• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC IRINGA AZINDUA KAMPENI YA UPANDAJI MITI

Imewekwa : January 29th, 2026


Atoa wito kwa taasisi mbalimbali za serikali kuendeleza zoezi hili, ahimiza miti ya matunda ipandwe mashuleni ili kusaidia kwenye suala la lishe

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James amezindua rasmi kampeni ya upandaji wa miti katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa. Uzinduzi huo umefanyika katika ofisi za makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa yaliyopo Ihemi Januari 29, 2026.

Akizungumza mara baada ya uzinduzi wa kampeni hiyo Mhe. Kheri James ametoa wito kwa taasisi mbalimbali za serikali kuendelea na zoezi la upandaji wa miti kwa madhumuni ya kimkakati kulingana na mazingira ya taasisi husika ambapo ametoa siku 14 kutekelezwa kwa zoezi hili.

Aidha kwa upande wa taasisi za elimu hasa shule za msingi na sekondari, miti ya matunda ipandwe ili kusaidia uboreshaji wa lishe na utamaduni huu uanzie mashuleni na baadaye majumbani.

“Leo nachukua fursa hii kuwahamashisha wananchi wa Mkoa wa Iringa kwamba kampeni yetu ya upandaji wa miti imeanza rasmi hapa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Iringa katika eneo hili la Ihemi, matarajio yetu ni kuona kata zote, tarafa zote, vijiji vyote viongozi mnakwenda kuhamasisha zoezi la upandaji miti kwa maelekezo mahususi”. amesema Mhe. Kheri.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Ndg. Robert Masunya amesema, maagizo ya Mkuu wa Mkoa yamepokelewa na atahakikisha kuwa miti itapandwa hasa katika taasisi mbalimbali ikiwemo shule za msingi na sekondari na kuhakikisha kuwa miti hiyo inatunzwa.

“Kazi yangu mojawapo ni kusimamia miti yote ipelekwe kwenye taasisi kwa sababu tunavyo vitalu hapa na tumeshaotesha miti, kuhakikisha inagawiwa lakini kubwa ni kuhakikisha miti yote iliyopandwa inakuwa na kutunzwa” amesema Ndg. Masunya

maadhimisho ya mwaka huu yamepambwa na kauli mbiu isemayo; “Misitu ni Uchumi Endelevu, Tuihifadhi kwa Maendeleo ya Taifa”.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI JIMBO LA KALENGA & ISMAN October 12, 2025
  • Happy Nyerere day October 14, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC IRINGA AZINDUA KAMPENI YA UPANDAJI MITI

    January 29, 2026
  • Mafanikio ya Uhifadhi Yaguse Maisha ya Wananchi

    December 19, 2025
  • Kituo cha Mahuninga Kuzinduliwa Januari

    December 18, 2025
  • ELIMU YA LISHE KWA VITENDO ITOLEWE MASHULENI KUJENGA UELEWA - NDG. MASUNYA

    November 27, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa