• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

UGAWAJI WA VIFAA SAIDIZI KWA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA TOKA SHIRIKA LA IBO ITALIA

Imewekwa : May 6th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja amekabidhiwa vifaa saidizi kwa wanafunzi wenye Ulemavu toka kwa shirirka la IBO ITALIA, leo tarehe 06 Mei 2022.

Vifaa hivyo vyenye thamani ya Tsh 18, 925,000 vimegawiwa katika shule mbalimbali zenye vitengo maalumu kwa ajili ya kuhudumia wanafunzi wenye ulemavu ambayo ni Kipera(Bweni), Kidamali, Kilambo, Luganga, Magozi, Nyerere Sec, Mgama pamoja na Kimande.

Akikabidhiwa mfano wa vifaa hivyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja amelishukuru shirika hilo na kuwaomba kuendelea kufadhili Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa kuendelea kutoa huduma kwa wanafunzi wenye ulemavu

“Tunashukuru shirika la IBO ITALIA kwa kuendelez kufany akazi na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa bega kwa bega”.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la IBO ITALIA, Bi Paola Ghezzi amesema shirika hilo limekuwa likitekeleza mradi kwa mujibu wa makubaliano ya Wilaya ya Iringa kwa kiwango cha juu katika kusaidia sekta ya elimu na kwa kuwasaidia wanafunzi na watoto wenye ulemavu.

Naye Afisa Elimu Elimu Maalumu Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wilfred Mattu amesema Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ina jumla ya wanafunzi wenye ulemavu 592 waliotawanyika katika shule mbalimbali za Msingi, kadhalika na Walimu Wataalamu wa Elimu Maalumu 27.

Pia nae ameshukuru shirika l;a IBO ITALIA kwa kufadhili ujenzi wa Mabweni ya kisasa, vyoo, ngazi mteremko, kununua na kugawa vifaa saidizi kwa wanafunzi wenye ulemavu, kununua gari kwa ajili ya wanafunzi wenye Ulemavu pamoja na kufanya uelewa kwa jamii kuhusu watoto wenye ulemavu

Shirika la IBO ITALUIA linasimamia kauli mbiu isemayo “NO ONE LEFT BEHIND” kwa maana ya kuwa hakuna mtoto yoyote anayetakiwa kuachwa nyuma katika suala la ujifunzaji na kupata mahitaji ya msingib katika maisha, kauli mbiu hii inaenda sambamba na kauli ya Sera ya Elimu inayosema “ELIMU KWA WOTE”.

Matangazo

  • TANGAZO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA KATIKA SHULE YA SEKONDARI MLENGE April 30, 2022
  • TANGAZO LA UJENZI WA CHUMBA CHA KOMPYUTA KATIKA SHULE YA SEKONDARI MLENGE April 30, 2022
  • NECTA YATANGAZA MATOKEO YA DARASA LA SABA PSLE 2021 October 30, 2021
  • KILA LA KHERI KATIKA MTIHANI WENU WA KUHITIMU ELIMU YA KIDATO CHA NNE November 15, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMISAA WA SENSA MAMA ANNA MAKINDA AWATAKA MAAFISA HABARI WA SERIKALI KUTOA ELIMU YA SENSA YA WATU NA MAKAZI

    May 12, 2022
  • MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA MHE. STEPHEN MHAPA AKIWASILISHA TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA KATA YA NZIHI KATIKA MKUTANO WA BARAZA LA WAH. MADIWANI ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA SIASA NI KILIMO

    May 10, 2022
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA WAKILI MUHOJA AKIHUTUBIA KATIKA UFUNGUZI WA MAFUNZO YA SIKU TATU KWA WAWEZESHAJI WA TASAF HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA

    May 10, 2022
  • UGAWAJI WA VIFAA VYA USAFI KWA WATOTO WA KIKE WALIOKO SHULENI WANUFAIKA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI TASAF HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA

    May 07, 2022
  • Tazama zote

Video

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA POLIO, DALILI NA NJIA ZA KUJIKINGA
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Gangilonga

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0767778106

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa