• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Uwekezaji Mkubwa wa Serikali Umepelekea Ufaulu Mzuri - DC Kheri James

Imewekwa : July 19th, 2024

Uwekezaji Mkubwa wa Serikali Umepelekea Ufaulu Mzuri – DC Kheri James

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Kheri James Julai 19, 2024 amekutana na Wakuu wa Shule na kuwapongeza kwa kazi kubwa na nzuri wanayoifanya iliyopelekea matokea mazuri ya Kidato cha Sita 2024 katika Wilaya ya Iringa.

Akizungumza na Walimu hao katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo akiwa ameambatana Wakurugenzi wa Halmashauri Mhe. Kheri amesema kuwa, kutokana na Serikali kufanya uwekezaji mkubwa katika Sekta ya Elimu ndiyo jambo pekee lililopelekea matoka kuwa mazuri. Serikali imeboresha miundombinu kwa kujenga madarasa mpya, pia imeongeza walimu kwenye shule na kupandisha madaraja.

Pai Mhe. Kheri amesema kuwa, kutokana na matokea kuwa mazuri sasa ifike wakati kila mwananchi anakuwa na jukumu la kuhakikisha wananfunzi wanapata elimu bora ili kutokomeza ujinga katika Taifa letu.

Aidha, Mhe. Kheri ameaagiza viongozi wa Kata na Kijiji kuweka agenda ya elimu kuwa ya kudumu katika vikao vyao na wananchi katika suala la elimu.

Vilevile Mhe. Kheri amewaagiza Wakuu wa Shule kusimamia fedha zote zinazotolewa na Serikali kwa kuhakikisha miradi inakamilika na inaendana na thamani ya fedha iliyotolewa na Serikali.

Nao Wakurugenzi wa Halmashauri akiwemo Mkurugenzi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wamewapongeza Walimu hao kwa uchapakazi wao mkubwa wanaoufanya.

Wakizungumza mara baada ya kikao hicho baadhi ya Wakuu wa Shule wameseam kuwa, siri kubwa ya shule kupata matokeao mazuri kwanza ni miundombinu bora iliyowekwa kwenye shule hizo inayowanya wananfunzi hao kusoma kwa utulivu, na jambo lingine ni nidhamu ya wanafunzi.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa