• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

NAIBU WAZIRI MHE. DKT. DUGANGE APONGEZA UJENZI WA DARAJA LA NGANO-IGULA IRINGA DC

Imewekwa : December 19th, 2023

NAIBU WAZIRI DUGANGE AFURAHISHWA NA UJENZI WA DARAJA LA NGANO – IGULA IRINGA DC

Naibu Waziri wa OR-TAMISEMI (Afya) Mhe. Dkt. Festo Dugange amefurahishwa na kupongeza kazi ya ujenzi wa daraja la Ngano – Igula  lililojengwa kwa mawe alipotembelea eneo hilo 19.12.2023.

Daraja hilo linalounganisha vijiji mbalimbali vya Tarafa ya Isimani na hata Wilaya ya Kilolo lina urefu wa km 34 na limegharimu kiasi cha shilingi milioni 225 gharama ambayo ni nafuu ukilinganisha na kama lingejengwa kwa utaratibu wa kawaida ambapo lingegharimu Zaidi ya shilingi Bilioni 2.

Mhe. Dkt. Dugange ametoa wito kwa wahandisi wa Wilaya na Mikoa mingine kufika na kujifunza teknolojia hii rahisi inayotumia malighali inayopatikana kwenye maeneo husika ambayo ni mawe ili kuweza kuitumia kwenye maeneo mengine.

“Nitumie nafasi hii kuwapongeza sana wananchi wa vijiji hivi na Wilaya hii kwa ujumla kwa zawadi kubwa hii mliyoipata ya daraja ambalo ni mkombozi kwa shughuli zetu za kila siku, shughuli za kijamii na kiuchumi. Lakini pia daraja hili limegharimu kiasi cha takribani shilingi milioni 225, lina urefu wa mita 34 limetumia madini ya asili yanayopatikana kwenye maeneo yetu… na kuokoa Zaidi ya Bilioni 1 na milioni 800”

Aidha Mhe. Dkt. Dugange amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani kwa Kuongeza bajeti ya TARURA mara dufu iliyowezesha kuboreshwa kwa mitandao ya barabara.

Mhe. Dkt Dugange pia alitembelea na kukagua ujenzi wa kituo cha Afya Malengamakali pamoja Shule ya Sekondari William Lukuvi na kuagiza kuwa mapungufu yaliyojitokeza yafanyiwe kazi ili kazi iliyokusudiwa ikamilike kwa wakati na huduma iendelee kutolewa.

Matangazo

  • KARIBU IRINGA MHE. SITTA June 30, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC IRINGA MHE. BENJAMIN SITTA APOKELEWA NA KUKABIDHIWA OFISI

    June 30, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA ESS YATOLEWA KWA WATUMISHI IRINGA DC

    June 25, 2025
  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa