• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TAMKO LA MTU NI AFYA LATOLEWA KATA YA MIGOLI IRINGA DC

Imewekwa : September 2nd, 2024


Tamko la Afya na usafi wa Mazingira  limetolewa katika kijiji cha Migoli wakati wa kampeni ya Mtu ni Afya iliyoongozwa na ndugu Mrisho Mpoto (Mjomba) iliyofanyika kijijini hapo Septemba 02, 2024

Kampeni ya Mtu ni Afya imebeba mambo muhimu ya msisitizo ambayo wananchi wote wamehamasishwa na kuelimishwa kupitia mkutano wa hadhara ulioambatana na michezo mbalimbali. Mambo yaliyopewa msisitizo ni; ujenzi wa vyoo bora na kuvitumia, unawaji wa mikono, kutibu maji, ufanyaji wa mazoezi, hedhi salama, nishati safi, lishe, utunzaji na usafi wa mazingira.

Baada ya elimu na hamasa kutolewa kupitia michezo mbalimbali ikiwemo kuvuta Kamba, rede, danadana na kuruka Kamba, wananchi wameulizwa na kukubali kubadilika na kuchukua hatua kwa tamko ambalo limetolewa na kaimu Mtendaji wa Kata ndugu Mlowe.

“Migoli ipo mbele kwenye suala la usafi wa mazingira na sasa tunaenda kurekebisha maeneo machache yaliyobakia lakini kwa upande wa hedhi salama kwa watoto wetu kama wazazi tunakaa nao vizuri na tutaendelea kuwa wasafi tunafanya kweli hatubaki nyuma” amesema Mhe. Yusta Kinyaga Diwani wa viti maalumu Migoli.

Kampeni hii imepambwa na kaulimbiu isemayo; FANYA KWELI, USIBAKI NYUMA “MTU NI AFYA”

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI JIMBO LA KALENGA & ISMAN October 12, 2025
  • Happy Nyerere day October 14, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI IRINGA DC AKABIDHI GARI MPYA KWA AJILI YA SHUGHULI ZA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA

    October 20, 2025
  • DC IRINGA MHE. SITTA AWAASA WANANCHI KUISHI KWA UPENDO

    October 09, 2025
  • TURITHISHANE UJUZI BADALA YA KILA MMOJA KUKUMBATIA ANACHOKIJUA - DED IRINGA DC NDG. MASUNYA

    October 01, 2025
  • RC IRINGA AHIMIZA UKAMILISHWAJI WA MIRADI ILIYOLETEWA FEDHA IRINGA DC

    September 30, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa