• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAZIRI MKUU MHE. MAJALIWA AHIMIZA KILIMO CHA PARACHICHI IRINGA

Imewekwa : July 8th, 2024

WAZIRI MKUU AHIMIZA KILIMO CHA PARACHICHI IRINGA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amewaasa wananchi wa Iringa kufanya kilimo cha zao la parachichi kwani kwa sasa kuna fursa nzuri ya soko na soko kubwa linapatikana nchini China na India. Mhe. Majaliwa ameyasema haya alipokuwa akizungumza na wananchi katika viwanja vya Mwembetogwa Iringa Mjini Julai 08, 2024.

Mhe. Majaliwa amesisitiza kuwa uridhi mzuri kwa watoto ni kuwaachia shamba la parachichi kwani mparachichi huvunwa kwa muda wa miaka 45 hadi 50 zitamsaidia mtoto kwenye ngazi mbalimbali za kielimu hadi anapokuwa mtu mzima, hivyo wananchi wa Iringa wanapaswa kuendelea kulima zao hilo.

Aidha Mhe. Amesema kutokana na uwepo wa ndege za shirika la ATCL ni rahisi kupakia mzigo na kwenda moja kwa moja kwenye soko la parachichi bila kupata changamoto.

“Wana Iringa limeni Parachichi, soko llipo bei nzuri, usafirishaji ni bei rahisi kwa sababu tayari Dkt. Samia Suluhu Hassan ameleta ndege ya kubeba mizigo mnapakia mzigo wa parachichi, mnauza na kurudi nandege hiyo hiyo” amesema.

Kwa upande wa barabara Mhe. Majaliwa amesema serikali imeshakamilisha taratibu zote zinazohusu ujenzi wa barabara ya inayoenda kwenye hifadhi ya Taifa ya Ruaha (Iringa – Msembe) ikiwemo upatikanaji wa mkandarasi, barabara ambayo itajengwa kwa fedha kutoka benki ya Dunia. Wakishakagua wataalamu kutoka benki ya Dunia kazi itaanza.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amehitimisha ziara yake Mkoani Iringa ambapo amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo, kuongoza mbio za Marathoni 2024 zilizofanyika katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, kuzindua Hospitali Teule ya Tosamaganga kuwa Hospitali ya Rufaa na kuongea na wananchi katika maeneo mbalimbali.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa