• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Saida Mgeni Afunga Mafunzo ya Utoaji Mikopo

Imewekwa : October 5th, 2024

Saida Mgeni Afunga Mafunzo  ya Utaji Mikopo Yafungwa    

Mafunzo ya utoaji mikopo ya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu (10%),  yalianza Oktoba 01 ambayo yametolewa kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii yamehitimishwa Oktoba 05, 2024. Wakati yamehitimishwa Watendaji wa Kata na Maafisa Tarafa walikuwepo ili kupewa majukumu nini wanatakiwa kufanya na kuzingatia wakati wa utoaji mikopo hiyo.

Akizungumza katika mafunzo hayo Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa Bi. Saida Mgeni amesema,” nawasihi mkasimamie vizuri kazi hii ya utoaji mikopo kwa wananchi, ili tusimuangushe Mheshimiwa Rais ambaye ametoa fedha hizo. Pia endeleeni kufuatilia marejesho ya mikopo ya nyuma ambayo hadi sasa bado haijarejeshwa. Kwa kushirikiana ninyi Maafisa Tarafa, Watendaji wa Kata na Maafisa Maendeleo ya Jamii tutafanya vizuri kwani ninyi ndiyo mnawajua vizuri wananchi walio katika maeneo yenu”

Naye Afisa Mwandamizi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Nchini Ndugu Ditram Muhoma amewaambia Maafisa hao kuwa, kama zilivyo kwenye kazi nyingine za Kitaifa na hii ya utoaji wa mikopo ni ya Kitaifa pia, hivyo zingatieni uadilifu kwa kila kikundi kinachokopa.

Ndugu Muhoma ameendelea kusema kuwa, “ukikamatwa unahujumu mikopo kwa kupitisha vikundi visivyo na sifa basi utakuwa umeingia katika sifa ya kuhujumu uchumi”.

Ameowaomba kuzingatia thamani ya fedha zinazotolewa na Mheshimiwa Rais pia ni vizuri kutolea taarifa kwa kila kikundi kinachokopa.

Kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Kiasi cha Shilingi Milioni 762 zimetengwa kwa ajili ya kutolewa kwa vikundi hivyo kwa njia ya mkopo.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa