• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YAONGEZA BAJETI YA WIZARA YA KILIMO, MIFUGO, NA UVUVI

Imewekwa : August 8th, 2024


Akizungumza wakati wa kufunga maonesho ya Nanenane 2024 Kanda ya Nyanda za Juu kusini yaliyofanyika Jijini Mbeya Agosti 08, 2024 Mhe. Ridhiwani Kikwete Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu) kwa Niaba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema, katika Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2020 Serikali imedhamiria Kuendeleza sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi ili kuongeza Tija katika uzalishaji na thamani ya mazao.

“Serikali imeongeza Bajeti katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi kutoka Bilioni 275 mwaka 2021/2022 hadi Bilioni 295 MWAKA 2023/24 na Wizara ya Kilimo Bilioni 294 mwaka 2021/2022 hadi Trilioni 1.3 mwaka 2024/2025. Amesema Mhe. Kikwete.

Aidha amesema ongezeko hili la bajeti ni mahususi kwa ajili ya kuwezesha masuala ya utafiti na huduma za ugani lakini pia kutoa ruzuku kwenye pembejeo za kilimo, mifugo na uvuvi, kumarisha huduma za upimaji wa udongo na kuendeleza kilimo cha umwagiliaji.

Pia Mhe. Kikwete amewaasa wakulima kutunza chakula ngazi ya kaya chakula ambacho kitawafikisha msimu mwingine wa mavuna na hivyo wauze kile ambacho ni ziada na kuzingatia lishe bora kwa watoto kuzuia ili udumavu.

Naye Naibu Waziri Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti amesema kuwa wafugaji na wavuvi wote wanatakiwa kuhakikisha kuwa wanafuga kisasa ili kupata tija na kuoneza kuwa hivi sasa ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ndio unaoshauriwa na kazi hiyo imeanza ziwa Tanganyika na ziwa Victoria. Kwenye eneo hili la ufugaji wa kisasa Serikali ipo kutoa usaidizi juu ya ufugaji wa kisasa.

Maadhimisho ya Nanenane 2024 kanda ya Nyanda za Juu Kusini Jijini Mbeya yamehitimishwa Agoati 8, 2024 yakiwa na kauli mbiu, “Chagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi”.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa