• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Nishati Safi ya Kupikia Kwa Wote!

Imewekwa : November 2nd, 2022

Nishati Safi ya Kupikia Kwa Wote!

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimwa Halima Dendengo, leo ameendelea kuongoza Mjadala wa Kitaifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa upande wa Mkoa wa Iringa. Mjadala huu ulianza jana Novemba 1, 2022 na umemalizika leo Novemba 2, 2022.

Akizungumza wakati akichangia hoja kwenye mjadala huo ambao umeendeshwa kwa njia ya mtandao, Mheshimiwa Dendego amesema, “suala la nishati na umuhimu wake lilichukuliwa kwa uchache sana na baadhi ya watu na kudhani nishati ya kuni na mkaa ni kwa ajili ya wananchi wa hali ya chini tu, kumbe nishati safi inapaswa kutumika kwa kila mwananchi bila kujali hali yake ya kimaisha au kiuchumi.”

Mheshimiwa Dendego ameendelea kusema kuwa, “nchi ya Tanzania ina vyanzo vingi vya nishati, kwa hiyo Wadau waiangalie Tanzania na kuboresha miundombinu yake na hatimaye iweze kutoa nishati safi ambayo itatosheleza mahitaji ya kwa kila Mtanzani. Pia elimu itolewe kwa wananchi ili kila mtu awe na uelewa juu ya jambo hili”.

Mheshimiwa Dendego amemaliza kwa kusema kuwa, “tunamhakikishia Waziri wa Nishati Mheshimiwa Januari Makamba kuwa, sisi wana Iringa tupo tayari kwa mabadiliko, na tunaahidi tutakuwa vinara wa nishati safi”.

Mjadala umeendelea kwa wajumbe na Wadau kwa kuchangiabmada mbalimbali ambazo ziliwasilishwa. Kama alivyosema Mheshimiwa Rais, kikosi kazi kihusishe Sekta Binafsi, ili kuweka mkakati wa pamoja katika kufanikisha jambo hili.

Mkutano huu umefanyika Mubashara kutoka Jijini Dar es Salaam na kuunganishwa kwa Mikoa ya Iringa, Tabora, Shinyanga na Morogoro.

Akifunga mjadala huo Waziri wa Nishati Mheshimiwa Januari Makamba amesema, “tumefanikiwa sana zaidi ya tulivyotarajia katika mjadala huu, hasa tulipotoa mwaliko kwa Mama zangu Prof. Anna Tibaijuka, Dkt. Getrude Mongela na Dkt. Zackia Meghji kwa kukubali mwaliko huu”

Mheshimiwa Mkamba ameendelea kusema kuwa, “Mnatupongeza sisi kwa kuandaa mjadala huu, lakini sisi tunawashukuru ninyi kwa kuja na kushiriki. Tumepata hamasa kubwa kwa maneno ya Mheshimiwa Rais, kwa kututia moyo juu ya jambo hili. Hivyo tunaenda kujipanga na kujidhatiti kufanikisha jambo hili”

#nishatisafiyakupikia

#ortamisemi

#msemajimkuuwaserikali

#ikulu

#januarimakamba

#rsiringa

#halimadendego

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa