• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

NBS Yatoa Mafunzo ya Matokeo ya Sensa ya 2022

Imewekwa : October 6th, 2023

NBS Yatoa Mafunzo ya Matokeo ya Sensa ya 2022

“Napenda kuwakumbusha kuwa, madhumuni ya kufanya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 ni kukusanya taarifa za kidemografia, ikuchumi, kijamii na mazingira ya watu wote walioko nchini kwa mtawanyiko wake ili kusaidia katika kupanga, kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa sera, mipango na program za maendeleo ya nchi”.

Kauli hii imetolewa na Mkuu wa Wilaya Iringa Mheshimiwa Veronica Kessy, alipokuwa anafungua mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na Makazi ya mwaka 2022 kwa viongozi na Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa yaliyofanyika Oktoba 06, 2023 katika Ukumbi wa Masiti Grand.

Ameongeza kusema kuw, mafunzo hayo ya matumizi ya matokeo ya Sensa kwa makndi mbalimbali katika jamii yetu yanayoendeshwa na Ofisi ya Taifa ya Takwemu na Ofisi ya Mtakwemu Mkuu wa Serikali Zanzibar, kwani ni sehemu ya utekelezaji wa Mpangokazi wa Usambazaji na mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya mwaka 2022.

Aidha, Mheshimia Kessy amesisitiza umuhimu wa mafunzohaya ya kwa washiriki na kuwahikikishi kuwa, huu ni mwanzo wa mfululizo wa mafunzo kama haya kwa Viongozi na Watendaji wa Serikali.

Naye Mtakwimu Mkoa wa Iringa Ndugu Peter Millinga, amewashukuru washiriki kwa kuhudhuria mafunzo hayo kwa wingi na kwa usikivu na umakini mkubwa.

Mwisho wa mafunzo NBS walitoa ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa na kupokelewa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Steven Mhapa, ikifuatiwa ramani ya kila Kata ambazo zilipokelewa na kila Diwani husika wa Kata.

 

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa