• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

NFRA Yatoa Msaada wa Chakula kwa Bei Nafuu

Imewekwa : February 24th, 2023

NFRA Yaokoa Baa la Njaa kwa Bei Nafuu

Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula (NFRA) waokoa jamii kutoka kwenye janga la njaa kwa kuwauzia wananchi waliothirika na baa hilo kwa bei nafuu.

Kikao kifupi kimeketi na Mwenyekiti wa Halmashauri kwa Kushirikiana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Isdory Karia, baadhi ya Waheshimiwa Madiwani na baadhi ya Watendaji wa Kata husika, ambao wameathirika sana na baa hili, ili kujua namna gani chakula hiki kitawafikia walengwa.

 Mhasibu wa Kanda ya Makambako Ndugu Steven Lyapa amesema, “tutasambaza mahindi ya chakula kila Kata yenye uhitaji, na kwamba kila Kata kutakuwa na sehemu maalumu ya kuhifadhia mahindi hayo. Hivyo tunahitaji ulinzi na usalama wa chakula hicho na wale wanakuja kusambaza, na kuwahamasisha wananchi waje kununua mahindi haya kwa bei nafuu ya Shilingi 780/= kwa kilo moja”

“Chakula hiki ni mali ya Serikali, hivyo hatutegemei akatokea mtu baki ambaye siyo muhitaji akaja kudhulumu haki ya wanufaika. Ninyi mnafahamu idadi ya Kaya katika maeneo yenu”. Amesema Ndugu Lyapa.

Naye Afisa Ugavi wa Kanda hiyo Ndugu Emmanuel B. Nyanda amesema kuwa, “Kila mnunuzi atakayekuja kununua lazima apimiwe kiasi halisi anachohitaji, kwani kila kituo cha mauzo kutakuwa na mzani kwa ajili ya kupima ambao umehakikiwa na Serikali. Japo kila mfuko una ujazo wa Kilogram 50, lakini ni muhimu ukapimwa tena wakati wa uuzaji kwa ajili ya uhakiki zaidi” amesema.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Stephen Mhapa, amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kusikia kilio hiki cha baa la njaa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, na kufanya Wakala wa Chakula wa Taifa kushughulika na jambo hili kwa haraka sana.

NFRA wataanza kutoa chakula tarehe 25/02/2023 kwa Kata Tano awamu ya kwanza ambazo ni Kata za Malengamakali Tani 30, Migoli Tani 30, ikifuatiwa na Izazi Tani 20, Nzihi Tani 30 na Mlowa Kata 20 na kufanya jumla ya Tani 130 kutolewa. Kwa awamu nyingine watatoa kwa Kata za Kihorogota na Kiwere ambako pia kuna uhitaji mkubwa wa chakula.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa