• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Taarifa ya Ilani ya CCM 2020-2024 Yatolewa Jimbo la Kalenga

Imewekwa : July 15th, 2024

Taarifa ya Ilani ya CCM 2020-2024 Jimbo la Kalenga Yatolewa kwa Wananchi

Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kalenga wa kutoa taarifa ya Ilani ya Utekelezaji ya CCM 2020-2024 imetolewa mbele ya Wajumbe wa Kata zote za Jimbo la Kalenga na wananchi kwa ujumla. Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Kichangani Julai 13, 2024

Akifungua mkutano huo Mwenyekiti wa CCM Wilaya Komredi Costantine Kihwele amesema, anawashukuru wajumbe wote kuhudhuria kwa wingi katika Mkutano huo na kwamba ni mara ya kwanza kwa Jimbo la Kalenga kusomewa utekelezaji wa Ilani ya CCM, hivyo ni muhimu kila mwananchi afahamu nini kinaendelea katika Jimbo lake.

Aidha Komredi Kihwele amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha nyingi za miradi katika Jimbo la Kalenga na miradi yote imetekelezwa na inaonekana, hivyo ni wajibu wa wananchi kumshukuru kwa kumpigia kura nyingi ifikapo wakati wa Uchaguzi Mkuu 2025.

Mgeni Rasmi katika Mkutano huo ni Mheshimiwa Livingstone Lusinde (Kibabji) ambeye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa (MNEC), amewapongeza jimbo la Kalenga kwa kutekeleza Ilani ya CCM na kufanya mkutano kama huo kuwajulisha wananchi wake.

Naye Mbunge wa Jimbo la Kalenga Mheshimiwa Jackson Kiswaga amewaomba wananchi kutobadilisha uongozi kwani kufanya hivyo ni kuchelewesha maendeleo. Pia amewaasa wananchi kutolinganishwa kwa viongozi wa muda mrefu na muda mfupi kwani uongozi unakuwa umetofuatiana sana kulinga na uzoefu, na maendeleo hayaji kwa siku moja tu.

Katika Mkutano huo Taasisi mbalimbali ziliweza kuwasilisha utekelezaji wake kama Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa kutekeleza miradi mbalimbali kama ujenzi wa shule, zahanati, vituo vya afya, Hospitali, na miundombinu mbalimbali, TARURA, TANESCO, na Mamlaka ya Maji Vijijini (RUWASA).

Wananchi wamepokea kwa mikono miwili utekelezaji huo na kwamba wameahidi kutoa ushirikiano kwa kila hatua inayofanywa na Mheshimiwa Rais.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa