• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC IRINGA APOKEA VIFAA VYA UJENZI KUTOKA BENKI YA NMB

Imewekwa : November 9th, 2023

RC IRINGA APOKEA VIFAA VYA UJENZI KUTOKA BENKI YA NMB

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego amepokea vifaa vya ujenzi vilivyotolewa na benki ya NMB kama sehemu ya kuimarisha uhusiano wa na jamii inayowazunguka.

Vifaa vilivyotolewa na wadau wa benki ya NMB ni kama ifuatavyo;

  • Shule ya sekondari Makifu – bati 200, misumari kg 100 na mbao 500
  • Shule ya sekondari Lumuli – bati 300
  • Shule ya sekondari William Lukuvi – bati 200, misumari kg 500 na mbao 500
  • Shule ya sekondari Mlenge – bati 200, misumari kg 100 na mbao 500

Hivyo kufanya jumla ya vifaa vilivyotolewa ni bati 900, misumari kg 700, mbao 1,500

Mhe. Dendego amepongeza wadau wanaoshirikiana na serikali katika kuchangia maendeleo na kusema kuwa, serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya na inaendelea kufanya mambo makubwa ya kuwaletea wananchi maendeleo, na kwamba mtu yeyote hapaswi kubeza kwani yanayofanywa yanaonekana wazi.

Pia Mhe. Dendego amempongeza Mbunge wa Jimbo la Isimani Mhe. William Lukuvi kwa kuwatafuta wadau wa benki ya NMB kuweza kuchangia vifaa vya ujenzi kwenye shule mbalimbali za eneo hilo.

Sanjari na hayo, Mhe. Halima Dendego ametambua changamoto ya kijiografia ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa na kuona kuwa kuna uhitaji wa kuwa na halmashauri mbili. Hivyo ameelekeza kuwa taratibu za kupata Halmashauri mbili zianze na inapokuja RCC makubaliano yafikiwe na ombi lipelekwe ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi.

Naye mbunge wa jimbo la Isimani Mhe. William Lukuvi ameshukuru na kufikisha salamu za Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hasan kwa kutoa fedha za ujenzi wa Zahanati ya Magombwe milioni 120, na fedha za ujenzi wa nyumba ya mganga shilingi milioni 25, na fedha zingine zimetengwa kwaajili ya ujenzi wa kituo cha Afya Isele Kata ya Mlenge kiasi cha shilingi 339 kupitia mradi wa TASAF.

Pia Mhe. Rais ameamua kuifungua Pawaga ambapo kuna barabara ya lami itajengwa kuanzia Pawaga sekondari hadi Izazi na Itunundu kwenda Iringa mjini kuanzia mwaka 2024 na barabara zote hizi zitaanza kwa pamoja, amesema Mhe. Lukuvi.

Matangazo

  • KARIBU IRINGA MHE. SITTA June 30, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC IRINGA MHE. BENJAMIN SITTA APOKELEWA NA KUKABIDHIWA OFISI

    June 30, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA ESS YATOLEWA KWA WATUMISHI IRINGA DC

    June 25, 2025
  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa