• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAUGUZI IRINGA DC WAHAKIKISHIWA MADAI YAO KUFANYIWA KAZI

Imewekwa : May 18th, 2024


Mkuu Wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu Iringa DC Bi. Beatrice Augustino amesema kuwa changamoto mbalimbali zinazohusiana na masuala ya utumishi katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa zikiwemo za wauguzi zimefanyiwa kazi na kama zipo zilizosalia zifikishwe kwenye ofisi husika ili nazo ziweze kushughulikiwa.

Bi. Beatrice ameyasema hayo alipokuwa akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani ambapo Kiwilaya yamefanyika katika kijiji cha Nzihi Mei 18, 2024.

Aidha, Bi. Beatrice amempongeza na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya mambo makubwa katika uongozi wake ikiwemo kuongeza kima cha chini cha mshahara kwa watumishi hadi 23%, kulipa madai ya watumishi pamoja na malimbikizo ya mshahara ambapo zaidi ya Bilioni 2.1 zimelipwa kama malimbikizo ya mshahara kwa watumishi wa Iringa DC na madai mengine Zaidi ya 210 yamewasilishwa Ofisi ya Rais Utumishi ili kufanyiwa kazi, Watumishi Zaidi ya 2005 kati ya watumishi 3347 wamepandishwa madaraja na wengine kubadilishiwa miundo ya kiutumishi.

Pamoja na mambo yaliyoelezwa pia wataalamu wa afya kada Uuguzi wamekumbushwa haki na wajibu na kwamba hivi ni vitu viwili vinavyoendana. “Tunapodai Haki, tuhakikishe tumetimiza wajibu wetu ipasavyo” amesema Bi. Beatrice.

Naye Mkuu wa Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe Dkt. Samweli Marwa amewapongeza wauguzi kwa kazi nzuri na kuwaahidi kuwa  wataendelea kuzitatua changamoto mbalimbali za kazi na vitendea kazi kwa kadri watakavyokuwa wanapata rasilimali na yale yaliyo nje ya uwezo wa halmashauri wataendelea kuyawasilisha Wizarani ili kupata utatuzi.

Maadhimisho haya yamefanyika kwa kuambatana na kufanya matendo ya huruma ambapo wauguzi walitembelea Kituo cha kulelea watoto yatima cha Nzihi kutoa msaada wa vyakula. Vile vile kwa tawi la Tosamaganga wametoa huduma za vipimo vya saratani ya mlango wa kizazi, magonjwa yasiyoambukiza, upimaji wa VVU bure na huduma ya RCH.

 

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA ESS YATOLEWA KWA WATUMISHI IRINGA DC

    June 25, 2025
  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa