulaji Tanzania Bara, ambao umetolewa mwaka 2023 na ushauri wa Kitaalamu.

Akiwasilisha taarifa hiyo na Muongozo Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Bi. Tiliza Mbulla amesema, “lengo la muongozo huu ni kuboresha hali ya lisha na afya za watu wa rika na makundi yote katika jamii ya Watanzania. Pia Dahamira hii inadhihirishwa katika Sera, mikakati, mipango ya maendeleo na afua mbalimbali zinazokusudia kupunguza aina zote za utapiamlo”.

Bi. Tiliza ameendelea kusema, “kuna miongozo mbalimbali imetolewa ili kuleta ufanisi kama, kula vyakula mchanganyiko kutoka makundi sita ya chakula kila siku, kujitahidi kufikia lishe inayopendekezwa kwa akina mama wajawazito na wanaonyonyesha, watoto wachanga wadogo ili kuhakikisha afya bora ya mama na mtoto, kupunguza ulaji wa vyakula vilivyokaangwa na mafuta mengi, kuhakikisha usafi wa mazingira wa mahali unapoishi na usalama wa chakula, kuwa na mtindo bora wa maisha ili kupata afya bora na uzito unaoshauriwa, kuepuka tabia hatarishi kama vile uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe”.

Kamati pia imeweza kupokea taarifa za utekelezaji kwa kipindi cha Oktoba – Desemba kutoka Idara mbalimbali zilizopo kwenye mpango wa Afua za Lishe ambazo ni Idara ya Afya, Idara ya Elimu ya Awali na Msingi, Idara ya Elimu Sekondari, Idara ya Kilimo na Idara ya Maendelo ya Jamii.

Idara hizo zimeweza kubainisha changamoto mbalimbali kama, kuendelea kuwepo kwa matatizo ya lishe kama uzito pungufu, ukondefu na upungufu wa damu kwa wajawazito, baadhi ya shule hazikupanga bajeti ya kuanzisha mashamba ya kilimo cha mazao lishe na miti ya matunda, ushiriki mdogo wa wakulima katika mafunzo kutokana na shughuli za msimu wa kilimo, uelewa mdogo wa uhifadhi wa chumvi yenye madini joto, baadhi ya wazazi/walezi kutowajibika ipasanvyo kuwaandlia watoto chakula kwa wakati kwa kuendekeza ulevi, baadhi ya Kaya kushindwa kumudu milo mitatu kwa siku, muitikio wa wanaume katika masuala ya lishe hasa kwenda kliniki na kushiriki siku za lishe za vijiji.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa