• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Naibu Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh Angeline Mabula akikagua Masijala ya Ardhi ya Halmashuri ya Wilaya ya Iringa

Imewekwa : May 18th, 2020

NAIBU WAZIRI WA ARDHI AWAAGIZA WAKURUGENZI KUWASIMAMIA MAAFISA ARDHI KATIKA MAENEO YAO.

Na Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano, Iringa –DC)

Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba, na Maendeleo ya Makazi ,Mh Angeline Mabula amewataka Wakurugenzi kuwasimamia na kufuatilia utendaji wa kazi wa Maafisa Ardhi kwa kuwa kiutendaji bado wapo katika Mamlaka zao.

Mh Mabula alisema hayo Mei 16 mwaka huu alipokuwa katika ziara yake Mkoani Iringa ambapo alikagua Masijala ya Ardhi  ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa na kuagiza wadaiwa sugu wote wafuatiliwe ili walipe madeni yao ndani ya siku kumi na nne iwapo hawatatekeleza  wapelekwe katika baraza la Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa hatua zaidi za kisheria.

“Huu sio muda wa kubembelezana waandikieni hati za kuwakumbusha kulipa ni vizuri kwa kuwa sio wote wenye nia ovu ya kukwepa kulipa kodi, na nasheria humtaka alipie ndani ya  siku kumi na nne kushindwa kufanya hivyo ni kinyume na sheria hivyo naagiza  wapelekwe katika Baraza”alisema.

Pia, Mh Mabula alisisitiza utolewaji wa hati kwa wananchi uwe wa haraka, kwani hiyo ndio sababu ya kuanzishwa kwa Ofisi za Mikoa za Ardhi, na  wananchi wanufaike na hati hizo na sio vinginevyo.

“Lengo la kuanzishwa Ofisi za Mikoa za Ardhi ni kurahisisha upatikanaji wa hati kwa wananchi wote wlionunua ardhi ili ziweze kuwasidia katika masuala mbalimbali ya kiuchumi,kwa kuwa huzitumia hati hizo kama sehemu ya dhamana wanapokuwa wanaomba mikopo katika taasisi za fedha”na kuongeza

“Naagiza utaratibu mzuri wa utunzaji wa kumbukumbu za Ardhi uzingtiwe ili kusiwe na usumbufu kwa wananchi wanapokuwa wanafuatilia Hati zao,lengo la Serikali ni kuondoa kero sio kuzalisha kero”alisema.

Aidha Naibu Waziri huyo aliangiza kufanya vipindi maalum vya redio kuhamasisha wananchikulipa kodi hizo au kutumia mfumo wa kutangazia Umma kwa njia ya vipaza sauti.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa