• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Livestock

               

IDARA YA MIFUGO NA UVUVI

 
  • UTANGULIZI
  • Kutambua, kusajili na kutoa leseni kwa vyombo vya uvuvi.
    Kuelimisha wavuvi na jamii juu ya usimamizi shirikishi wa mialo (BMU’s), udhibiti wa uvuvi haramu na utunzaji wa mazingira ya mazalio ya samaki.
    Kuratibu na kusimamia doria za kudhibiti uvuvi haramu katika bwawa la Mtera.

  • SEKTA YA UVUVI
    Kuratibu na kusimamia utendaji kazi wa wadau wa sekta ya mifugo wanaotoa huduma mbalimbali za maendeleo ya mifugo, kwa mujibu wa sheria na taratibu.
    Kushirikiana na asasi mbalimbali za utafiti kufanya utafiti wa mifugo na kupokea na kusambaza matumizi ya matokeo ya tafiti mbalimbali kwa wadau wa sekta ya mifugo.
    Kukusanya, kutunza na kutoa takwimu na taarifa sahihi za maendeleo ya mifugo
    Kusimamia na kuendeleza rasilimali zinazotumika kuendeleza ufugaji
    Kusimamia na kutekeleza sera na sheria mbalimbali zinazohusu maendeleo ya mifugo.
    Kushirikiana na wadau mbalimbali kudhibiti kutokea na kuenea kwa magonjwa ya mifugo.
    Kutoa mafunzo/elimu kwa wafugaji na wataalamu wa ugani juu ya teknologia mbalimbali za ufugaji bora na wa kisasa.
    Kutoa ushauri na kuwawezesha wafugaji juu ya ufugaji bora, wenye tija na wa kibiashara.

  • SEKTA YA MIFUGO
    MAJUKUMU YA IDARA YA MIFUGO NA UVUVI

    • Kuendeleza ufugaji wa samaki wenye tija katika mabwawa ya kuchimbwa kwa wakulima na wafugaji 
    • Na.
      AINA YA MIUNDOMBINU
      IDADI
      1
      Minada ya mifugo
      7
      2
      Majosho
      63
      3
      Malambo
      9
      4
      Mabirika
      16
      5
      LDC
      4
      6
      Holding ground
      4
      7
      Machinjio ndogo
      7
      8
      Vituo vya machinjio
      49
      9
      Mabanda ya ngozi
      7
      10
      Mabwawa hai ya samaki
      299











    • MIUNDOMBINU YA MIFUGO NA UVUVI

    •  
    •                                                                                                                                                                                                                                                        
    •                                                                                                                                                           
  • Bata
    Sungura
    Kanga
    Punda
    Mbwa
    Farasi
    ngamia
    Paka
    2,455
    4,182
    4,205
    5,749
    13,425
    58
    42
    1,421
    Ng’ombe
    Mbuzi
    Kondoo
    Nguruwe
    Kuku
    Asili
    Maziwa
    Asili
    Maziwa
    Asili
    Kisasa 
    159,471
    9,616
    108,947
    204
    46,715
    38,281
    523,450
    205,883

     

    2.1. TAKWIMU ZA MIFUGO


    •                                                                                                                                                                                                                                               
    •  HALI YA HEWA
  • Hali ya hewa ya wilaya hubadilika kulingana na mwinuko. Kwa ujumla wilaya iko katika mwinuko wa kati ya mita 900 na 2,700 kutoka usawa wa bahari, ikipata mvua kati ya mm 500 na 1,500 kwa mwaka; na jotoridi kati ya digrii 15C – 30C kwa mwaka. Hali ya hewa ya wilaya inaweza kugawanywa katika kanda  za ukanda wa juu na kati pamoja na ukanda wa chini.
  • 3.1 UKANDA WA JUU NA KATI

Ukanda huu uko kati ya mita 1,200 na 1,600 kutoka usawa wa bahari na hupata wastani wa mvua kwa mwaka kati ya mm 600 na 1,500 ukiwa na jotoridi kati ya nyuzi  degree 15c – 25c. Ukanda huu una vilima vya mtawanyiko, maeneo tambarare yenye madimbwi ya maji; na unahusisha maeneo ya Tarafa za Kiponzelo, Kalenga, Mlolo pamoja na kata ya Kising’a  katika Tarafa ya Ismani.

Ukanda huu unafaa kwa ufugaji wa ng’ombe wa maziwa na nyama, kondoo, mbuzi, punda, sungura, simbilisi, nguruwe, kuku pamoja na ufugaji wa samaki katika mabwawa ya kuchimbwa na kilimo cha malisho ya mifugo.

  • 3.2 UKANDA WA CHINI 
  • Ukanda huu upo kati ya mita 900 na 1,200 kutoka usawa wa bahari na hupata mvua za kati ya mm 400 na 600 kwa mwaka kukiwa na jotoridi kati ya nyuzi 20 na 30c. Maeneo ya ukanda huu ni pamoja na Tarafa za Pawaga, Idodi na baadhi ya kata za Tarafa ya Ismani. Ukanda huu una maeneo tambarare na ardhi yenye rutuba.
  • Ukanda huu unafaa kwa ufugaji wa ng’ombe wa nyama (asili na chotara),  punda, kondoo, mbuzi, njiwa, nguruwe na kuku na pia shughuli za uvuvi.
    • SEKTA ZA UZALISHAJI
  • Ufugaji ni moja ya shughuli ya pili ya kiuchumi baada ya mazao ambayo yanawaingizia kipato wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Juhudi zinafanywa na Halmashauri ya Wilaya kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kusambaza Mbegu bora na kuboresha mbari, kwa njia ya uhamilishaji (Artificial Insemination) na madume bora ya mifugo. Halmashauri ya Wilaya ina zaidi ya Hekta 100,064 za malisho ya mifugo zilizotengwa kwa ajili ya wafugaji wadogo katika vijiji 134.

    4.1 MIFUGO


    • Aidha Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imeweka mazingira mazuri yanayovutia wawekezaji wa mitaji mikubwa katika sekta ya mifugo, idadi ya mashamba makubwa ya mifugo 15 (ng’ombe wa maziwa, ng’ombe wa nyama, mbuzi, kondoo, nguruwe na kuku) na viwanda 4 vya kuchakata nyama 1 na kutengeza vyakula vya mifugo 2 na kutotoresha vifaranga 1. Fursa kubwa ya ufugaji inachangiwa na hali ya hewa inayostawisha mifugo katika Halmashauri.
    • Ufugaji unafanyika katika kanda zote 3 za juu, kati na chini. Mifugo hiyo ni pamoja na ng’ombe wa maziwa na nyama, kondoo, mbuzi, punda, sungura, simbilisi, nguruwe, kuku.
    • 4.2 Uvuvi
  • Uwepo wa Bwawa hili umekuwa na faida kwa jamii kwani umewezesha shughuli za uvuvi na kuwaongezea wananchi kipato na kuboresha lishe katika katika jamii.

    Shughuli za uvuvi hufanyika katika Bwawa la Mtera ambalo lina ukubwa wa kilomita za mraba 660, lipo katika eneo linalozunguka Halmashauri za Wilaya za Chwamwino na Mpwapwa katika mkoa wa Dodoma na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa katika Mkoa wa Iringa. Aidha Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ina eneo la kilomita 220 za bwawa la Mtera. Eneo la Bwawa la Mtera katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa linajumuisha kata ya Migoli katika vijiji vya Kinyali, Mbweleli, Makatapora, Mtera, Migoli na Mapera na kata ya Izazi katika vijiji vya Mnadani na Makuka.


    • Aidha, Halmashauri ina mabwawa ya ufugaji wa samaki 299 yaliyopandwa samaki kwa lengo la kuboresha lishe na kipato katika kaya kwenye Tarafa za Kiponzelo, Mlolo, Kalenga, Idodi na Pawaga. 
  • Endapo fursa zilizoanishwa hapo juu zitapata wadau wa uwekezaji zitafungua uchumi na maendeleo kwa wananchi, Halmashauri, Mkoa na Taifa kwa ujumla katika kuongeza ajira kwa vijana na kipato katika za uzalishaji za mifugo na uvuvi.

    6.0     HITIMISHO

    Bottom of Form

    Top of Form

    Fursa za upatikaji wa malighafi za kutengeneza pembejeo hizi zinapatikana katika Halmashauri na ndani ya nchi. Aidha vijana na wawekezaji wanakaribishwa kuwekeza kwenye maeneo hayao.

    Halmashauri ina uhitaji mkubwa wa pembejeo za kilimo na mifugo kutokana na uwekezaji wa wakulima na wafugaji wakubwa na wadogo. Mahitaji makubwa ni katika mbolea, zana za kilimo, viuatilifu, madawa ya mifugo ambayo hutajika kwa kiwango kikubwa.

    5.6 VIWANDA VYA PEMBEJEO ZA MIFUGO NA UVUVI.

    Uwekezaji hasa katika kuchakata mazao ya kilimo na mifugo ni kipaumbele cha Halmashauri ina mazingira wezeshi na yanazidi kuboreshwa kwa ajili uwekezaji wa viwanda.

    Halmashauri  ina malighafi nyingi kwa ajili ya uzalishaji wa chakula cha mifugo na samaki kama vile mtama, mahindi, choroko, soya, karanga na alizeti .Vijana  na wawekezaji wanakaribishwa kuzalisha chakula cha mifugo na samaki hasa chakula cha ng'ombe, nguruwe, mbuzi, kuku, samaki nk.

    Hili ni eneo linalohitaji kuendelezwa maana kuna uhitaji mkubwa wa chakula cha mifugo na samaki.

    5.5 UCHAKATAJI WA CHAKULA CHA MIFUGO NA SAMAKI

    Vifungashio vitatoa fursa ya kutangaza jina la biashara na hivyo kuongeza ushindani wa bidhaa zinazozalishwa.

    Kwa sasa vifungashio vilivyopo kwa kiasi kikubwa havikidhi ubora wa masoko mbalimbali. Kuna fursa kubwa ya kuzalisha vifungashio kama vile mifuko maalum ya kuhifadhi bidhaa zilizosindikwa kama maziwa (mtindi, yoghurt, fresh milk, siagi), nyama na samaki.

    Kiasi kikubwa cha uharibifu wa chakula na bidhaa za mifugo na uvuvi nchini ni kwa sababu ya ukosefu wa vifungashio stahiki. Kuwekeza katika uzalishaji wa vifungashio ni fursa ya wazi na itasaidia kuwa na utoshelevu wa chakula pamoja na kuondoa umaskini.

    5.4 VIFUNGASHIO

     

    Uwekezaji unaweza kuwa katika uchakataji wa samaki, nyama, maziwa na ngozi. Vijana  na wawekezaji wanakaribishwa kuwekeza katika fursa hizi.

    Uhitaji wa bidhaa bora zilizochakatwa (bidhaa za) nchini umeendelea kuongezeka. Soko la bidhaa za mifugo na samaki zilizochakatwa linazidi kukua ndani na nje ya nchi. Soko lipo ndani ya nchi na  katika nchi jirani kama vile Zambia, Zimbabwe, Burundi, Kongo, Rwanda, Kenya, Sudani ya Kusini, na Uganda.

    5.3 UCHAKATAJI NA USINDIKAJI WA MAZAO YA MIFUGO NA UVUVI

    Vijana na wawekezaji wanakaribishwa kujihusisha katika usafirishaji wa bidhaa hizi  na uhifadhi ili kutatua changamoto ya upungufu wa chakula katika baadhi ya maeneo na kuchochea biashara ya ndani na  nje ya nchi.  Serikali imeboresha mazingira ya biashara ikiwa ni pamoja na kuondoa kodi zisizo na tija na kurahisisha upatikanaji wa leseni.

    Aidha katika Halmashauri kuna fursa ya kuwekeza kwenye miundombinu ya  uhifadhi wa vyumba vya ubaridi (cold rooms) kwa maziwa,  nyama pamoja na samaki katika bwawa la  kwa ajili ya kuboresha ubora.

    Halmashauri ina fursa katika usafirishaji wa mazao ya mifugo na uvuvi kutoka Iringa kwenda maeneo yenye upungufu ndani ya nchi kama Dodoma, Dar Es Salaam, Singida,  Arusha, Kilimanjaro, Zanzibar  na nje ya nchi kama vile Malawi, Kongo, Uganda, Kenya, Sudani ya Kusini, na Zambia

    5.2 USAFIRISHAJI NA UHIFADHI WA MAZAO YA MIFUGO NA UVUVI

     

    Kutokana na mazingira mazuri ya uwekezaji  vijana na wawekezaji wamejiari katika ufugaji ikiwa ni vipaumbele vya Halmashauri

    Halmashauri ina ardhi ya kutosha yenye rutuba, hali nzuri ya hewa na miundombinu mizuri ya barabara, umeme, masiliano ya simu ikiwa ni pamoja na vyanzo vya uhakika vya  maji. Kutokana na uwepo wa mto Ruaha Mdogo na vyanzo vingine,  kunatoa fursa nzuri kwa wawekezaji na vijana kushiriki katika ufugaji bora na  kibiashara kama ufugaji wa ng’ombe wa maziwa, wa nyama, mbuzi wa maziwa na nyama, kondoo, kuku wa nyama na mayai, nguruwe na samaki. Ukuaji wa idadi ya watu nchini na duniani kote unatoa fursa kwa ajili ya  chakula bora aina ya nyama, maziwa, mayai samaki ndani na nje ya nchi.

    5.1 UFUGAJI WA MIFUGO KISASA NA KIBIASHARA

    Fursa za uwekezaji katika sekta ya mifugo na uvuvi zinavutia wawekezaji wa mitaji na hivyo kuongeza ajira, kipato na kukuza uchumi katika Halmashauri na  jamii.

    5.0 FURSA ZA MIFUGO NA UVUVI 

  MIUNDOMBINU YA MIFUGO NA UVUVI

SNo
AINA YA MUUNDOMBINU
IDADI
1
Minada ya mifugo
6
2
Majosho
50
3
Malambo
9
4
Mabirika
13
5
LDC
4
6
Holding ground
4
7
Machinjio ndogo
6
8
Vituo vya machinjio
47
9
Mabwawa ya samaki
119
10
Mabanda ya ngozi
6
  •  
  • IDADI YA MIFUGO
Kata Ng’ombe
Mbuzi
Kondoo
Punda
Nguruwe
 Kuku
Jumla
Asilimia
Kalenga
13,903
3,607
2,130
401
2,984
85,263
108,288
12
Mlolo
16,119
1862
1028
173
17,326
116,289
152,797
17
Kiponzero
16,377
2,449
875
28
9,462
110,260
139,451
15
Idodi
24,656
25,133
8,256
332
735
72,373
131,485
14
Pawaga
36,128
17,742
5,840
477
535
54,659
115,381
13
Isimani
48,172
52,636
18,631
1385
5,117
134,804
260,745
29
Jumla kuu
155,355
103,429
36,760
2,796
36,159
573,648
908,147
100

Ismani inaongoza tarafa nyingine kwa asilimia 28.7 katika takwimu za mifugo kiwilaya ikifuatiwa na tarafa ya Mlolo(16.8%), kiponzelo (15.4%), Idodi (14.5%), Pawaga (12.7%) na tarafa ya kalenga yenye asilimia 11.9.

  •  

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa