• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wananchi wa Pawaga Wahofia Kupatwa na Baa la Njaa

Imewekwa : April 18th, 2024

Wakazi wa Pawaga Wahofia Baa la Njaa

Wananchi na wakazi wa Tarafa ya Pawaga Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, wahofia kupatwa na baa la njaa kutokana na uwepo wa ndege washambuliao mpunga shambani, baada ya kuona ndege wanaosemekana huwa wanashambulia mpunga shambani ukiwa kwenye hatua ya kukomaa.

Timu ya Wataalam kutoka Wizara ya Kilimo Kanda ya Mbeya na Arusha na Wataalamu wa Halmashauri wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ambaye pia amekaimu nafasi ya Ukuu wa Wilaya Ndugu Robert Masunya, wameweza kutembelea eneo hilo Aprili 18, 2024 na kuonana na wanaanchi na kutoa ushauri ya nini kifanyike mara wakulima hao watakapoona ndege hao wakiingia shambani.

Awali taarifa za uwepo wa ndege hao ilitolea kwa Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa Komredi Kheri James alipokuwa ziara katika Tarafa hiyo ya kwenda kujitambulisha kwa wananchi na kujua eneo la utawala wake.

Pamoja na ushauri uliotolewa na Wataalam hao, waliomba kupewa ushirikiano wa kutambua maeneo ambayo ndege hao huweka makazi ili wajue namna ya kutibu au kutatua changamoto hiyo.

Wanachi wameomba Wataalam hao ikiwa na Serikali kwa ujumla kufanya jitihada za haraka kuwaondoa ndege hao kwani wana hofu ya kukosa chakula na biashara kwa msimu huu wa kilimo.

Aidha Ndugu Masunya ameweza aliweza kumuongoza Katibu Tawala wa Mkoa Bi. Doris Ntuli Kalasa kutembelea Hospitali ya Wilaya iliyopo Kata ya Itunundu Kijiji cha Mbuyuni Kitongoji cha Igodikafu na kujionea huduma zitolewazo na muendelezo wa ujenzi wa baadhi ya majengo.

Pia Ndugu Masunya aliweza kutembelea Shule ya Msingi mpya ya Mseke iliyopo Kijiji cha Itunundu kujionea maendeleo ya shule hiyo.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa