• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ZAIDI YA MADAWATI 162 YATOLEWA KWA SHULE YA SEKONDARI KIDAMALI NA SHAFA AGRO COMPANY LIMITED

Imewekwa : March 18th, 2023

ZAIDI YA MADAWATI 162 YATOLEWA KWA SHULE SEKONDARI YA KIDAMALI NA SHAFA AGRO COMPANY LIMITED

Shule ya sekondari Kidamali iliyopo katika Halmashuri ya Wilaya ya Iringa, mkoani Iringa, imepewa msaada wa madawati zaidi ya 162, na kampuni ya Shafa Agro Company  Limited ikiwa ni sehemu ya kurudisha kwa jamii inayowazunguka katika uwekezaji wao.

Akizungumza baada ya kukabidhiwa madawati hayo, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Mh. Stephen Mhapa amesema kuwa, wanathamini misaada inayotolewa na wawekezaji kwakuwa wanaunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha elimu nchini.

“Tunathamini misaada mikubwa na mingi inayotolewa na kampuni hii ya Shafa Agro Limited, na ninyi mnaona kampuni hii ni ya kwenu lakini sisi kwa pamoja wananchi, wanafunzi, wazazi, na viongozi wote tunaamini kabisa kampuni hii  inatuhusu kwa sababu na sisi tunafaidi matunda yake”

Aidha, Mh. Mhapa ameongeza kuwa, uwezekezaji wenye tija katika Halmashauri lazima ulindwe ili kuhakikisha unakuwa faida kwa Taifa na jamii nzima kwa ujumla ikwia ni pamoja na  wanafunzi ambao wamepata madawati hayo kusoma kwa bidii.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Bi. Lucy Nyalu,  amewashukuru na kuwapongeza wadau wa maendeleo Shafa Agro Company Limited kwa misaada yao kwani kasi waliyoanza nayo ni kubwa sana, na kuahidi kuendelea kutambua mchango wao.

Naye Mkuuu wa shule ya sekondari Kidamali amesema kuwa, mbali na kupewa viti na meza 162 vyenye thamani ya Tsh.  Milioni 9,720,000/-, kampuni hiyo imefadhili walimu watano (5) wa masomo ya sayansi kwa muda wa miezi 8 sawa na Tshs. 8,000,000/-, aidha wamejenga jiko dogo la kuandalia chakula cha wanafunzi kwa Tsh. 2,500,000/- ikiwa ni pamoja na kujenga  magoli ya uwanja wa mpira wa kikapu na kuahidi  kufanyia kazi ombi la kufadhili miundombinu ya maji shuleni hapo.

Kwa upande mwingine viongozi wa vijiji vya Kata ya Nzihi, wanafunzi, na jamii kwa ujumla wamepokea kwa mikono miwili msaada huo na kuongeza kuwa watoto wao watakuwa katika mazingira mazuri ya kujifunzia.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa