• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC IRINGA AWAASA WASAFIRISHAJI WANAOPITA MKOA WA IRINGA KUFUATA SHERIA

Imewekwa : December 11th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego amewaasa wasafirishaji wanaopita kwenye maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Iringa kufuata sheria ikiwa ni pamoja na kulipa kodi ya serikali na ushuru wa Halmashauri kwa mujibu wa sharia. Mkuu wa mkoa ameyasema haya alipo kuwa akikagua na kupata taarifa za vituo ya ukaguzi katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa 11 Desemba, 2023.

“Madalali wawe wakweli kwa wateja wao na kila mtu alipe kile anachostahili kwa sababu suala la kodi sasa hivi ni suala rafiki mnakaa mnazungumza, mnajadiliana baada ya hapo mmekubaliana huu ndio uhalisia mtu analipa” amesema.

Kuhusu suala la rumbesa, mkuu wa mkoa amesema suala hilo halikubaliki kisheria na kama mtu atabainishwa na kulipa faini, hiyo haimfanyi dereva aendelee na kosa lake kwa maeneo mengine bali anapaswa kurekebisha kosa lake.

Sanjari na hayo, Mhe. Dendego amewapongeza viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa inayoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji (W) Wakili Bashir Mhoja na viongozi kutoka TRA kwa kazi kubwa na nzuri wanayoifanya  ya ukusanyaji wa mapato ya serikali.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Mhoja amefafanua changamoto za mara kwa mara zinazotoka kwa wasafirishaji kama ifuatavyo;

  • Wasafirishaji kuwa na vibali vilivyopitwa na muda wake wa matumizi
  • Wengine wanaficha soya chini na kuweka mahindi juu hivyo kulipia mahindi badala ya saya jambo linalokosesha mapato
  • Mizigo kuwa na rumbesa jambo ambalo linapunguza mapato ya serikali pamoja na kuwatia hasara wakulima.
  • Wasafirishaji kulipa ushuru mdogo ukilinganisha na mzigo wanaousafirisha kwa kutoa taarifa za uongo.
  • Wengine kusafirisha bidhaa haramu mfano nyavu za kuvulia samaki zinazokatazwa, vipodozi nk.

Vituo vya ukaguzi vilivyo tembelewa na kukaguliwa ni pamoja na kituo cha ukaguzi Migoli, kituo cha igingilanyi na kituo cha Wenda

Maeneo mengine ambayo Mkuu wa Mkoa ameyatembelea na kukagua miradi ni shule ya Msingi Migoli, na vyumba vya madarasa katika shule ya Msingi Tanangozi.

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa