• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TURITHISHANE UJUZI BADALA YA KILA MMOJA KUKUMBATIA ANACHOKIJUA - DED IRINGA DC NDG. MASUNYA

Imewekwa : October 1st, 2025


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Ndg. Robert Masunya amewaasa watumishi kuhakikisha wanarithishana ujuzi walionao ili kuondoa utegemezi wa mtu mmoja katika Idara kuwa na uelewa wa kazi flani huku wengine wakikosa fursa hiyo.

Ndugu Masunya ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo kwa maafisa bajeti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa yaliyofanyika Octoba 01, 2025 katika ukumbi wa Siasa na kilimo yakiwa na lengo la kukuza uwezo wa maafisa bajeti katika uandaaji wa Mipango na bajeti za Idara na vitengo mbalimbali vya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Ndugu Robert Masunya amesisitiza kuwa ni vyema kurithishana ujuzi badala ya kukumbatia maarifa na kwamba, watumishi wanatakiwa kupeana maarifa  yatakayo rahisisha ufanyaji kazi katika taasisi.

"Katika taasisi zetu ni muhimu kugawana ujuzi ili Kila mmoja awe na uwezo wa kufanya kazi. Tusipende kukumbatia maarifa badala yake tufanye mambo kwa uwazi ili kutoa nafasi kwa wengine kujifunza na kuzifanya taasisi zetu kuwa Imara hata siku ikitokea waliokuwa na uwezo au ujuzi fulani hawapo basi sisi tunaweza kufanya kazi," amesema Ndugu Masunya.

Aidha ameongeza kuwa, washiriki wa mafunzo wanapaswa kuwa makini na kile wanachojifunza ili kuhakikisha kuwa wanafanya vizuri mahali ambako mambo yalikuwa hayafanyiki vema na kwamba yale ambayo yamekuwa changamoto siku zote, ni wakati sasa wa kuhakikisha zinafanyiwa kazi.

Kwa upande wake Mtakwimu wa Halmashauri ya Wilaya ambaye pia ni Afisa Bajeti Ndugu Yahaya Kiliwasha amewahimiza washiriki wa mafunzo kuwa makini kupata uelewa ili waweze kuwa na uwezo wa kuandaa mipango na bajeti kwa usahihi kwa kuzingatia vipaombele, uwezo muda na shughuli husika au utekelezaji unaopimika na hatimaye kuepuka changamoto zinazoweza kujitokeza wakati wa utekelezaji wa bajeti ikiwemo vifungu kubana.

Baadhi wa wajumbe katika mafunzo hayo wamepata nafasi ya kutoa shukrani zao kwa mafunzo huku wakiahidi utekelezaji wa walicho kipata katika mafunzo hayo.


Matangazo

  • ILANI YA KUSUDIO LA KUTUNGA SHERIA NDOGO August 28, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TURITHISHANE UJUZI BADALA YA KILA MMOJA KUKUMBATIA ANACHOKIJUA - DED IRINGA DC NDG. MASUNYA

    October 01, 2025
  • RC IRINGA AHIMIZA UKAMILISHWAJI WA MIRADI ILIYOLETEWA FEDHA IRINGA DC

    September 30, 2025
  • MGOMBEA MWENZA CCM DKT. NCHIMBI AFANYA MKUTANO WA KAMPENI PAWAGA - IRINGA DC

    September 25, 2025
  • MWENYEKITI WA INEC MHE. JAJI MWAMBENGELE ATEMBELEA IRINGA DC

    September 23, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa