• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wakuu wa Shule/Walezi 25 Wanufaika na Vishikwambi kutoka Shirika la CAMFED

Imewekwa : July 1st, 2022

 CAMFED ni shirika linashughulika na watoto wanaoishi katika mazingira magumu shuleni kwa kuwasaidia kulipia gharama mbalimbali. Pia husaidia kwa watoto waliacha shule kwa matatizo mbalimbali na kuwarejesha shule waweze kuendelea na masomo.

Pamoja na juhudi zinazofanywa na Shirika hili, pia wameweza kutoa vishikwambi kwa Wakuu wa Shule Ishirini na Tano ili kurahisha utoaji taarifa za watoto hao. Vishikwambi hivi watatumia Wakuu wa Shule au Walezi wanaosimamia watoto hawa.

Ester Sanga Mratibu wa Mradi CAMFED amesema, pamoja na kutoa huduma za kuwasaidia watoto hawa pia tunatoa program nyingi zinazohusiana na makuzi ili mtoto aweze kujitambua.

“Progaram hizi zinasaidia kuwaelimisha watoto hasa walioacha shule na kuwarejesha shule, pia vikundi vya wazazi ili waweze kutoa changamoto zao ambazo zimesababisha kushindwa kutunza watoto na kupelekea mtoto kuacha shule”, amesema.

Ameongeza kusema kuwa, Program hizi kwa kushirikiana na Serikali zinawawezesha watoto hawa kuwa katika mazingira bora ya kujifunzia”. Ameongeza kusema kuwa, Program hizi zinazotelewa na CAMFED zinafanyikia shule na siyo mtaani, kwa mfano Program ya ‘Dunia Yangu Bora’ inafunza kwa upana zaidi jinsi ya kumuelimisha mtoto aliyekata tamaa na kumrejeshea furaha”.

Kwa upande wake Afisa Elimu Sekondari Bwana Sylvester Mwenekitete amesema, “nashukuru kwa kutupatia vishikwambi hivi ambavyo vitawasidia Wakuu wa Shule/Walezi hawa kutoa taarifa kwa wakati na kwa usahihi. Halmashauri ina shule za sekondari nyingi lakini kwa Shule hizi Ishirini na Tano si haba na kwamba wataweza kufanya kazi kwa haraka zaidi kuliko walivyokuwa wanaandika kwenye makaratasi”. Pia naomba Shirika la CAMFED liendelee kuwaangazia watoto wengine wenye mazingira magumu ili kuwaokoa katika ulimwengu huu wa sasa ambapo watoto wanapotea kwa kukatishwa tamaa” amesema.

Naye Afisa Elimu Taaluma Mkoa Ndugu Gervas Simbeye ametoa shukrani za dhati kwa shirika la CAMFED kwa wito walionao wa kuwasaidia watoto wenye mazingira magumu. Ameomba wadau wengine kujitolea kutoa huduma kama hii ili kuokoa kizazi hiki kinachoangamia kwa changamoto mbalimbali.

 

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa