• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC IRINGA AHIMIZA UKAMILISHWAJI WA MIRADI ILIYOLETEWA FEDHA IRINGA DC

Imewekwa : September 30th, 2025


Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amehimiza usimamizi madhubuti wa miradi ya maendeleo ambayo fedha imeshatolewa Iringa dc, akisisitiza kuwa wakandarasi na mafundi wanaolipwa fedha za umma lazima wafanye kazi kwa viwango stahiki.

Mhe. Kheri amezungumza hayo wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo Septemba 30, 2025 ikiwemo ujezi wa ujenzi wa  Zahanati wenye thamani ya shilingi milioni 60 katika  Kijiji cha Mlanda, Kata ya Magulilwa, Tarafa ya Mlolo, kukagua mradi wa ujenzi wa mabweni katika shule ya Sekondari Lyandembela jata ya Ifunda na ujenzi wa vyumba vya maabara shele ya sekondari Lukuvi - Mapogolo kata ya Idodi.

Ziara hiyo ni sehemu ya mikakati ya ufuatiliaji wa karibu wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayofanywa na serikali ili kuhakikisha huduma za kijamii kama afya, elimu, na maji zinaboreshwa kwa kiwango kinachostahili.

#iringaimaratutaijengakwaumojanauwajibikaji

Matangazo

  • ILANI YA KUSUDIO LA KUTUNGA SHERIA NDOGO August 28, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TURITHISHANE UJUZI BADALA YA KILA MMOJA KUKUMBATIA ANACHOKIJUA - DED IRINGA DC NDG. MASUNYA

    October 01, 2025
  • RC IRINGA AHIMIZA UKAMILISHWAJI WA MIRADI ILIYOLETEWA FEDHA IRINGA DC

    September 30, 2025
  • MGOMBEA MWENZA CCM DKT. NCHIMBI AFANYA MKUTANO WA KAMPENI PAWAGA - IRINGA DC

    September 25, 2025
  • MWENYEKITI WA INEC MHE. JAJI MWAMBENGELE ATEMBELEA IRINGA DC

    September 23, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa