• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wakimsikiliza Afisa Kazi Bi.Leonida Kibiki akifafanua jambo.

Imewekwa : July 28th, 2021

Baraza la Wafanyakazi Iringa – DC la kumbushwa Wajibu wake.

Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano,Iringa -DC)

 Afisa Kazi wa Mkoa wa Iringa Bi.Leonida Kibiki amewakumbusha wajumbe wa baraza la wafanyakazi wajibu na majukumu yao ni pamoja na kutimiza malengo ya taasisi ikiwemo kutoa michngo mizuri kwa kuzingatia taaluma zao.

Bi.Kibiki ameyazungumza hayo jana katika kikao cha kwanza cha baraza la wafanyakazi kwa mwaka wa fedha 2021-2022 huku akiwataka wawakilishi kuwa sauti ya watumishi wote na sio kutazama tu maeneo wanayotoka.

Aidha,katika kikao hiko kulifanyika uchaguzi kwa nafasi ya Ukatibu na Bw.Robin Gama aliibuka mshindi kwa kura 29 kati ya 57 zilizopita huku Bi.Gloria Tawa akipata kura 28 nakufanya idadi yote ya kura halali kuwa 57 na hakukuwa na kura iliyoharibika.

Baada ya uchaguzi huo Kaimu Mkurugeni Mtendaji ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza hilo Dkt.Samwel Marwa aliendelea na kikao na wajumbe waliibua hoja mbalimbali zikiwemo za upandaji wa madaraja,kutolipwa nauli za likizo na pesa za kujikimu kwa baadhi ya Watumishi na kutotembelewa na kusikilizwa kero wanazokutana nazo katika utekelezaji wa majukumu yao.

Bi.Merania Mwinuka aliomba kwa Mwenyekiti na Afisa Utumishi wawe na ziara za kuwatembelea watumishi na kusikiliza kero zao kwani kitendo hiko kitaleta utulivu na amani n ahata utekelezaji wa wajumuku utakuwa mzuri.

“Kutokuwa na amani na kutokuwa na taarifa ama majibu sahihi ya maswali yako kama mtumushi kunapunguza ari na weledi katika kutekeleza majukumu ya kila siu ya kiutumishi”Alisema Bi.Merania Mwinuka Muuguzi Hospitali teule ya Tosamaganga.

Akitoa ufafanuzi wa hoja hizo Afisa Utumishi Wilaya Bi.Beatrice Augustine alisema kuchelewa kwa masuala ya upandishwaji na ubadilishwaji wa muundo vilicheleweshwa na zoezi la uhakiki Watumishi hewa lililofanyika kuanzia mwezi Mei 2016 na baada ya zoezi hilo kukamilika taratibu za kiutumishi ziliendelea mpaka mwaka huu Mh.Rais alipoagiza Watumishi wanaostahili kupanda madaraja na kupata nyongeza ya mshahara ambalo limefanyika na tayari watumishi wameshaanza kuona nyengeza hizo.

Kuhusu watumishi kulipwa likizo alifafanua kwamba mtumishi unapokwenda likizo ambayo unastahili kulipwa nauli unatakiwa kuambatanisha fomu ya likizo na barua ya kuomba kulipwa fedha hizo na sio kweli kuwa Watumishi waliozaliwa ndani ya Mko,Wilaya ama Kijiji ambapo taasisi ipo haustahili kulipwa nauli.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa