• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Imewekwa : March 8th, 2022

Viongozi wanawake wana uwezo mkubwa wa kushawishi jamii -DC Moyo

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Mohamed Hassan Moyo ameongoza Sherehe za Siku ya Wanawake Duniani kwa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa tarehe 07/03/2022, ambapo imefanyika katika Kata ya Kalenga Kijiji cha Isakalilo.

Katika hotuba yake Mheshimiwa Moyo amejikita zaidi katika kauli mbiu ya mwaka huu inayosema: “Kizazi cha Haki na Usawa Kwa Maendeleo Endelevu, Tujitokeze Kuhesabiwa”, kwamba imebeba maanza nzito ya kukumbusha na kutenda haki inayoleta uwiano sawa kwa wanawake na wanaume katika ngazi za utoaji wa maamuzi na nafasi za Uongozi, lengo likiwa ni kuhakikihsa maendeleo yanaletwa na Watanzani wote bila ya kubagua ikiwa ni njia moja wapo ya kufikia Dunia yenye usawa wa kijinsia.

Mheshimiwa Moyo ameongeza kusema kuwa, Serkali inatambua kuwa, Wanawake viongozi katika nyadhifa mbalimbali wameonyesha kuwa ni hodara katika utekelezaji wa majukumu yao.

Aidha Mheshimiwa Moyo amesema, katika kuhakikisha kuwa wanawake wanapata haki ya kumili Rasilimali, Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa kushirikiana na Wadau imewezesha zaidi ya wanawake 16,000 kupata hati miliki za kimila,

Pia Halmashauri ya Wilaya ya Iringa katika kipindi cha mwaka wa fedha 2021/2022 imtoa mikopo kiasi cha Tsh 328,000,000/= kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, lengo ni ikiwa na kuwainua kiuchuumi makundu maalumu na kufikia mlengo wa maendelo endelevu.

Mheshimiwa Moyo amemalizia kwa kutoa wito kwa wanume na wanawake kujitokeza kuhesabiwa katika zoezi la sense ya watu na makazi mwezi Agosti mwaka huu 2022, ambapo Serikali ya Tanzania hufanya sense kila baada ya miaka kumi, ikiwa sense ya mwishi ilifanyika mwaka 2012, hivyo sense ya mwaka huu itakuwa ni sense ya sita kufanyika nchini baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964.

Wakati huo huo Mbunge wa Jimbo la Kalenga Mheshimiwa Jackson Kiswaga, ameungana na wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa katika maadhimisho hayo. Amemshukuru Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha ili kuboresha miundombinu katika maeneo yetu.

Pia Mheshimiwa Kiswaga ameongeza kusema kuwa, 80% ya uzalishaji katika jamii inatokana na wanawake, hivyo wajitokeze kwa wingi katika fursa mbalimbali pale zinapojitokeza ili kufikia lengo.   

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Stephen Mhapa, ameshukuru kwa siku hii ya Wanawake Duniani na kusisitiza kusherehekea kwa Amani.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA July 28, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA JIMBO LA KALENGA NA ISMANI WAPATIWA MAFUNZO NA KULA VIAPO

    August 04, 2025
  • KATIBU WA TAGCO ATEMBELEA BANDA LA IRINGA DC KWENYE NANENANE 2025 JIJINI MBEYA

    August 02, 2025
  • RC IRINGA: TUWAANDAE WANANCHI KUNUFAIKA NA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    July 18, 2025
  • KATIBU TAWALA WILAYA YA IRINGA APONGEZA UFAULU KIDATO CHA SITA

    July 09, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa