• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wauguzi wakila kiapo cha utendaji kazi kwa weledi katika maadhimisho ya Siku ya Wauguzi yaliyofanyika Kata ya Ifunda Mei 12 mwaka huu.

Imewekwa : May 13th, 2021

Waziri Ummy atoa rai kwa Jamii kuheshimu na kutambua kazi za huduma ya afya zinazofanywa na wauuguzi nchini.

 Na Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano,Iringa-DC)

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu ametoa rai kwa jamii kutambua thamani ya kazi inayofanywa na wauguzi kote nchini.

Kauli hiyo aliitoa katika maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani ambayo yamefanyika kitaifa kwenye viwanja vya Kwaraa, mjini Babati, mkoani Manyara. Ambapo Kauli mbiu ya mwaka huu ni ‘Wauguzi, Sauti inayoongoza Dira ya Huduma ya Afya.’

Waziri Ummy Mwalimu amesema ni budi kuthamini kazi ya wauguzi kwa sababu inakusisha uokoaji wa maisha ya binadamu bila kujali itikadi wala matakaba, uuguzi ni fani muhimu ambayo inapaswa kuheshimiwa na jamii.

“Nimeongea na wauguzi wa Muhimbili, MOI, JKCI na wale wa hospitali za rufaa, wote wamenieleza shida kubwa inayowakabili ni maumivu ya mgogo kutokana na kazi kubwa wanayofanya, hivyo natambua changamoto zenu na nitazifanyia kazi,” amesema Waziri Mwalimu.

Kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Maadhimisho hayo yalifanyika katika Kata ya Ifunda yakiongozwa na Muuguzi Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Bi.Sara Mtweve ambapo wauguzi walikula kiapo cha kujikumbuha weledi katik utekelezaji wa majukumu yao ya kuhudumia jamii.

Aidha katika maadhimisho hayo Wauguzi wawili walitunukiwa vyeti ambao ni Dwilfina Ngowi ambaye alipata cheti cha pongezi kwa kusimamia na kutoa huduma znzuri za uuguzi na ukunga kwa kipindi cha mwaka 2020 na Gcecy Sembiu alipata cheti cha Nursing Ward Round.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa