• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

JAMII YAASWA KUTUNZA MIUNDOMBINU YA AFYA IRINGA DC

Imewekwa : December 24th, 2023

JAMII YAASWA KUTUZA MIUNDOMBINU YA AFYA IRINGA DC

Haya yamesemwa na Peres Boniphace Magiri Mkuu wa Wilaya ya Kilolo alipokuwa akizungumza kwenye uzinduzi wa vituo vya kutolea huduma za Afya kwa niaba ya  Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego 24.12.2023 katika kijiji cha Matembo ambapo kuna Zahanati iliyojengwa kwa Ufadhili wa Kampuni ya ASAS kuanzia mwanzo hadi kukamilika kwake.

”Tunatakiwa kuilinda na kuitunza miundombinu ya afya, hakuna sababu ndani ya mwaka mmoja tuanze kuhitaji ukarabati hilo naamini mtazingatia si hapa tu bali ni maeneo yote ambapo tuna miundombinu hii ambayo tunasema imezinduliwa katika vituo vingine vinane katika Wilaya yetu ya Iringa. “ amesema Mhe. Magiri.

Vituo vya kutolea huduma ya afya vilivyozinduliwa ni 8 ambavyo ni;­

  • Zahanati ya Matembo
  • Zahanati ya Kinywang’anga
  • Zahanati ya Mawindi
  • Zahanati ya Kihorogota
  • Zahanati ya Horo
  • Zahanati ya Kinyali
  • Zahanati ya Usolanga na
  • Kituo cha Afya Migoli

Pia kumefanyika upanuzi wa vituo viwili vya afya ambavyo ni Isimani na Malengamakali kwenye eneo la majengo ya upauaji, Maabara, OPD, Mochwari, nyumba za watumishi na majengo ya huduma ya uzazi afya na mtoto.

Zoezi hili la uzinduzi wa vituo vya kutolea huduma za afya limeenda sambamba na uzinduzi wa maboresho ya huduma kwenye Hosptali ya Wilaya ya Iringa (Igodikafu). Maeneo yaliyoboreshwa ni kwenye upande wa huduma ya upasuaji kwa akimama wajawazito huduma ambayo mwanzoni haikuwepo, huduma za meno, huduma za macho na x-ray.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Kampuni ya ASAS ameahidi kujenga zahanati nyingine moja na kusaidia maboresho ya zahanati ya Kising’a ili iwe kituo cha Afya.

Naye Diwani wa Kata ya Kising’a Mhe. Ritha Mlagala ameishukuru Serikali chini ya Rais wa awamu ya sita Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutengeneza mazingira mazuri ya wadau kuweza kushirikiana na jamii kufanya shughuli za maendeleo. vilevile ameishukuru kampuni ya ASAS kwa kuwajengea Zahanati na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa Kutoa milioni 14 kwa ajili ya vifaa tiba.

Matangazo

  • KARIBU IRINGA MHE. SITTA June 30, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC IRINGA MHE. BENJAMIN SITTA APOKELEWA NA KUKABIDHIWA OFISI

    June 30, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA ESS YATOLEWA KWA WATUMISHI IRINGA DC

    June 25, 2025
  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa