• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Zaidi ya Bilini 142 Kukamilisha Ujenzi wa Barabara ya Iringa - Msembe (Ruaha)

Imewekwa : September 21st, 2024

Historia Yaandikwa Barabara ya Kwenda Hidadhi ya Ruaha – Zaidi ya Bilion 142 Kukamilisha Mradi Huo

Mamia ya wakazi wa Mkoa wa Iringa wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Peter Serukamba Septemba 21, 2024 wameshuhudia tukio la kihistoria la utiaji saini mkataba wa ujenzi wa barabara ya lami yneye urefu wa k. 104 kutoka Iringa mjini hadi Hifadhi ya Ruaha.

Barabara hiyo itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami ikiwa ni mchakato uliochukua takribani miaka 60 hadi utekelzaji wake.

Mkataba huo imewekwa kati ya Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Kampuni ya China Henan International Company Limited (CHICO), ambapo umefanyika katika viwanja vya Samora, Manispaa ya Iringa.

Akizungumza katika hafla hiyo Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa (Mb) amesema kuwa, mkataba huo wa ujenzi wa barabara ni mafanikio makubwa kwa Tanzania hasa katika kuinua Sekta ya Utalii na Uchumi Mkoani Iringa.

Aidha Mhe. Bashugwa amewahakikishia wananchi wanaodai fidia ya kupisha ujenzi huo kuwa watalipwa stahiki zao kwa wakati baada ya tathimini kumalizika.

Akitoa maelezo ya barabara hiyo Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Mohamed Besta amesema kuwa, ujenzi huo utachukua miezi 24 ukigharmu kiasi cha Shilingi Bilioni 142.56.

Akitoa salamu za Mkoa Mhe. Serukamba ametoa shukrani kwa Serikali huku akiiomba Wizara hiyo kushghulikia kwa haraka suala la fidia.

Kusainiwa kwa mkataba huo kumepongezwa na Wabunge wa Mkoa wa Iringa waliohudhuria katika hafla hiyo akiwemo William Lukuvi (Isimani), Jesca Msambatavangu (Iringa Mjini), Jackson Kiswaga (Kalenga), na Wabunge Viti Maalum Nancy Nyalusi na Rose Tweve ambao wataja kama historia kwa Mkoa huo na kusema kuwa Serikali imelipa deni kubwa kwa wananchi.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa