• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Water

Halmashauri inatekeleza miradi ya maji katika vijiji 10 chini ya “Program” ya Maji (Rural Water Supply and Sanitation Programme – RWSSP). Vijiji vifuatavyo vimechaguliwa; Igangidung’u, Malinzanga, Kikombwe, Mfyome, Itengulinyi- Lumuli, Isupilo na Weru.

Vijiji vya Izazi na Migoli vimeingizwa baada ya vijiji vya Chamundindi na Ikengeza kujengewa mradi wa maji wa Ismani kwa ufadhili wa Serikali ya Italia.

Ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Igangidung’u umekamilika kwa 100% na miradi ya maji mingine 7 wakandarasi wanaendelea na ujenzi ambapo Utekelezaji wake upo katika hatua kama ifuatavyo;

Mradi wa Maji wa Mtiririko katika kijiji cha Malinzanga hatua iliyofikiwa ni kama ifuatavyo;

-        Ujenzi wa Mtego wa Maji (Intake) umekamilika

-        Ujenzi wa vituo 26 vya kuchotea Maji umekemilika

-        Ujenzi wa Tanki la kuifadhia Maji la ardhini lenye ujazo wa lita 150,000 umekamilika

-        Ujenzi wa Ofisi kwa ajili ya Jumuiya ya watumiaji Maji umekamilika

-        Ujenzi wa birika la kunyweshea mifugo umekamilika

-        Uchimbaji wa mtaro kwa ajili ya kulaza mabomba umbali wa kilometa 23 umekamilika

-        Kazi ya ununuzi wa bomba inaendelea

Kwa wastani utekelezaji wa Mradi huu wa kijiji cha Malinzanga.

Mradi wa Maji wa Kupampu wa kijiji cha Kikombwe hatua iliyofikiwa  ni kama ifuatavyo;

-        Ujenzi wa Mtego wa Maji (Intake) umekamilika

-        Ujenzi wa Tanki dogo lenye lita 10,000 (SampTank) la kuhifadhia Maji baada ya kuvutwa na mashine kutoka kwenye Mtego wa Maji umekamilika.

-        Ujenzi wa Tanki la kuhifadhia Maji la ardhini lenye ujazo wa lita 150,000 umekamilika

-        Ujenzi wa nyumba ya kuifadhia pampu (Pump House) umekamilika

-        Ujenzi wa vituo 15 vya kuchotea Maji umekamilika.

-        Uchimbaji wa mtaro kwa ajili ya kulazia mabomba kilometa 16 umekamilika

-        Ujenzi wa birika la kunyweshea mifugo umekamilika

-        Ujenzi wa Ofisi kwa ajili ya Jumuiya ya Watumiaji Maji umekamilika

Mradi wa Maji wa kupampu katika kijiji cha Mfyome shughuli zilizofanyika ni;

-        Ujenzi wa Ofisi kwa ajili ya Jumuiya ya watumiaji Maji umekamilika

-        Uchimbaji Mtaro na ulazaji wa mabomba umbali wa kilometa 12 umekamilika

-        Ujenzi wa vituo 17 vya kuchotea Maji umekamilika

-        Uchimbaji wa visima virefu 2 umekamilika na Maji yamepatikana

Kwa wastani utekelezaji wa Mradi huu wa Maji katika kijiji cha Mfyome umefikia 90%.

 

Mradi wa Maji wa Mtiririko katika vijiji vya Itengulinyi, Isupilo na Lumuli ambao unajulikana kwa jina la Isupilo “Grouped Scheme” umetekelezwa kwa;

-        Ujenzi wa Ofisi kwa ajili ya Jumuiya ya watumiaji Maji umekamilika

-        Ujenzi wa intake unaendelea

-        Uchimbaji mtaro na ulazaji mabomba unaendelea

-        Ujenzi wa matanki ya kuhifadhia maji unaedelea

Kwa wastani utekelezaji wa Mradi huu wa Maji katika vijiji vya Itengulinyi, Isupilo na Lumuli.

 

Mradi wa Maji wa Mtiririko katika kijiji cha Weru shughuli zilizofanyika ni kama ifuatavyo;

-  Ujenzi wa mitego miwili (2) ya Maji (Intake) umekamilika

-  Ujenzi wa matanki mawili (2) ya kuhifadhia Maji ya ardhini moja lenye Ujazo wa lita 50,000 na lingine lita 25,000 umekamilika.

-  Ujenzi wa vituo 10 vya kuchotea Maji umekamilika.

-  Ujenzi wa Ofisi kwa ajili ya Jumuiya ya Watumiaji Maji umekamilika

-  Uchimbaji mtaro na ulazaji mabomba unaedelea

-  Ujenzi wa intake unaendelea

-  Ujenzi wa matank ya maji umekamilika.

Kwa wastani utekelezaji wa Mradi wa Maji wa kijiji cha Weru umefikia 85%. Mradi wa Maji wa Mtiririko wa kijiji cha Malagosi unaofadhiliwa na wastaafu wawili Raia wa Canada Bob & Hellen bado unaendelea na shughuli zilizofanyika ni kama ifuatavyo.

-    Ujenzi wa Tanki la kuhifadhia Maji la ardhini lenye ujazo wa lita 50,000 umekamilika.

          -    Ujenzi wa Mtego wa Maji (Intake) umekamilika

Kwa wastani utekelezaji wa Mradi wa Maji wa kijiji cha Malagosi umefikia 60%. Mradi wa Maji wa Mtiririko wa kijiji cha Ihomasa unaofadhiliwa na kanisa la Anglicani Dayosisi ya Ruaha kupitia shirika la “Emmanuel International” bado unaendelea na shughuli zilizofanyika ni Ujenzi wa Mtego wa Maji (Intake) ambayo imekamilika

Kwa wastani utekelezaji wa Mradi huu wa Maji katika kijiji cha Ihomasa umefikia 40%.

Uchimbaji wa visima viwili (2) katika kijiji cha Mtera, Makatapora na Kinyali unaofadhiliwa na shirika la UNICEF umekamilika na Maji yamepatikana. Mradi wa maji wa Ismani bado unaendelea na ukarabati chini ya ufadhili wa Serikali ya Italia.

 

 

 

 

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa