• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI IRINGA DC WANOLEWA KUHUSU MFUMO MPYA WA MALIPO KWA WAZABUNI NA WATOA HUDUMA

Imewekwa : May 20th, 2023

WALIMU SHULE ZA SEKODARI IRINGA DC WANOLEWA KUHUSU MFUMO MPYA WA MALIPO KWA WAZABUNI NA WATOA HUDUMA

Walimu wa Shule za Sekodari katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wapewa mafunzo ya kufanya malipo mbalimbali ya Shule kwa njia ya Mfumo mpya ambao wazabuni na watoa huduma wengine watafanyiwa malipo yao kwenye Mfumo wa Huduma ya TRA Kimtandao (Taxpayer Potal). Mafunzo haya yametolewa na wataalamu kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na Wahasibu kutoka Iringa Dc yaliyofanyika katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo tarehe 20.05.2023.

Kwenye mfumo huu, malipo ya mtoa huduma yatachakatwa na kodi ya zuio kukatwa kimtandao bila kumlazimu mtoa huduma kwenda kulipia kodi ya zuio mwenyewe jambo ambalo hapo kwanza lilileta usumbufu.

Akizungumza wakati wa mafunzo haya, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja amesema, lazima tujenge utamaduni wa kulipa kodi kwani makusanyo ya kodi baadaye hurudi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali akitolea mfano kuwa Shule zote za A-level katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa zinatarajia kupokea Fedha kutoka Serikalini muda wowote kutoka sasa kwa lengo la kuongeza madarasa na mabweni.

Kwa upande wake Meneja wa TRA Mkoa wa Iringa Ndg. Paul Walalaze amesema, Popote pale penye kipato kunatakiwa kuwa na kodi ya zuio na anayezuia ni mlipaji ambaye kwa hapa ni mtumishi wa Serikali. Aidha ndg. Walalaze amesema kodi ya zuio kwa mkandarasi ni 5% ya malipo yake na kwa mtoa huduma ni 2% ya malipo yake.

Pia amesisitiza kuhusu kudai risiti kwa kila manunuzi tunayofanya na kwamba kama ambavyo watumishi wa serikali wanalipa kodi bila kukwepa, vivyo hivyo na manunuzi mengine yote lazima kudai risi ili kujiridhisha na ulipwaji wa kodi.

Wakufunzi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Iringa na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wametoa mafunzo hayo kwa minajili kuwa baada ya Mafunzo, kodi zote za zuio kutoka kwa wazabuni na watoa huduma wengine hazitalipwa na mzabuni au mtoa huduma bali zitalipwa Kimfumo na hivyo kodi ya serikali itazuiwa kabla ya fedha kumfikia mhusika.

Kundi lililopatiwa mafunzo ni mwalimu Mkuu wa Shule na mwalimu wa fedha wa Shule husika ambao kwa pamoja walipitishwa hatua kwa hatua juu ya namna ya kutumia mfumo hadi hatua ya mwisho ya kufanya malipo na kwamba kila mtoa huduma wa Shule au mzabuni lazima kwanza awe na TIN namba ndipo hatua zingine ziweze kuendelea.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa