• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC Dendego Atoa Pole kwa Wahanga wa Mafuriko Migoli

Imewekwa : December 8th, 2023

Tahadhari za Kiusalama Katika Kipindi Hiki cha Mvua Haarishi Ziwe

“Kipindi hiki tumeambiwa kutakuwa na mvua nyingi, lakini Mkoa wa Iringa haukuwepo kwenye orodha ya hali ya hatari kutokana na mvua hizi. Hivyo tunakumbushwa kuwa, tuchukue tahadhari za kiusalama kila inapotokea dalili ya mvua”.

Kauli hii imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendengo akiwa ameongozana na Kamati ya Ulinza na Usalama ya Mkoa alipokwenda kuwapa pole wananchi wahanga wa mafuriko katika Kata ya Migoli Desemba 08, 2023.

Ameongeza kusema kuwa, “pamoja na yote tumekuja kuwapa pole na kuwatia moyo wahanga wa mafuriko haya.”

Mheshimiwa Dendego ameaagiza Wakala wa Barabara Tanzania Mkoa wa Iringa (TANROADS) kuwa, waje wafanye tathmini katika daraja lililokuwa limeziba na kusababisha uharibifu huo kutokana na maji yanayopita katika daraja hilo kuacha njia yake na kuingia majumbani, ili waweze kulifanyia marekebisho.

Mheshimiwa Dendego amewashukuru Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Veronica Kessy na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wakili Bashir Muhoja kwa kufanya jitihada za haraka kwa kwenda kuwanusuru wahanga hao kwa kuwapatia chakula.

Pole iliyotolewa na Mheshimiwa Dendengo ni pamoja na unga kilo 150, Mchale kilo 625, Mfuta ya kupikia Lita40, maharage kilo 160 na chumvi pakti 100.

Wakati huohuo Mheshimiwa Dendego aliweza kwenda kutoa pole kwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Chapuya wa Kijijji cha Makatapole Kata ya Migoli, ambaye alikamatwa na mamba katika Bwawa la Mtera alipokuwa anafanya shughuli zake za uvuvi, na kwamba amepoteza maisha katika ajili hiyo.

 

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa