• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Pichani ni baadhi ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wakiwa katika kikao cha kawaida cha robo ya tatu.

Imewekwa : April 12th, 2021

Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano, Iringa -DC )

Watumishi wakumbushwa umuhimu wa kujikinga na vitendo vinavyikinzana na Maadili ya Utumishi wa Umma.

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wameendelea kukumbushwa maadili ya Utumishi wa Umma ikiwemo kutojihusisha na vitendo vyovyote vya rushwa ikiwemo rushwa ya ngono.

Mkurugenzi Mtendaji aliwataka watumishi kuendelea kutekeleza wajibu wao kuwahudumia wananchi katika maeneo yao ya kazi ili kutimiza lengo la Serikali la kuhakikisha huduma zote muhimu zinawafikia wananchi waliopo chini.

Naye, Afisa Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Iringa Bw.Ditram Muhoma Akitoa mada ya Utawala Bora amesema ni budi kutojihusisha na rushwa za aina zote kwa kuwa makosa yote ya rushwa sasa yanahesabiwa kama makosa ya kuhujumu Uchumi.

Bw.Muhoma amesema kukumbushana ni suala la msingi katika uboreshaji wa utendaji kazi kwa weledi ili kuepuka kuingia ama kutenda makosa ambayo sio ya lazima na yanaepukika katika maeneo ya kazi.

Aidha akitoa mada kuhusu uhusiano wa ugonjwa wa Ukimwi na Kifua Kikuu kwa niaba ya Mganga Mfawidhi Mratibu wa Kifua Kikuu na Ukimwi wa Halmashauri ya Wilaya Iringa Dkt. William Mbuta amesema mgonjwa wa Kifua Kikuu akitumia dawa kwa usahihi na kufuata masharti ya utumuaji wa dawa na lishe anapona kabisa ugonjwa huo,

Dkt.Mbuta amesema ugonjwa wa Kifua Kikuu unauhusiano na ugonjwa wa Ukimwi kwa kuwa vipimo vimekuwa vikionyesha asilimia kubwa ya watu walioambukizwa virusi vya Ukimwi pia wanaugua Ugonjwa huo wa Kifua Kikuu.

Pia,ametoa rai wa watumishi wote kujikinga na maambukizi ya Maradhi haya ikiwa pamoja na kutoa elimu katika jamii wanamoishi ya matumizi sahihi ya mipira kinga ya kike na kiume (kondomu) ili kuwezesha kupungua kwa maambukizi mapya ya Ugonjwa huo.

Wakihitisha kikao hiko Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Utumishi Mkuu wamewakumbusha Watumishi juu ya suala zima la uwajibikaji katika maeneo yao na kuzingatia sheria,kanuni na taratibu za Utumishi wa Umma.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa