• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC Serukamba Awaonya Watumishi kwa Kutofanya Kazi kwa Uadilifu

Imewekwa : September 23rd, 2024

RC Serukamba Awaonya Watumishi kwa Kutofanya Kazi kwa Uadilifu

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba amewaonya Watumishi ambao hawafanyi kazi kwa uadilifu na kuendana na kasi ya Mheshimiwa Rais katika kutekeleza majukumu ya kazi zao.

Mhe. Serukamba ameyasema hayo alipokuwa katika ziara yake Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Septemba 23, 2024 akikagua maendeleo ya miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo.

“Mkurugenzi tafuta mtu wa manununuzi mwingine ambaye anaweza kusaidia kufanya kazi kwa haraka katika mifumo yenu, pia Wakandarasi wote ambao wanachelewesha kuleta vifaa katika maeneo ya ujenzi waondoeni na kuleta wengine ambao wataendana na kasi tunayotaka sisi kwani miradi hii imechelewa sana kuanza” amesema.

Mhe. Serukamba ameendelea kusema kuwa, “Kila mtu atimize wajibu wake, kwani hakuna mtumishi aliyepangwa katika Halmashauri hii kwa bahati mbaya. Wabunge wenu wanatafuta fedha kwa bidii kubwa ili kuleta kwa wananchi kufanya maendeleo mbalimbali, lakini nyie mnamuangusha sana Mhe. Rais. Haifai kukumbushana kila kitu”.

Baadhi ya miradi aliyotembelea katika ziara hiyo ni Kituo cha Afya Isimani katika jengo la mapokezi ya wagonjwa wa nje, Shule ya Sekondari Isimani mradi wa Mabweni, Kata ya Kihorogota,  Zahanati ya Ikengeza Kata ya Kising’a, Shule ya Sekondari Mboliboli Kata ya Mboliboli, ujenzi wa sekondari mpya Kijiji cha Kimande Kata ya Itunundu, ujenzi wa madarasa mawili katika Shule ya msingi Mkombilenga Kata ya Ilolompya, ujenzi wa madarasa 2 na bweni shule ya sekondari William Lukuvi Kata ya Ilolompya.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Kheri James amesema, atafanya ziara yake kijiji kwa kijiji ili aongee na Vijana wa kila eneo kwa ajili ya kuhamasisha maendeleo ya eneo husika. Pia amewataka wananchi kujitolea katika miradi ya maendeleo katika maeneo yao.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa