• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Miradi iliyokamilika

 

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

 

HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA

 

 

 

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KISEKTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA KWA KIPINDI CHA MWAKA 2016/17

 

Imeandaliwa na:-                                                                                                                                                                                 Mkurugenzi Mtendaji (W) Iringa,                                                                                                                                                P.O.BOX 108,                                                                                                                                                                                           

 

1.0 UTANGULIZI

 taarifa hii inakusudiwa kuwasilishwa  kuonesha aina ya miradi iliyotekelezwa kwa kila sekta, hali ya utekelezaji wa miradi hiyo, bajeti iliyoidhinishwa kwa mwaka 2016/17, chanzo cha fedha, fedha iliyopokelewa, fedha iliyotumika na changamoto zilizojitokeza na kuathiri utekelezaji wa miradi iliyopangwa. Aidha katika taarifa hii sekta zitakazohusika ni Maji, Elimu Msingi na Sekondari, Afya, Ujenzi, Mipango na Kilimo. Changamoto zilizoikumba Halmashauri kwa kipindi chote cha utekelezaji kwa mwaka 2016/17 zimeoneshwa katika Majedwali upande wa kulia kabisa wa jedwali (b).

2.0 HALI HALISI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO ILIYOPANGWA KUTEKELEZWA MWAKA 2016/17

Taarifa zinazoihusu sehemu hii ya pili zimeoneshwa kwa njia ya majedwali kama ifuatavyo:-

2.1. SEKTA YA MAJI

Katika mwaka 2016/17, Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kupitia Idara ya Maji ilitenga katika bajeti yake jumla ya Tshs. 831,157,069 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji. Hadi tarehe 30 Juni 2017, Halmashauri ilikuwa imepokea jumla ya Tshs. 1,195,884,239 kama inavyooneshwa katika jedwali lifuatalo:

            a) Mapokezi na Matumizi ya fedha za maji mwaka 2016/17

NA
SEKTA
CHANZO CHA FEDHA
BAJETI 2016/17
KIASI POKELEWA
% YA MAPOKEZI
KIASI TUMIKA
% YA MATUMIZI
BAKI
MAONI
1
MAJI
WSDP
161,927,069
673,172,739
416
673,172,739
100
0
Pamoja na mapokezi haya, bado Halmashauri inadaiwa jumla ya Tshs. 317,488,004
2

UNICEF
195,150,000
195,150,000
100
184,777,005
95
0

3

REA
474,080,000
327,561,500
69
324,556,201
99
0

 
Jumla 2016/17
831,157,069
1,195,884,239
 
1,182,505,945
 
 
 

            b) Hali ya utekelezaji wa miradi ya Sekta ya maji iliyopangwa mwaka 2016/17, pamoja na mapokezi na Matumizi ya fedha.

NA

SEKTA

JINA LA MRADI

KAZI ZILIZOPANGWA

HALI YA UTEKELEZAJI

KIPINDI CHA UTEKELEZAJI

BAJETI 2016/17

CHANZO CHA FEDHA

FEDHA ILIYO POKELEWA

FEDHA TUMIKA

CHANGAMOTO

1

MAJI
 Ujenzi wa Mradi wa Maji Malizanga                                        
Uunganishaji wa vituo 26 vya kuchotea maji.
Urekebishaji wa mitaro ya bomba na ufukiaji wa mabomba kwa km 10
Ujenzi wa lambo 1 la kunyweshea mifugo
Umaliziaji wa ofisi ya watumiaji maji na uwekaji wa samani za ofisi
Ujenzi wa chemba za hewa,
Umaliziaji wa tanki 1 la maji
Uunganishaji wa vituo vya kuchotea maji 23 umekaamiika
Urekebishaji wa mitaro ya bomba na ufukiaji wa  mabomba kwa km 10 umekamilika
Ujenzi wa lambo 1 la kunyweshea mifugo umekamilika 95%
Umaliziaji wa ofisi ya watumiaji maji na uwekaji wa samani za ofisi umekamilika 90
Umaliziaji wa tanki 1 la maji umekamilika 90

Miezi 9

144,806,046

MOWI

123,522,750.45

123,522,750.45


2


 Ujenzi wa Mradi wa Maji Mfyome                                        
Ufungaji wa transfoma kwa ajili ya kusukuma pampu katika kisima kimoja,
Uandaaji na uwasilishaji wa Michoro ya mfumo wa mradi
Uunganishaji wa vituo 11 vya kuchotea maji
Uunganishaji wa vituo 11 vya kuchotea maji

Miezi 9

0.00

MOWI

14,022,036.63

14,022,036.63


3


 Ujenzi wa Mradi wa Maji Migoli                                      
Ujenzi wa tank la kuhifadhia maji
Ujenzi wa birika la kunyweshea mifugo
Ujenzi wa wa pump house
Uchimbaji mitaro
Ununuzi wa mabomba
Ulazaji mabomba na ufukiaji
Ujenzi wa vituo vya kuchotea maji 20
Ujenzi wa tank la kuhifadhia maji umekamilika 95%,
Ujenzi wa birika la kunyweshea mifugo umekamilika 85%.                                        
Ujenzi wa wa pump house umekamilika 80%                
Uchimbaji mitaro umekamilika 95%                                                        
Ununuzi wa mabomba umekamilika 90%                          
Ulazaji mabomba na ufukiaji umekamilika 53%
Ujenzi wa vituo vya kuchotea maji 20

Miezi 12

0.00

MOWI

365,527,738.09

365,527,738.09


4


 Ujenzi wa Mradi wa Maji Izazi
Ujenzi wa tank la kuhifadhia maji
Ujenzi wa birika la kunyweshea mifugo
Ujenzi wa wa pump house
Uchimbaji mitaro
Ununuzi wa mabomba
Ulazaji mabomba na ufukiaji
Ujenzi wa vituo vya kuchotea maji 20
Ujenzi wa tank la kuhifadhia maji umekamilika 90%,
Ujenzi wa birika la kunyweshea mifugo umekamilika 80%.                                        
Ujenzi wa wa pump house umekamilika 80%                
Uchimbaji mitaro umekamilika 70%                                                        
Ununuzi wa mabomba umekamilika 90%                          
Ulazaji mabomba na ufukiaji umekamilika 27%

Miezi 12

0.00

MOWI

140,100,213.40

140,100,213.40


5


Ukarabati Mradi wa maji wa Igangidungu
Uletaji na ufu ngaji wa pampu  inayoendeshwa na jenereta na vifaa vyake
Kufanya matengenezo katika mfumo wa umeme na jenereta
Kufanya matengenezo ya miundombinu ya maji
Uletaji na ufu ngaji wa pampu  inayoendeshwa na jenereta na vifaa vyake
Kufanya matengenezo katika mfumo wa umeme na jenereta
Kufanya matengenezo ya miundombinu ya maji

Sik 30

17,121,023.00

MOWI

0.00

0.00


6


Kuwezesha usanifu wa upanuzi wa mradi wa maji Pawaga
Kupitia miundombinu iliyopo ya Mradi kuanzia chanzo mpaka mwisho wa mradi kwas asa
Kuainisha mapungufu yaliyopo kwenye mradi
Kufanya usanifu toka mahali mradi ulipoishia kwenda vijiji vya kata ya mlenge
Kuwasilisha michoro ya usanifu wa mradi na mahitaji (BOQ)
Kuupitia mradi wote
Kuainisha mapungufu
Kusanifu upanuzi wa miundombinu kwenda kwenye vijiji vilivyopo kwenye kata ya Mlenge
Uwasilishaji wa michoro na mahitaji ya usanifu uliofanyika

Siku 30

0.00

MOWI

30,000,000.00

30,000,000.00


8


Uwekaji wa  mfumo wa umeme wa jua na pampu katika visima 19 (Mbuyuni, Msimbi, Kitisi, Idodi, Makuka, Ivangwa, Uhominyi, Kising’a Igingilanyi, Iguluba, Isaka, Makadupa, Usolanga kawemba, Iselembigamo, Magombwe shuleni Kisanga kilangililo, Ipwasi, Mawindi na Holo)
Ujenzi wa vinara vya matenki 19,          
Uwekaji wa mfumo wa umeme jua na  pampu katika visima 19,
Uchimbaji mtaro na kulaza mabomba katika visima 13    
Ujenzi wa vituo 3 kwa kila kisima
Ujenzi wa tank vinara vya matenki 19,            
Uwekaji wa mfumo wa umeme jua na  pampu katika visima 19,
Uchimbaji mtaro na kulaza mabomba katika visima 13    
Ujenzi wa vituo 3 kwa kila kisima kwa visima 13                            

Siku 120

474,080,000

REA

327,561,500.00

324,556,201.00




Kujenga miundombinu ya   vinawia mikono vya pamoja 7 katika shule ya msingi  Kiponzero, Chamgogo, kidilo, kisanga, kibena, katenge, kibebe, ulanda na Mangalali
Ujenzi wa vinawia mikono vya pamoja kwenye shule ya msingi Katenge, Kidilo, Kibena Makombe, Ulanda, Maperamengi na Mangalali
Ujenzi wa vinawia mikono vya pamoja kwenye shule ya msingi Katenge, Kidilo, Kibena na Makombe umekamilika
Ujenzi wa vinawia mikono vya pamoja katika shule ya msingi Ulanda, Maperamengi na Mangalali unaendelea

Siku 90

21,000,000

UNICEF

21,000,000.00

10,627,005.00




Kufanya utafiti wa eneo lenye maji na kuchimba kisima katika shule za msingi tatu (3) Katenge, Kidilo na Magunga
Upimaji wa maji ardhi katika shule ya msingi Katenge, Kidilo na Magunga
Uchimbaji wa visima 3 katika shule ya msingi Katenge, Kidilo na Magunga
Upimaji wa maji ardhi katika shule ya msingi Katenge, Kidilo na Magunga umekamilika
Uchimbaji wa visima 3 katika shule ya msingi Katenge, Kidilo na Magunga umekamilika

Siku 60

80,850,000

UNICEF

80,850,000.00

80,850,000.00




Kuweka mfumo wa umeme jua na  pampu katika shule ya msingi Katenge, Kidilo na Magunga
Ujezi wa vinara 4 vya matenki,
Uwekaji wa matenki 3 ya lita 5,000,
Ufungaji wa mfumo wa maji,
Ujenzi wa vituo vya kuchtea maji 8,
Ufungaji wa mfumo wa umeme jua na pampu
Ujezi wa vinara 4 vya matenki umekamilika
Uwekaji wa matenki 3 ya lita 5,000 umekamilika
Ufungaji wa mfumo wa maji umekamilika
Ujenzi wa vituo vya kuchtea maji 8 umekamilika
Ufungaji wa mfumo wa umeme jua na pampu umekamilika

Siku 120

93,300,000

UNICEF

93,300,000.00

93,300,000.00



JUMLA NDOGO YA SEKTA YA MAJI 2016/17

831,157,069

 

1,195,884,239

1,182,505,945


 

 

2.2 SEKTA YA ELIMU MSINGI

            a) Miradi ya maendeleo iliyotekelezwa mwaka 2016/17

Na

SEKTA

JINA LA MRADI

KAZI ZILIZOPANGWA 

HALI HALISI YA UTEKELEZAJI

KIPINDI CHA UTEKELEZAJI

BAJETI 2016/2017

CHANZO CHA FEDHA

FEDHA POKELEWA

FEDHA TUMIKA

CHANGAMOTO

1

Elimu Msingi
Ujenzi wa bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalumu Kipera Shule ya Msingi.
Umaliziaji wa ujenzi wa bweni na miundombinu ya maji safi na maji taka
Kazi inaendelea kwa kufunga milango na madirisha, vyoo na upakaji wa rangi.

2016/2017

100,000,000

TAMISEMI (P4R)

100,000,000

90,643,610

HAKUNA

2

 

Ujenzi wa miundombinu Shule ya msingi Chamgogo.
Kujenga Madarasa 5, utengenezaji wa Madawati 100, ujenzi wa Matundu 20 ya vyoo, na ukarabati wa madarasa.
Madarasa 5, vyoo 2 vya matundu 24 vimejengwa, madawati 100 yametengenezwa na vifaa vya ukarabati wa madarasa vimenunuliwa.

2016/2017

132,000,000

TAMISEMI (P4R)

132,000,000

130,544,070

Fedha hazitoshi, Miundombinu ya barabara ya kuelekea Chamgogo ni mibovu na imesababisha gharama za usafirishaji wa vifaa kupanda.

3

 

Ujenzi wa miundombinu ya shule ya msingi Kalenga.
Kujenga Madarasa 4, uzio, kukarabati majengo ya shule
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4, maktaba 1, Matundu ya Vyoo 20 na uzio wa km 2.48 unaendelea.

2016/2017

241,000,000

TAMISEMI (P4R)

241,000,000

98,000,000

Fedha hazitoshi kukarabati vyumba vya madarasa na ununuzi wa madawati.

4

 

Kumalizia kupaua madarasa 2 shule ya msingi Mwanyengo
Kuzisaidia shule mbalimbali zilizokuwa na maboma yaliyojengwa na kijiji
Ujenzi wa madarasa na vyoo vya shule (Jengo limepauliwa na kuweka sakafu).

2016/2017

43,380,600

TAMISEMI (P4R)

43,380,600

43,380,600

Fedha hazitoshi, kazi ya umaliziaji wa maboma haijakamilika

 

JUMLA

 

516,380,600

 

516,380,600

362,568,280

 
 
 
 
 
 
 
 
                      b) Hali ya utekelezaji wa Miradi iliyovuka na fedha mwaka 2015/16 Tshs. 43,380,600 (Mchanganuo wa matumizi)
                             

Na

SEKTA

JINA LA MRADI

KAZI ZILIZOPANGWA 

HALI HALISI YA UTEKELEZAJI

KIPINDI CHA UTEKELEZAJI

BAJETI 2016/2017

CHANZO CHA FEDHA

FEDHA POKELEWA

FEDHA TUMIKA

CHANGAMOTO

1

Elimu Msingi

Kumalizia ujenzi wa vyumba vya madarasa Shule ya msingi Sasamambo
Kupauwa,lipu na sakafu
Maandalizi ya ring beam yanaendelea

2016/2017

5,000,000

TAMISEMI (P4R)

5,000,000

5,000,000

Fedha zilizotengwa kazi hiyo hazitoshi

2

 

Kumalizia ujenzi wa vyumba vya  madarasa 2 shule ya msingi  Isaka
Kupauwa,lipu na sakafu
Maandalizi ya kupaua yanaendelea

2016/2017

5,000,000

TAMISEMI (P4R)

5,000,000

5,000,000

Fedha zilizotengwa kazi hiyo hazitoshi

3


Kumalizia ujenzi wa  madarasa 2 shule ya msingi Mangawe
Kupauwa, lipu, sakafu kuweka milango na madirisha.
Maandalizi ya kuweka milango na madirisha yanaendelea.

2016/2017

5,000,000

TAMISEMI (P4R)

5,000,000

5,000,000

Fedha zilizotengwa kwa kukamilisha ujenzi hazitoshi

5


Kumalizia ujenzi madarasa 2 shule ya msingi Itunundu
Kupauwa, lipu, sakafu ku.
Madarasa 2 yamepauliwa, maandalizi ya lipu na sakafu yanaendelea

2016/2017

5,000,000

TAMISEMI (P4R)

5,000,000

5,000,000

Fedha zilizotengwa kwa umaliziaji hazitoshi

6


Kumalizia ujenzi madarasa 2 shule ya msingi Kidilo
Kupauwa, lipu, sakafu ku.
Madarasa 2 yamepauliwa, maandalizi ya lipu na sakafu vimekamilika

2016/2017

4,000,000

TAMISEMI (P4R)

4,000,000

4,000,000

Fedha zilizotengwa kwa ukamilishaji hazitoshi

7


Kumalizia ujenzi madarasa 2 shule ya msingi Mwayengo
Kupauwa, lipu, sakafu ku.
Madarasa 2 wamepauwa, wanafanya maandalizi ya lipu na sakafu

2016/2017

8,000,000

TAMISEMI (P4R)

8,000,000

8,000,000

Fedha zilizotengwa kwa ukamilishaji hazitoshi

8


Ujenzi wa matundu ya vyoo 8 katika Shule ya Msingi Lwato
Kuchimba na kujenga shimo, kufanya maandalizi ya ujenzi wa mabanda ya vyoo
Ufunikaji wa shimo la vyoo unaendelea

2016/2017

3,200,000

TAMISEMI (P4R)

3,200,000

3,200,000

Fedha za ukamilishaji hazitoshi

9


Ujenzi wa matundu ya vyoo 8 katika Shule ya Msingi Masumbo
Kuchimba shimo, kujenga shimo, ujenzi wa banda
Maandalizi ya kufunika shimo yanaendelea

2016/2017

3,200,000

TAMISEMI (P4R)

3,200,000

3,200,000

Fedha za ukamilishaji hazitoshi

10


Ujenzi wa matundu ya vyoo 8 katika Shule ya Msingi Usengelindete
Kusaidia ukamilishaji wa ujenzi wa vyoo
Jengo limepauliwa, lipu na sakafu tayari bado rangi

2016/2017

2,980,600

TAMISEMI (P4R)

2,980,600

2,980,600

Fedha za ukamilishaji hazitoshi

11


Ujenzi wa matundu ya vyoo 8 katika Shule ya Msingi Kiponzero
Kufunika shimo, kujenga mabanda ya vyoo, lipu na sakafu
Shimo limefunikwa, mabanda yamejengwa, uezekaji umekamilika, bado lipu na sakafu

2016/2017

2,000,000

TAMISEMI (P4R)

2,000,000

2,000,000

Fedha za ukamilishaji hazitoshi

JUMLA


 43,380,600

43,380,600

43,380,600



              c) Hali ya utekelezaji wa elimu bila malipo

Na

SEKTA

JINA LA MRADI

KAZI ZILIZOPANGWA 

HALI HALISI YA UTEKELEZAJI

KIPINDI CHA UTEKELEZAJI

BAJETI 2016/2017

CHANZO CHA FEDHA

FEDHA POKELEWA

FEDHA TUMIKA

CHANGAMOTO

1

Elimu Msingi

Kuhudumia wanafunzi wenye mahitaji maalum katika shule za msingi za Kipera, Tanangozi, Kidamali na Mfyome
Kutoa huduma mbalimbali za chakula, nauli, matibabu kwa wanafunzi  wenye mahitaji maalumu na posho kwa watumishi wanaowalea  wanafunzi wenye mahitaji maalumu
Huduma zote zimetolewa

2016/2017

43,903,571

HAZINA

43,903,571

43,903,571

Fedha haitoshelezi mahitaji kwani idadi ya watoto ni kubwa

2


Utawala na Uendeshaji wa shule 148
Utawala, ununuzi wa vifaa, uendeshaji wa mitihani, ukarabati na michezo
Huduma zote zimetolewa japokuwa kwa kiwango cha wastani

2016/2017

327,361,113

HAZINA

327,361,113

327,361,113

Fedha haitoshelezi mahitaji kwani idadi ya watoto ni kubwa na kiwango cha pesa kinachotolewa ni kidogo

JUMLA


371,264,684


371,264,684

371,264,684



Jumla Kuu Sekta ya Elimu Msingi 2016/17

2016/2017

931,025,884

TAMISEMI

931,025,884

777,213,564






















2.3. SEKTA YA ELIMU SEKONDARI-MIRADI INAYOTEKELEZWA


S/N
SEKTA
JINA LA MRADI
KAZI ZLIZOPANGWA KUTEKELEZWA
HALI HALISI YA UTEKELEZAJI
KIPINDI CHA UTEKELEZAJI
BAJETI
2016/2017
CHANZO CHA FEDHA
FEDHA POKELEWA
FEDHA TUMIKA
CHANGAMOTO

1
Elimu  Sekondari
Ujenzi wa  Mabweni 6 katika shule za sekondari za Isimani, Pawaga na WilliamLukuvi
Kujenga mabweni  6 na kuyakamilisha kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi wa kidato cha tano  na sita katika shule za sekondari za Isimani, Pawaga na William Lukuvi
Ujenzi upo hatua ya kupandisha kuta katika Shule za Sekondari za Ismani  William Lukuvi  na Pawaga
Machi 2017 hadi June 2017
450,000,000
Wizara ya Elimu
(P4R)
450,000,000
71,727,000
Fedha kuchelewa kufika

2
Elimu  Sekondari
Ujenzi  wa madarasa 12 katika shule za sekondari za Isimani, Pawaga , WilliamLukuvi
Kujenga madarasa 12 na kuyakamilisha kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi katika shule za Sekondari za Isimani, Pawaga na WilliamLukuvi
Ujenzi upo hatua ya kupaua katika  Shule ya Sekondari  Ismani na hatua ya kupandisha kuta katika shule za sekondari za William Lukuvi na Pawaga
Machi 2017 hadi June 2017
246,000,000
Wizara ya Elimu
(P4R)
240,000,000
32,853,520
Fedha kuchelewa kufika

3
Elimu  Sekondari
Ujenzi   wa madarasa 4 katika shule ya sekondari , Nyang’oro
Kumalizia ujenzi wa madarasa 4 katika shule ya sekondari Ngang’oro
Ujenzi  wa vyumba 4 vya madarasa katika shule ya Sekondari Nyang’oro umekamilika na vyumba vinatumika
Machi 2017 hadi June 2017
17,000,000
Wizara ya Elimu
(P4R)
17,000,000
17,000,000


4
Elimu  Sekondari
Ujenzi wa vyumba vya maabara  9 katika shule za sekondari za Isimani, Pawaga ,Nyang’oro, Lipuli na  William Lukuvi
Kumalizia ujenzi wa vyumba vya maabara 9 katika shule za sekondari za Isimani, Pawaga ,Nyang’oro, Lipuli na  William Lukuvi
Ujenzi upo hatua ya umaliziaji wa uwekaji sakafu, dari, madirisha na Milango katika shule za sekondari za Ismani, William Lukuvi na Pawaga, Lipuli na Nyang’oro.
Machi 2017 hadi Juni 2017
72,000,000
Wizara ya Elimu
(P4R)
72,000,000
37,214,747
Fedha kuchelewa kufika

5
Elimu  Sekondari
 Ujenzi wa matundu 32 ya  vyoo katika shule za sekondari za Isimani, Pawaga ,Idodi na William Lukuvi
Kujenga matundu 32 ya vyoo  katika shule za sekondari za  Isimani, William Lukuvi, Pawaga na Idodi
Ujenzi upo katika hatua  ya uchimbaji  wa mashimo ya vyoo  katika shule  za sekondari  za Ismani, William Lukuvi, Pawaga na Idodi
Machi 2017 hadi Juni 2017
38,500,000
Wizara ya Elimu
(P4R)
38,500,000
3,823,000
Kuchelewa kupata mafundi wa kuchimba mashimo ya  vyoo.

6
Elimu  Sekondari
 Ujenzi wa Bwalo la kulia chakula Wanafunzi Shule ya Sekondari Idodi.
Kujenga Bwalo la kulia chakula shule ya sekondari Idodi.
Ujenzi upo katika  hatua  ya renta
Januari 2017 hadi Juni 2017
150,000,000
Wizara ya Elimu
(P4R)
150,000,000
102,807,000
Kuchelewa kupata mafundi wa kuchimba mashimo ya vyoo.

7
Elimu  Sekondari
 Ukarabati wa vyumba 4 vya Ofisi za Walimu Shule ya sekondari Idodi.
Kukarabati vyumba 4 vya Ofisi za Walimu shule ya sekondari Idodi.
Ukarabati umekamilika na Ofisi zinatumika
Januari 2017 hadi Juni 2017
10,000,000
Wizara ya Elimu
(P4R)
10,000,000
9,949,500


8
Elimu  Sekondari
 Ujenzi wa choo shule ya Sekondari Idodi
Kujenga choo matundu 5 kwa ajili ya wanafunzi shule ya Sekondari Idodi
Ujenzi wa choo matundu 5 kwa ajili ya wanafunzi upo hatua ya msingi.
Januari 2017 hadi Juni 2017
5,500,000
Wizara ya Elimu
(P4R)
5,500,000
3,823,000


9
Elimu  Sekondari
 Umaliziaji  wa ujenzi  wa nyumba za walimu Za mbili ndani ya moja  shule ya Sekondari Lipuli, Furahia, William Lukuvi, Idodi na  Nyerere - Migoli
Kukamilisha ujenga wa nyumba za mwalimu za mbili ndani ya  moja
Ujenzi wa nyumba 2 za walimu (2in1) umekamilika katika shule za sekondari za Lipuli na Nyerere (Migoli), pia Ujenzi wa nyumba 4 za walimu (2in1) uko hatua ya msingi katika shule ya sekondari Nyerere (Migoli) na ujenzi wa nyumba 3 (2in1) katika shule za sekondari za William Lukuvi, Furahia na Idodi zipo hatua ya kupaua.
Januari 2017 hadi Juni 2017
379,900,000
 Halmahauri ya Wilaya ya Iringa       (LCGD); SEDP na Nguvu za wananchi
379,900,000
50,386,000
Ukosefu wa fedha

10
Elimu  Sekondari
 Ukarabati wa Majengo ya  shule ya sekondari Ifunda Ufundi
Kukarabati majengo yote pamoja na mfumo wa umeme na maji iliyochakaa shule  ya sekondari Ifunda Ufundi
Ukarabati uko hatua za mwisho za kuweka vitanda, Milango, na Mfumo wa Umeme na maji katiaka majengo yaliyokarabatiwa
Januari 2017 hadi Juni 2017
2,883,102,144
Wizara ya Elimu
(P4R)
2,883,102,144
2,046,841,827
Muda wa kufanya ukarabati umekuwa mchache kulingana na ukubwa wa kazi.

              JUMLA KUU SEKTA YA ELIMU Sekondari 2016/17
4,252,002,144
 
4,246,002,144
2,376,425,594
 

 
2.4 SEKTA YA UJENZI
UTANGULIZI; 
Jumla ya bajeti iliyoidhunishwa ni TZS 1,804,092,092.90. Mikataba iliyoingia Halmashauri na wakandarasi ni jumla ya TZS 1,904,261,884.50. Jumla ya matumizi hadi kufia Juni 30, 2017 ni 865,600,500.70. Matumizi haya hayahusishi fedha zilizovuka mwaka. Jumla ya mapokezi kuanzia Julai 2016 hadi Juni 30, 2017 ni TZS 1,964,261,885. Fedha hizi hazijumuishi fedha za miradi iliyovuka mwaka 2015/2016, isipokuwa fedha za dharura, pamoja na miradi ya mwaka 2016/2017.
NA
SEKTA
 
JINA LA MRADI
KAZI ZILIZOPANGWA
 
HALI HALISI YA UTEKELEZAJI
KIPINDI CHA UTEKELEZAJI
BAJETI 2016/17
CHANZO CHA FEDHA
FEDHA POKELEWA
FEDHA TUMIKA
 
CHANGAMOTO
1
UJENZI
Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Itunundu - Igodikafu  (Ujenzi wa nguzo ya daraja)
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida, Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
 Mradi haujatekelezwa. Sababu ni maji mengi yaliyojaa eneo la ujenzi (mto Ruaha eneo la Igodikafu)
Siku 30 (Mwezi Juni 2016)
12,500,000
 Road Fund
        35,872,000
                     -  
1) Barabara nyingi zinahitaji ukarabati lakini zinapata fedha kwa ajili ya ‘‘maintenance’                  2)  
2

Matengenezo ya muda maalum katika barabara ya  Kalenga - Kiponzero
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Mradi umefikia hatu za mwisho za utekelezaji na umefikia 96%. Kazi zilizokamilika ni: - Kuchonga tutala brabara Km 31.6, Kuweka changarawe, Kujenga kalvati mistari 3, kumimina zege katika eneo korofi la mlima. Kazi iliyo baki ni kumalizia ujenzi wa kuta za kuking akalvati.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
178,500,000
Road Fund
198,145,000
144,670,500

3

Matengenezo ya muda maalum katika barabara ya   Secondari ya Pawaga- Mboliboli
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,  Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Mradi umefikia hatu za mwisho za utekelezaji na umefikia 95%. Kazi zilizokamilika ni: - Kuchonga tutala brabara Km 8, Kuweka changarawe, Kujenga kalvati mistari 3, kujenga makalvati mistari, kuchimba mtaro kwa kinga maji 3 Kms.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
136,000,000
Road Fund
120,117,250
96,070,455
4

Matengenezo ya muda maalum katika barabara ya Kihorogota - Mkulula
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida, Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Mradi huu umefikia hatua za mwisho na umefikia 98%. Ambapo kazi zilizofanyika ni:-Kuchonga tuta la barabaraa Km 8, Kujenga makalvati, kuweka changarawe Km 8, kuchimba mitaro ya kinga na kutoa maji imekamilika.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
136,000,000
 Road Fund
126,468,720
   94,504,500
5

Matengenezo ya muda maalum katika barabara ya Ulete - Isupilo
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Mradi huu uutekelezaji wake unaendelea na umefikia 75%. Kazi zilizokamilika ni: kusafisha eneo la barabara, Kuchonga tuta la barabara km 8, Kuweka chanagarawe jumla ya Km 5, kuchimba mifereji ya kutoa maji. Ambapo kazi zinazoendelea ni:-Kuchonga tuta la barabaraa Km 8, Kujenga makalvati, kuweka changarawe Km 8, kuchimba mitaro ya kinga na kutoa maji Km 1.2.Ka
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
136,000,000
 Road Fund
126,600,000
80,044,984
6

Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Ifunda - kiponzero , Wasa - Ihomasa- Ulata
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Katika mradi huu kazi haijafanyika. Mkandarasi hakwenda eneo la kazi. Hata zakuvunja mkataba zinaendelea.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
30,000,000
 Road Fund
27,770,500
                     -  
7

Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya kimande - kinyika , kinyika -Isele na  Isele - Magombwe (Labour Based)
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Utekelezaji wa mradi huu unaendelea ambapo umefikia 68%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba , kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majani .Utekelezaji unaendelea.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
36,000,000
Road Fund
48,852,500
23,655,258
8

Matengenezo ya sehemu korofi barabara yaTagamenda - Ugwachanya , Ndiwili - Ng'enza na  Wenda - Mgama
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Utekelezaji wa mrad huu unaendelea ambapo umefikia 46%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba , kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majaji , kuchoga tuta la barabara km 4, kufyeka majani. Utekelezaji unaendelea.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
45,000,000
 Road Fund
45,061,000
14,357,376
9

Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya  Iguluba - Makadupa - Nyakavangala  na Matengenezo ya kawaida barabara ya Mangawe - Holo na mkulula - Isaka
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Utekelezaji wa mradi huu unaendelea ambapo umefikia 60%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba , kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majani, kujenga makalvati mitari 3,   kuchoga tuta la barabara km 3, kufyeka majani.Utekelezaji unaendelea.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
51,500,000
 Road Fund
61,196,250
21,818,722
10

Matengenezo ya kawaida barabara ya  Magunga - Makombe, Ulete -Isupilo , Ifunda - Itengulinyi- Magunga , kKbena - Mfukulembe na Wasa- Mahuninga
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Utekelezaji wa mradi huu unaendelea ambapo umefikia 45%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba 15 , kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majaji. Kazi zinazoendelea ni kufyeka majani majani na kufukua makalvati.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
126,000,000
 Road Fund
113,223,500
   16,983,525
11

Matengenezo ya kawaida barabara ya Izazi - Kimande and Izazi - Mnadani (Labour based)
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Utekelezaji wa mradi huu unaendelea ambapo umefikia 56%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba 8 , kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majaji. Kazi zinazoendelea ni kufyeka majani majani na kufukua makalvati, kusafisha dichi.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
34,500,000
 Road Fund
41,870,000
   19,441,998
12

Matengenezo ya kawaida barabara ya Itwaga - Udumka, Kitayawa - Wangama , Mgama - Ilandutwa, Tanangozi - Kikombwe na Lupembelwasenga - kitayawa  
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Utekelezaji wa mradi huu umekamilika ambapo umefikia 100%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba 25, kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majaji,kufyeka majani na kufukua makalvati,kusafisha dichi na kukarabati  kuta za kukinga kalvati.Kuchonga barabara km 2, kuweka changarawe katika sehemu korofi 2Km. Mradi umekamilika upo katika muda wa matazamio.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
58,500,000
 Road Fund
55,346,130
52,578,824
13

Matengenezo ya kawaida barabara ya Mapogoro - kitisi, Nzihi  kipera na Lukwambe - kidamali ( Labour Based)
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Utekelezaji wa mradi huu unaendelea ambapo umefikia 76%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba, kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majani, kufyeka majani na kufukua makalvati, kusafisha dichi na kuchonga tuta la barabara km 7.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
54,000,000
 Road Fund
46,429,000
   32,143,000
14

Matengenezo ya kawaida barabara ya Kiwere- Igingilanyi , Isimani - Pawaga na  Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Mkungugu - Ikengeza - Nyangoro
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida, Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua za mwisho ambapo umefikia 85%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba 10, kuchimba mitaro ya kutoa maji, kujenga kalvati mistari 3 na kufukua makalvati, kusafisha dichi na kuchonga tuta la barabara km 2.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
73,500,000
 Road Fund
71,906,000
   32,949,000
15

Ujenzi wa madaraja mawili barabara ya  Isimani - Pawaga na Isele - Mafuruto
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Utejkelezaji wa mradi huu unaendelea ambapo umefiia 45%. Kazi zilizokamilika ni ujenzi wa msingi wa daraja la urefu mita 10, kuchimba msingi. Zinazoendelea ni:-. Ujenzi wa ''bridge abutments''
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
317,040,000
 Road Fund
208,847,635
   41,346,899
16

Ukarabati wa barabara ya  Mlowa - Mbuyuni
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Utekelezaji wa mradi huu unaendelea na umefikia 48% .Kazi zilizokamilika ni kuchonga barabaara km 8, kujenga kalvati
Mistari 6, upanuzi wa tuta la barabarakufikia meta 7 upana na kunyanyua tuta la barabara kwa changarawe. Kazi zinazoendelea ni ujenzi wa box culvarts na kuchimba mtaro wa kinga maji.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
0
 Road Fund
339,556,400
   84,564,900

17

Ukarabati wa barabara ya  Kitayawa - Wangama
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Utekelezaji wa mradi huu umekamilika na umefikia 100%. Kazi zilizokamilika ni kuchonga barabara km 7, kufukua makalvati yaliyoziba 6, kuweka changarawe km 7, kuchimba mitaro ya kutoa maji, mradi umekamilika.Upo katika muda wa matazamio.
Siku 120 (Kutoka Mwezi Mei 2017)
105,000,000
Road Fund
103,000,000
93,233,760

18

Ujenzi wa  dharura wa ''Box Culvert'' katika barabara ya Pawaga Sekondari - Mboliboli
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Mradi huu upo katika hatua za mwisho za kusaini mkataba.
Siku 60 (Kutoka Mwezi Julai 2017)
180,000,000
Road Fund
178,000,000
                   
-  
19

Matengenezo ya kawaida barabara ya Tanangozi - Makongati  (Force Accout)
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida, Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
Utekeleaji wa mradi huu lishakamilika. Kwa 100%. Kazi zilizofanyika ni:- kuchonga tuta la barabara na kushindilia jumla ya km 22., Kuchimba mitaro ya kutoa majina kufuku amakalvati yaliyoziba
Siku 21(Kutoka Mwezi Aprili 18th 2017)
16,000,000
Road Fund
        16,000,000
   17,236,800


ADRICS Zoezi la kuhuisha mtandao wa barabara za Wilaya kwa njia ya Dromas

Kazi hii imefanyika na wataalam wa Idara ya Ujenzi. Ambapo imefikia 90% imekamilika
Siku 30 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
6,000,000
Road Fund




Gahrama za usimamizi wa miradi ya barabara 2016/2017

Fedha hii imesaidi kuwalipa wataaalam, ununuzi wa mafuta, stationery na huduma ya magari (matengenezo)
(Kuanzia Julai 2016 - Mwezi Juni 2017)
72,052,093
Road Fund


 
 
 JUMLA  KUU – SEKTA YA UJENZI 2016/17
 
2,645,118,249

2,645,118,249
3,015,653,138
C/O Tshs. 496,014,675






















 

2.5. SEKTA YA AFYA 

MABOMA YA LIYOANZA KWA NGUVU ZA WANANCHI VITUO VYA AFYA NA ZAHANATI HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA
A. MABOMA YA ZAHANATI
JINA LA MRADI 
GHARAMA YA MRADI KWA MUJIBU WA BOQ
MCHANGO WA WANANCHI MPAKA SASA
HATUA ILIYOFIKIWA
BAJETI YA SERIKALI 
KIASI KILICHOPOKELEWA 
KIASI KILICHO-TUMIKA
MAPATO YA NDANI YALIYOTENGWA 2016/217
MAPATO YA NDANI YALIYOTUMIKA HADI JUNI 2017
SABABU ZA KUTOKAMILIKA
CHANGAMOTO
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Makatapola
            248,600,000
          38,377,400
 Jengola OPD lipo kwenye hatua za kupauliwa
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo sana na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Mikongwi
            248,600,000
          37,980,600
 Jengola OPD lipo kwenye hatua za kupauliwa
35,000,000
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
JINA LA MRADI 
GHARAMA YA MRADI KWA MUJIBU WA BOQ
MCHANGO WA WANANCHI MPAKA SASA
HATUA ILIYOFIKIWA
BAJETI YA SERIKALI 
KIASI KILICHOPOKELEWA 
KIASI KILICHO-TUMIKA
MAPATO YA NDANI YALIYOTENGWA 2016/217
MAPATO YA NDANI YALIYOTUMIKA HADI JUNI 2017
SABABU ZA KUTOKAMILIKA
CHANGAMOTO
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Kinywang'anga
            248,600,000
          49,799,100
 Jengo la OPD limekamilika bado nyumba za watumishi
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje katika kijiji cha Isupilo
            248,600,000
          31,974,300
 Jengo la OPD lipo katika hatua za lenta
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Muwimbi
            248,600,000
          65,000,000
 Jengo la OPD limekamilika
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00

 jengo la OPD limekamilika bado nyumba za watumishi
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Ikungwe
            248,600,000
          34,971,200
 Jengo la OPD lipo kwenye hatua za kupauliwa
35,000,000
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Magozi
            248,600,000
          46,776,800
 Jengo la OPD limekamilika bado nyumba za watumishi
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Mlanda
            248,600,000
            5,874,600
 Liko hatua za Msingi wa jengo la OPD
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje nyumba za watumishi katika kijiji cha Msuluti
            248,600,000
            6,280,600
 Liko hatua za Msingi wa jengo la OPD
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti.
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje katika kijiji cha kihorogota
            248,600,000
          32,330,600
 Jengola OPD lipo kwenye hatua za kupauliwa
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Ibumila
            248,600,000
          27,586,400
 Jengo la OPD lipo katika hatua za lenta
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Mawindi
            248,600,000
          28,600,000
 Jengo la OPD lipo katika hatua za lenta
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Lyamgungwe
            248,600,000
          21,780,200
 Jengo la OPD lipo katika hatua za lenta
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Nyamihuu
            248,600,000
            7,880,900
 Hatua za ujenzi wa Msingi
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Magubike
            248,600,000
            6,987,100
 Hatua za ujenzi wa Msingi
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Kitapilimwa
            248,600,000
            8,809,200
 Hatua za ujenzi wa Msingi
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Itengulinyi
            248,600,000
          22,680,900
 Jengo la OPD lipo katika hatua za lenta
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Malagosi
            248,600,000
            6,660,500
 Hatua za ujenzi wa Msingi
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Isaka
            248,600,000
            6,553,600
 Hatua za ujenzi wa Msingi
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
 Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 B. VITUO VYA AFYA 









 Ujenzi wa kituo cha afya katika kijiji cha Kibena na nyumba za watumishi
(20 projects)
            567,870,600
          49,000,000
 ujenzi wa jengo la utawala na wagonjwa wa nje umefikia hatua linta bado kupauliwa na kupiga lipu kuta na kupaka rangi
0.00
0.00
0.00
0.00
0.00
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
 fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
 JUMLA 
5,291,270,600
535,904,000 
               -   
70,000,000 
0.00 
0.00 
0.00 
0.00 
 
 












BAJETI ILIYOTENGWA KWA AJILI YA UJENZI WA HOSPTALI YA WILAYA, VITUO VYA AFYA PAMOJA NA ZAHANATI
A.HOSPITALI
 

 
 
 
 
 
JINA LA MRADI 
GHARAMA YA MRADI KWA MUJIBU WA BOQ
MCHANGO WA WANANCHI MPAKA SASA
HATUA ILIYOFIKIWA
BAJETI YA SERIKALI 
KIASI KILICHOPOKELEWA 
KIASI KILICHO-TUMIKA
MAPATO YA NDANI YALIYOTENGWA 2016/217
 Ujenzi wa hospitali ya wilaya
150,000,000
0
Uchoraji wa ramani eneo la ujenzi
0.00
0
0
100,000,000
 B. VITUO VYA AFYA 







 Ujenzi wa kituo cha afya katika kijiji cha Kibena
0
0
 Hatua ya lenta
0.00
0
0
0
 Ujenzi wa kituo cha afya katika kijiji cha Kisinga
40,000,000
0
Wodi ya akina mama imejengwa
0
0
32,425,000
0
 C. ZAHANATI 







 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje katika kijiji cha Mikongwi
35,000,000
 MMAM
Jengo la OPD lipo  hatua ya kupauliwa
0.00
0
0
0
 Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje katika kijiji cha Ikungwe
35,000,000
 MMAM
Jengo la OPD lipo kwenye hatua za kupauliwa
0.00
0
0
0
 Kumalizia ujenzi wa jengo la OPD katika kijiji cha Mangalali
34,659,960

Basket Fund

Jengo la OPD limekamilika na huduma za afya zimeanza kutolewa
               34,659,960
34,659,960
0
0
 JUMLA 
294,659,960
         -   
    
 34,659,960
 34,659,960
32,425,000
100,000,000

Bajeti iliyotengwa kwa ujenzi wa hospitali ya Wilaya, vituo vya afya na zahanati kwa mwaka 2016/17.

Chanzo cha fedha

Fedha pokelewa 2016/17

Fedha tumika

Hatua ya ujenzi iliyofikiwa

Idadi ya vituo vya afya vilivyojengwa

Idadi ya zahanati zilizojengwa

 

2.6. SEKTA YA KILIMO NA UMWAGILIAJI

UTANGULIZI

Katika msimu   2016/17 Halmashauri ya Wilaya haikutengewa fedha kwa ajili ya miradi ya Umwagiliaji kutokana na kuchelewa kuanza kwa Program ya Kuendeleza Kilimo awamu ya pili (ASDP 2). Utekelezaji wa miradi umefanywa kwa fedha zili zovuka mwaka 2015/2016 kutokana na kupokelewa kwa kuchelewa kwani zililetwa mwishoni mwa mwezi Juni 2016. Fedha hizi zilikuja kupitia mfuko wa kuendedeleza miradi midogomidogo ya Umwagiliaji ujulikanao kama Small Scale Irrigation Development Project (SSIDP) ambapo jumla ya Tshs 902,000,000 zilipokelewa kwa ajili ya miradi ya Mkombilenga Tshs 652,000,000 na Mlambalasi Tshs 250,000,000. Kutokana na maagizo ya wahisani fedha ziliingizwa kwenye akaunti za jamii na taratibu za malipo na usimamizi hufanywa na jamii kwa kushirikiana na Halmashauri.

Pia Halmashauri ilitengewa kiasi cha Tshs. 350,000,000 kutoka Shirika la Maendeleo la Japan (JICA) kupitia Mfuko wa Uhakika wa Chakula ujulikanao kama FOOD AID COUNTERPART FUND (FACT) kwa ajili ya kuboresha skimu ya asili ya Mafuruto. Fedha za mradi huu haziletwi Halmashauri bali huingizwa moja kwa moja kwenye akaunti ya jamii kwa mfumo wa robo (Quarterly Based System) baada ya tathmini ya utekelezaji wa kazi na ripoti kuwasilisha kwa mfadhili. Hali halisi ya utekelezaji na fedha zilizotumika imeoneshwa katika jedwali hapo chini:-

Na

Sekta 

Jina la mradi

Kazi zilizopangwa

Hali ya utekelezaji

Kipindi cha utekelezaji

Bajeti iliyotengwa 2016/2017

Chanzo cha fedha

Fedha zilizopokelewa

Fedha iliyotumika hadi Juni 2017

Changamoto

1
Kilimo –Umwa-giliaji
Ujenzi wa skimu ya umwagiliaji Mkombilenga/ Magozi
Uimarishaji wa matoleo ya banio (head work offtakers)
Ujenzi wa kichujia mchanga (sediment settling basin) pamoja na mfereji wa kutolea mchanga kwenda mtoni
Uimarishaji na uthibiti wa chini ya banio kwa gabion
Ujenzi wa mfereji mkuu kwa mawe mita 600
Uimarishaji wa mifereji midogo 2
Ujenzi wa tuta la kuzuia maji ya mafuriko pande zote za mto mita 62
Ujenzi wa kigawa maji kikuu 1 na vidogo 4
Ujenzi umekamilika kwa asilimia 90.
Kazi iliyobaki ni kupiga plasta mfereji mkuu mita 600 na kuchimba mifereji ya kati mita 300
2016-2017
-
Small Scale Irrigation Development Program (SSIDP)
652,000,000
461,678,260
Kuchelewa kupokelewa kwa fedha kutoka serikalini hali iliyopelekea kuchelewa kwa mchakato wa manunuzi na kazi kuanza karibu na msimu wa mvua na kilimo.


Ujenzi wa skimu ya umwagiliaji  Mlambalasi
Ujenzi wa ukuta unaozuia mfereji mkuu usibomoke kirahisi (retaining wall) 358 m2
Usakafiaji wa mfereji mkuu 750m
Ujenzi wa Korongo la Madegepera (Aqueduct) mita 35
Ujenzi wa vigawa maji 2 vya kumwagilimashamba (Turnouts)
Ujenzi wa vivusha maji ya mvua 2 ili maji yasiingie mferejini (cross drainage).
Ujenzi umekamilika kwa asilimia 100. Mradi upo kwenye matazamio kwa muda wa mwaka mmoja kuanzia Juni, 2017
2016-2017
-
Small Scale Irrigation Development Project (SSIDP)
250,000,000
236,747,914
Kuchelewa kupokelewa kwa fedha kutoka serikalini hali iliyopelekea kuchelewa kwa mchakato wa manunuzi na kazi kuanza karibu na msimu wa mvua na kilimo


Ujenzi wa skimu ya umwagiliaji  Mafuruto
Kujenga banio moja
Kusakafia mfereji mkuu mita 500
Kazi ya nyongeza (kuchimba barabara ya kwenda kwenye banio kilimita 4)
Ujenzi umekamilika kwa asilimia 90.
Kazi iliyobaki ni kusakafia mfereji mkuu mita 100 na kupiga plasta kwenye banio
2016-2017
-
FOOD AID COUNTERPART FUND (FACT)
350,000,000
141,199,515
Fedha za mradi kutolewa kwa mfumo wa roborobo (quarterly system) na kusababisha usumbufu wa ufuatiliaji wa mara kwa mara.


Jumla Kuu Kilimo 2016/17




1,252,000,000
839,625,689

 

2.7 TAARIFA YA MIRADI ILIYOPANGWA KUTEKELEZWA MWAKA 2016/17 NA KAZI ZILIZOPANGWA KUTEKELEZWA KUPITIA FEDHA  ZA MIFUKO YA MAENDELEO YA MAJIMBO YA KALENGA NA ISIMANI

2.7.1 Utangulizi 

Katika mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ilipokea fedha kiasi cha Tshs 79,593,000.00 ya mifuko ya majimbo ya Isimani na Kalenga kwa mgawanyo wa Tshs 42,049,000.00 za Jimbo la Isimani na Tshs 37,544,000.00 za Jimbo la Kalenga. Fedha hizi zilielekezwa katika miradi ya Kipaumbele kwa kila jimbo katika sekta za utawala, elimu, afya na maji kwa lengo la kuchochea ukamilishwaji wa miradi kwa wakati ili iweze kutoa huduma stahiki kwa wananchi. Mchanganuo wa mgao wa fedha hizi ni kama ifuatavyo;

Makisio, mapokezi halisi na matumizi ya mifuko ya majimbo ya Isimani na Kalenga

JIMBO

BAJETI YA MWAKA

FEDHA TOLEWA

MATUMIZI

SALIO

Jimbo la Isimani

48,258,000

42,049,000.00

33,171,317

8,877,683

Jimbo la Kalenga

41,496,000

37,544,000.00

36,755,314

788,686

Jumla

89,754,000

79,593,000

69,926,631

9,666,369

 

2.7.2 TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MFUKO WA JIMBO LA KALENGA

Jimbo la Kalenga katika kipindi hiki cha mwaka lilipokea kiasi cha fedha Tshs 37,544,000 ambazo zilielekezwa katika miradi ya kipaumbele jimboni. Jedwali lifuatalo linaonyesha kwa kina maeneo ambayo yalipata na kutumia fedha za Jimbo la Kalenga.

2.7.2.1 Hali halisi ya Utekelezaji 

NA
SEKTA
JINA LA MRADI
KAZI ZILIZOPANGWA
KIPINDI CHA UTEKELEZAJI
BAJETI 2016/17
CHANZO CHA FEDHA 
FEDHA POKELEWA
FEDHA TUMIKA
CHANGAMOTO
1
Elimu
Kusaidia ujenzi wa shule tarajiwa ya Sekondari Tanangozi kwa
Jumla ya nondo roller 28 na saruji mifuko 30 kwa ajili ya ujenzi bimu madarasa 2 umekamilika
Aprili – Juni 2017
823,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
823,000
823,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
2
Elimu
Kusaidia ujenzi wa madarasa mawili (2) na ofisi moja (1) katika shule ya msingi Lwato
Jumla ya bati 100 zimenunuliwa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mawili (2) na ofisi moja (1) katika shule ya msingi Lwato
Aprili – Juni 2017
2,300,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
2,300,000
2,300,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
3
Elimu
Kusaidia ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa Shule ya Sekondari Lupembelwasenga
Jumla ya saruji mifuko 100 imenunuliwa na kutolewa kwa ajili ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi Lupembelwasenga
Aprili – Juni 2017
1,250,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
1,250,000
1,250,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
4
Elimu
Kusaidia ukarabati wa madarasa katika shule ya msingi Mgera
Jumla ya saruji mifuko 50 imetolewa kusaidia ukrabati wa madarasa katika shule ya msingi Mgera, ukarabati umekamilika
Aprili – Juni 2017
625,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
625,000
625,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
5
Elimu
Kusaidia ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi Magulilwa kwa kutoa bati 100
Jumla ya bati 100 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya Msingi ya Magulilwa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 2.
Aprili – Juni 2017
2,300,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
2,300,000
2,300,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
6
Elimu
Kusaidia umaliziaji wa nyumba ya mwalimu katika shule ya msingi Kibaoni Ifunda
Jumla ya mifuko 100 ya saruji imenunuliwa kwa ajili ya umaliziaji wa nyumba ya mwalimu kazi inaendelea.
Aprili – Juni 2017
1,250,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
1,250,000
1,250,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
7
Elimu
Kusaidia ukarabati wa madarasa katika shule ya msingi Ugwachanya.
Jumla ya saruji mifuko 80 imenunuliwa na kupelekwa katika shule Msingi Ugwachanya kwa ajili ya ukarabati wa madarasa na ukarabati umekamilika.
Aprili – Juni 2017
1,000,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
1,000,000
1,000,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
8
Afya
Kusaidia ujenzi wa zahanati kijiji cha Makongati
Jumla ya saruji mifuko 80 imenunuliwa na kupelekwa katika kijiji cha Makongati kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa zahanati ambapo ujenzi upo katika hatua ya kiti.
Aprili – Juni 2017
1,000,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
1,000,000
1,000,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
9
Elimu
Kusaidia ukarabati wa madarasa 2 katika Shule ya msingi Makombe.
Jumla ya saruji mifuko  60 imenunuliwa na kupelekwa katika shule  ya Msingi  Makombe kwa ajili ya ukarabati wa madarasa 2 na ukarabati umekamilika
Aprili – Juni 2017
750,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
750,000
750,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
10
Elimu
Kusaidia umaliziaji wa vyumba vinne (4) Shule ya msingi Ndiwili.
Jumla ya saruji mifuko 80 imenunuliwa kwa ajili ya kusaidia umaliziaji wa vyumba 4 vya madarasa katika shule ya Msingi Ndiwili.
Aprili – Juni 2017
1,000,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
1,000,000
1,000,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
11
Elimu
Kusaidia ukarabati wa madarasa Shule ya Msingi Igangidung’u.
Jumla ya saruji mifuko 50 imenunuliwa kwa ajili ya kusaidia ukarabati wa madarasa Shule ya Msingi Igangidung’u, ukarabati unaendelea.
Aprili – Juni 2017
625,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
625,000
625,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
12
Elimu
Kusaidia umaliziaji wa chumba kimoja cha maabara katika shule ya Sekondari Kiwere.
Jumla ya bati 50 zimenunuliwa kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari Kiwere na upauaji umekamilka.
Aprili – Juni 2017
1,150,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
1,150,000
1,150,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
13
Elimu
Kusaidia ujenzi wa chumba kimoja cha darasa katika Shule ya msingi Mwenge
Jumla ya bati 40 zimetolewa kwa  ajili ya ujenzi wa  chumba1 cha darasa katika shule ya msingi Mwenge
Aprili – Juni 2017
920,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
920,000
920,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
14
Elimu
Kusaidia ukarabati wa madarasa mawili (2) katika shule ya msingi Mibikimitali
Jumla ya bati 80 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya Msingi Mibikimitali kwa ajili ya ukarabti wa madarasa mawili, ukarabati umekamilika.
Aprili – Juni 2017
1,840,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
1,840,000
1,840,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
15
Elimu
Kusaidia umaliziaji wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na vyoo vya wanafunzi katika Shule ya msingi tarajiwa ya Mahanzi
Jumla ya saruji mifuko 80 na bati 30 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Mahanzi. Kazi inayoendelea ni upigaji wa lipu vyumba viwili vya madarasa
Aprili – Juni 2017
1,690,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
 1,690,000
 1,690,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
16
Afya
Kusaidia ujenzi wa zahanati kijiji cha Ikuvilo
Jumla ya bati 80 zimenunuliwa na kupelekwa katika kijiji cha Ikuvilo kwa ajili ya ujenzi wa zahanati. Hatua ya ujenzi ipo katika msingi na ujenzi unaendelea.
Aprili – Juni 2017
1,840,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
 1,840,000
 1,840,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
17
Afya
Kusaidia ujenzi wa zahanati kijiji cha Mwambao.
Jumla ya bati 80 zimenunuliwa na kupelekwa katika kijiji cha Mwambao kwa ajili ya ujenzi wa zahanati. Ujenzi unaendelea.
Aprili – Juni 2017
1,840,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
 1,840,000
 1,840,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
18
Elimu
Kusaidia ukarabati wa madarasa katika shule ya msingi Kaning’ombe kwa kutoa bati 60.
Jumla bati 60 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Kaning’ombe kwa ajili ya ukarabati wa madarasa mawili. Ukarabati umekamilika.
Aprili – Juni 2017
1,380,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
 1,380,000
 1,380,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
19
Elimu
Kusaidia ukarabati wa madarasa katika shule ya msingi Kalenga.
Jumla bati 50 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Kalenga kwa ajili ya ukarabati wa madarasa mawili. Ukarabati umekamilika
Aprili – Juni 2017
1,150,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
 1,150,000
 1,150,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
20
Elimu
Kusaidia ujenzi wa darasa la awali katika shule ya msingi Mlolo.
Jumla ya bati 50 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Mlolo kwa ajili ya ukarabati wa madarasa mawili. Ukarabati umekamilika
Aprili – Juni 2017
1,150,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
 1,150,000
 1,150,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
21
Afya
Kusaidia ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Isupilo.
Jumla ya bati 50 zimenunuliwa kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa zahanati ya Isupilo.
Aprili – Juni 2017
1,150,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
 1,150,000
 1,150,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
22
Elimu
Kusaidia ujenzi wa madarasa mawili katika shule ya msingi Magulilwa.
Jumla ya bati 100 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Magulilwa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mawili. Ujenzi unaendelea.
Aprili – Juni 2017
2,300,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
2,300,000
2,300,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
23
Elimu
Kusaidia ujenzi wa jengo la Utawala shule ya msingi Muungano
Bati 50 zimenunuliwa kwa ajili ya kusaidia kupaua jengo la utawala. Kazi inayoendelea ni usafirishaji wa vifaa hivi
Juni – Agosti 2017
    1,100,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
    1,100,000
    1,100,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
23
Elimu
Kusaidia ujenzi wa nyumba ya mwalimu shule ya msingi Itagutwa
Saruji mifuko 50 imenunuliwa kwa ajili ya ujenzi wa kuta katika shule hii.
Juni – Agosti 2017
575,000.00
Mfuko wa Jimbo Kalenga
575,000.00
575,000.00

24
Afya
Kusaidia ujenzi wa wodi za wagonjwa katika kituo cha afya Mgama.
Saruji mifuko 100 imenunuliwa na kupelekwa katika kituo cha afya Mgama kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya wagonjwa. Ujenzi upo katika hatua ya msingi.
Juni – Agosti 2017
1,150,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
 1,150,000
 1,150,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
25
Utawala
Kusaidia ujenzi wa ofisi ya kijiji Negabihi.
Saruji mifuko 50 imenunuliwa kwa ajili ya upigaji wa lipu wa ofisi ya kijiji.
Juni – Agosti 2017
575,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
 575,000.00
 575,000.00
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
26
Elimu
Kusaidia ukarabati wa madarasa mawili katika shule msingi Lupalama.
Saruji mifuko 50 imenunuliwa kwa ajili ya ukarabati wa madarasa katika shule ya msingi Lupalama.
Juni – Agosti 2017
575,000.00
Mfuko wa Jimbo Kalenga
 575,000.00
 575,000.00
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
27
Elimu
Kusaidia ujenzi wa nyumba ya mwalimu shule ya msingi Makota
Bati 50 zimenunuliwa kwa ajili ya kupaua nyumba ya mwalimu katika shule ya msingi Makota.
Juni – Agosti 2017
    1,100,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
    1,100,000
    1,100,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
28
Elimu
Kusaidia ukarabati wa darasa katika shule ya msingi Kitayawa.
Bati 50 zimenunuliwa kwa ajili ya ukarabati wa darasa lililoezuliwa katika shule ya msingi Kitayawa.
Juni – Agosti 2017
    1,100,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
    1,100,000
    1,100,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
29
Utawala
Kuwezesha uendeshaji wa kikao cha kamati ya mfuko wa Jimbo la Kalenga.
Malipo kwa wajumbe wa kamati ya mfuko wa Jimbo kuwezesha kikao kujadili miradi ya kipaumbele.
Aprili – Juni 2017
1,100,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
1,100,000
1,100,000

29
Utawala
Ununuzi wa diesel na posho ya dereva kwa ajili ya usambazaji wa vifaa jimboni.
Ununuzi wa diesel lita 1000 na malipo ya posho ya dereva kwa jili ya usamabazaji wa vifaa vya ujenzi jimboni
Aprili – Juni 2017
2,377,000
Mfuko wa Jimbo Kalenga
2,377,000
2,377,000

Jumla ndogo matumizi ya Mfuko wa Jimbo la Kalenga 2016/17
36,755,314
 
36,755,314
36,755,314
 

2.7.3. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MFUKO WA JIMBO LA ISIMANI

Kama ilivyoonyeshwa katika utangulizi Jimbo la Isimani lilipokea kiasi cha fedha Tshs 42,049,000.00/= ambazo zilielekezwa katika miradi ya kipaumbele. Jedwali lifuatalo linaonyesha kwa kina maeneo ambayo yalipata na kutumia fedha za Jimbo la Isimani.

2.7.3.1 Hali halisi ya Utekelezaji

NA
SEKTA
JINA LA MRADI
KAZI ZILIZOPANGWA
KIPINDI CHA UTEKELEZAJI
BAJETI 2016/17
CHANZO CHA FEDHA 
FEDHA POKELEWA
FEDHA TUMIKA
CHANGAMOTO
1
Maji
Ukarabati wa mradi wa maji katika skimu ya maji ya Isimani katika maeneo ya makorongo.
Ukarabati wa sehemu za makorongo kwa kubadilisha mabomba katika vijiji vya Uhominyi, Usolanga na Mkulula, kuhamisha bomba kuu eneo la Mbigili na kuchimba mtaro mita 320 na kulaza mabomba. Ukarabati unaendelea.
Aprili – Julai 2017
6,000,000
Mfuko wa Jimbo Isimani
6,000,000
6,000,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
2
Maji
Ukarabati wa chanzo cha maji katika skimu ya Matunguru – Idodi.
Ukarabati wa chanzo cha maji umefanyika kwa kujenga maeneo yaliyobomoka na kubadilisha mabomba katika chanzo cha maji Matunguru - Idodi
Aprili – Julai 2017
5,000,000
Mfuko wa Jimbo Isimani
5,000,000
5,000,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
3
Elimu
Kusaidia ujenzi wa madarasa mawili katika shule ya msingi Kitanewa.
Jumla ya saruji mifuko 100 na bati 100 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Kitanewa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mawili. Ujenzi upo katika hatua ya upauaji.
Aprili – Juni 2017
3,550,000
Mfuko wa Jimbo Isimani
3,550,000
3,550,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
4
Elimu
Kuchangia ujenzi wa nyumba 5 za walimu katika shule ya Sekondari Nyerere.
Jumla ya saruji mifuko 100 na bati 100 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya sekondari Nyerere kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa nyumba tano za walimu. Nyumba moja imekwishapauliwa na nyumba 4 zipo katika hatua ya upandishaji wa kuta.
Aprili – Juni 2017
3,550,000
Mfuko wa Jimbo Isimani
3,550,000
3,550,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
5
Afya
Kusaidia ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Mbweleli kwa kutoa.
Jumla ya saruji mifuko 100 imenunuliwa na kupelekwa katika kijiji cha Mbweleli kwa jili ya ujenzi wa zahanati. Ujenzi upo katika hatua ya kupiga lipu.
Aprili – Juni 2017
1,250,000
Mfuko wa Jimbo Isimani
1,250,000
1,250,000

6
Elimu
Kuwezesha usukaji nyaya za umeme (wiring) na uingizaji wa umeme katika nyumba za walimu Pawaga Sekondari.
Kusuka nyaya za na uingizaji wa umeme katika nyumba hizi umekamilika na umeme unawaka.
Aprili – Juni 2017
5,000,000
Mfuko wa Jimbo Isimani
5,000,000
5,000,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
7
Utawala
Ununuzi wa tairi nne (4) na tube zake kwa gari la polisi Na. PT 0937 la kituo cha Idodi kwa gharama.
Tairi nne na tube zake zimenunuliwa kwa gari Na. PT 0937 la kituo cha polisi Idodi.
Aprili – Juni 2017
2,160,000
Mfuko wa Jimbo Isimani
2,160,000
2,160,000

8
Elimu
Kusaidia ujenzi wa darasa moja shule ya msingi Usolanga.
Saruji mifuko 50 imenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Usolanga. Ujenzi unaendelea.
Aprili – Juni 2017
625,000
Mfuko wa Jimbo Isimani
625,000
625,000

9
Afya
Kusaidia ujenzi wa zahanati Isele.
Jumla ya mifuko 100 ya saruji imenunuliwa na kupeleka katika kijiji cha isele kwa ajili ya upanuzi wa zahanati ya Isele kuwa kituo cha afya.
Aprili – Juni 2017
1,250,000
Mfuko wa Jimbo Isimani
1,250,000
1,250,000

10
Elimu
Kusaidia ujenzi wa nyumba ya mwalimu shule ya Sekondari Idodi.
Jumla ya mifuko ya saruji 50 imenunuliwa na kupelekwa idodi sekondari kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa nyumba ya mwalimu ambayo imekwisha pigwa lipu.
Aprili – Juni 2017
625,000
Mfuko wa Jimbo Isimani
625,000
625,000
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa.
11
Utawala
Kuwezesha uendeshaji wa kikao cha kamati ya mfuko wa Jimbo la Isimani.
Malipo kwa wajumbe wa kamati ya mfuko wa Jimbo kuwezesha kikao kujadili miradi ya kipaumbele.
Aprili – Juni 2017
1,180,000
Mfuko wa Jimbo Isimani
1,180,000
1,180,000

12
Utawala
Ununuzi wa diesel na posho ya dereva kwa ajili ya usambazaji wa vifaa jimboni.
Ununuzi wa diesel lita 500 na malipo ya posho ya dereva kwa jili ya usamabazaji wa vifaa vya ujenzi jimboni
Aprili – Juni 2017
1,354,000
Mfuko wa Jimbo Isimani
1,354,000
1,354,000

13
Elimu
Kuwezesha ununuzi wa programu ya ulinzi wa kompyuta (anti virus) katika shule ya sekondari Idodi.
Programu za ulinzi wa komputa (Kaspersky – antivirus 3 user) sitana kuingizwa katika komputa 18 kwenye maabara ya komputa Idodi sekondari
Aprili – Juni 2017
300,000
Mfuko wa Jimbo Isimani
300,000
300,000

Jumla ndogo Jimbo la Isimani 2016/17
33,171,317
 
33,171,317
33,171,317
 


2.3. CHANGAMOTO

Changamoto zilizojitokeza na kuathiri utekelezaji wa miradi iliyopangwa ni pamoja na:

CHANGAMOTO ZA BAJETI

  • Kutopokelewa kwa fedha kwa wakati
  • Fedha kutopokelewa kulingana na bajeti iliyoidhinishwa
  • Kutotengwa kwa fedha za maendeleo katika sekta ya kilimo
  • Hali ya ukame katika baadhi ya maeneo ya Halmashauri
  • Kutorejeshwa kwa fedha zitokanazo na uwindaji wa kitalii na kodi ya ardhi kutoka Serikali kuu
  • Uhaba wa watumishi katika ngazi za  vijiji na kata katika sekta za afya, elimu, mifugo, kilimo na utawala
  • Uhaba wa vitendea kazi hasa magari

CHANGAMOTO ZA MIFUKO YA MAJIMBO

  • Fedha zinazopokelewa ni kidogo ukilinganisha na mahitaji
  • Baadhi ya vigezo vya ukokotoaji wa  ugawaji fedha hizi katika majimbo hauendani na uhalisia
  • Uhaba wa vitendea kazi hasa magari

CHANGAMOTO ZA MATUMIZI YA MFUMO WA KIELEKTRONIK KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

  • Kutokuwepo kwa mashine za kukusanyia mapato kila kijiji (POS)
  • Baadhiya miamala kutoonekana katika mashine kuuu  makao makuu ya Halmashauri

CHANGAMOTO ZA KUTOFANYIKA KWA MIKUTANO YA KISHERIA YA VIJIJI

  • Baadhi ya vijiji kutokua na watendaji na wenyeviti wa vijiji
  • Mahudhulio hafifu ya wananchi katika mikutano ya hadhara

Naomba Kuwasilisha

Robert Masunya

Mkurugenzi Mtendaji (W),

Iringa

Matangazo

  • Matokeo ya Kidato cha pili na Kidato cha nne 2020 haya hapa January 15, 2021
  • TANGAZO UPANGISHWAJI WA MAJENGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA. December 14, 2020
  • UZINDUZI WA BARAZA LA MADIWANI 2020/2025 December 14, 2020
  • Tangazo la ujio wa Madaktari bingwa kutoka Ujerumani katika Kituo cha Afya cha Ifunda Mission. February 06, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Muwezezaji wa Mrati wa World Vision Wasa Bi.Gaudencia Mushi akiwa katika picha ya pamoja na wazazi na watoto waliopatiwa vitimwendo katika kata ya Wasa

    November 26, 2020
  • Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Richard Kasesela pichani akifungwa skafu na skauti alipowasili katika shule ya Sekondari Ilambilole

    November 04, 2020
  • Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Richard Kasesela pichani akifungwa skafu na skauti alipowasili katika shule ya Sekondari Ilambilole

    November 04, 2020
  • Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Richard Kasesela akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua baraza la watoto la Halmashauri ya Wilaya

    October 20, 2020
  • Tazama zote

Video

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya azindua rasmi ghala la Isele
video

Viungo vya haraka

  • Dashibodi ya Mapato
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Gangilonga

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0767778106

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa