• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATENDAJI KATA WILAYANI IRINGA WAAGIZWA KUSIMAMIA UTOLEWAJI WA CHAKULA SHULENI

Imewekwa : March 20th, 2023

WATENDAJI KATA WILAYANI IRINGA WAAGIZWA KUSIMAMIA UTOLEWAJI WA CHAKULA SHULENI.

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Veronica Kessy amewataka Watendaji wa Kata zote zilizopo wilayani humo kusimamia utolewaji wa vyakula kwenye shule zote ikiwa ni moja ya mpango mkakati wa kutokomeza udumavu.

Mh. Kessy alisema hayo alipokuwa kwenye kikao cha kawaida cha Tathmini ya Mkataba wa Lishe kilichofanyika tarehe 21.03.2023 katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo.

Alisema “Mkataba wa Lishe unawawajibisha Watendaji wote kusimamia masuala yote ya Lishe ikiwemo kuhakikisha kuwa kila shule inatoa chakula cha mchana kwa wanafunzi”

Aidha, Mh. Kessy  amewapongeza Watendaji wa Kata zilizoweza kutoa chakula kwa wanafunzi kwenye shule zote na kuwataka wengine waliobaki kufanya hivyo katika shule zilizopo katika Kata zao.

Hata hivyo, Mheshimiwa Kessy ameshangazwa na hali ya udumavu iliyopo Mkoani Iringa hususani katika Wilaya hiyo licha ya Mkoa wa Iringa kubarikiwa na uwepo wa vyakula vingi, hivyo kumtaka Afisa Lishe asaidie namna bora ya ulaji utakaosaidia kuondokana na hali hiyo.

Naye Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Dkt.  Samweli Marwa ametahadharisha juu ya takwimu zinazotumika kutathmini hali ya Lishe ndani ya mkoa huo, kwani zinaleta hali isiyo na ulinganifu na uhalisia.

Kwa upande wake Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Bi. Tiliza Mbulla amesema kuwa pamoja na changamoto mbalimbali za masuala ya lishe pia kuna mafanikio yaliyofikiwa, ikiwa ni pamoja na ongezeko la wanafunzi wanaopata angalau mlo mmoja shuleni kutoka 69.84% hadi 78.69% kwa kipindi cha Oktoba-Desemba 2022, ongezeko la idadi ya shule zinazotekeleza mpango wa Lishe kutoka 70.73% hadi 87.44% kwa kipindi cha Okt-Dec 2022 na utekelezaji wa viashiria vyote vya mkataba wa Lishe kwa ufanisi kwa kutumia fedha za Halmashauri.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa