• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

"Nyota ya Asubuhi" Yaing'airsha Iringa DC

Imewekwa : September 20th, 2023

Kipindi cha “Nyota ya Asubuhi” Chaing’arisha Iringa DC

“Tatizo la vyoo bora na vya kisasa limemalizika katika Shule za Msingi za Halmashauri ya Wilaya ya Iringa”…Kauli hii imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja alipokuwa katika kipindi cha Nyota ya Asubuhi kinachorushwa na Radio Furaha Fm, ambayo inapatika Manispaa ya Iringa leo Septemba 20, 2023.

Wakili Muhoja alikuwepo kwenye kipindi hicho akizungumzia mambo mbalimbali yanayohusu Halmashauri hiyo, na kwamba anajivunia sana kuondoa tatizo la vyoo kwa shule za msingi. Hata hivyo majengo ya madarasa ya shule za msingi na sekondari na uanzishwaji wa shule mpya 4 za sekondari ambazo zimejengwa katika Kata nne za Halmashauri ambazo ni Kata ya Luhota, Kata ya Mlenge, Kata ya Ulanda na Kata ya Mboliboli zitakazoondoa msongamano wa wanafunzi katika shule za jirani na kutembea umbali mrefu kwa watoto kufuata elimu. Hii imetokana na muamko mkubwa kwa wananchi kwa uelewa wa kuwapeleka watoto shule, na ufaulu mzuri unaopatikana katika Halmashauri kwani haijawahi kushuka chini ya 92% kwa ufaulu.

Aidha katika kipindi hicho Wakili Muhoja ameishukuru Serikali kwa kutoa pesa kiasi cha Shilingi Bilioni 3 ambazo zilitolewa kwa awamu kwa ajili ya ujenzi wa ofisi za Utawala za Halmashauri zilizojengwa katika Kijiji cha Ihemi Kata ya Mgama ambapo huduma zote muhimu zinapatikana hapo.

Pamoja na mambo mengine Wakili Muhoja ameweza kugusia miundombinu ya barabara, ajira kwa Kada mbalimbali, mazingira na hali ya uchumu na mapato kwa Halmashauri.

Muhoja ameendelea kusema kuwa, “pamoja na mafanikio hayo yote, Halmashauri bado inapungukiwa na watumishi hasa katika Kada ya Walimu na Afya, nina Imani na Serikali itaendelea kutoa ajira na kuwakaribisha ambao wapo tayari kujitolea kwa ajili ya kujenga Halmashauri yetu, na mwisho wa siku wanaweza kupata ajira ya kudumu”.

Pia changamoto za tabianchi anasema ni mojawapo inayosababisha ukosefu wa mapato hasa katika Bwawa la Mtera. Kupungua kwa maji na kusababisha samaki kupotea na kufanya wavuvi wasiweze kufanya shughuli zao zinazowaingizia kipato.

Kadhalika Wakili Muhoja anawakaribisha Wadau mbalimbali kuja kuwekeza Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwani kuna fursa mbalimbali kama viwanja vya makazi, viwanja vya kwa ajili ya viwanda, shughuli za uvuvi, kilimo na nyingine nyingi.

Baadhi ya wananchi waliweza kutoa maoni yao na kuuliza maswali mbalimbali, Wakili Muhoja ameweza kuzichukua na kwenda kuzifanyia kazi.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa