• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

"Watedaji Wanaovujisha na Kuiba Mapato, Hawatafumbiwa Macho" - Mh. Mhapa

Imewekwa : February 27th, 2024

“Watendaji Wanaovujisha na Kuiba Mapato, Hawatafumbiwa Macho” – Mh. Mhapa

“Watendaji wanaovujisha na kuiba mapato ya Serikali hawatafumbiwa macho hata kidogo. Kama wewe una dhamana ya kukusanya mapato kisha unaachia mapato yanapotea na kuibiwa utachukuliwa hatua kali za kisheria”.

Kauli hii imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Stephen Mhapa alipokuwa anatoa hotuba yake katika siku ya Pili ya Mkutano wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri Ihemi Februari 27, 2024.

Aidha, Mheshimiwa Mhapa amendeelea kusema kuwa, jambo la kukusanya mapato si la Mkurugenzi peke yake, jambo hili ni la kila mtu na anatakiwa kuwajibika, na hasa sehemu zote zilizowekwa mashine ya kukusanyia mapato (PoS)”.

Mkutano huo ulianza Februari 26, 2024 kwa kutoa taarifa za Kata, pia Mheshimiwa Mhapa ambaye alikuwa akiongoza Mkutano huo alisema machache, “Kutokana na maafa makubwa ya mvua zinazoendelea kunyesha bahati mbaya tulipoteza mtu  mmoja hadi sasa. Naendelea kusisitiza wananchi wachukue tahadhari kwani bado mvua zinaendelea kunyesha”.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Veronica Kessy amesema, usalama wa Wilaya upo vizuri, kadhalika hali ya siasa.

Mheshimiwa Kessy, amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa kuleta fedha nyingi za miradi hivyo tuwajibike kwa kila mtu sehemu yake kukamilisha miradi hiyo ili fedha zisirudi.

Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Komredi Rehema Mohamedi amesema, kutokana na vijiji vingi kukosa Watendaji, amemuomba Mwenyekiti wa Halmashauri kufuatilia kwa Waziri wa Utumishi ili kutoa kibali cha kuajiri Watendaji hao, ifikapo uchaguzi Watendaji hao wawe wameshazoea mazingira ya kazi.

Naye Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Komredi Costantine Kihwele amempongeza Mkurugenzi Mtendaji Wakili Bashir Muhoja kwa mapokezi ya fedha hizo na kuzipangia katika miradi ya maendeleo kama inavyohitajika hasa sehemu ambazo zina upungufu mkubwa wa madarasa.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wakili Bashir Muhoja amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo hasa elimu. Wakili Muhoja ameahidi kuanza kutekeleza miradi hiyo mara moja kwani fedha zimeshasoma na kupangiwa vifungu.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa