• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mafanikio ya Uhifadhi Yaguse Maisha ya Wananchi

Imewekwa : December 19th, 2025

DC IRINGA: MAFANIKIO YA UHIFADHI YAGUSE MAISHA YA WANANCHI

Mkuu Wa Wilaya ya Iringa Mhe. Benjamini Sitta amesema kuwa mafanikio ya jumuiya ya MBOMIPA yanatakiwa kugusa maisha ya wananchi moja kwa moja na miradi isimamiwe ipasavyo ili kutoa matokeo Chanya.

Mhe. Ameyasema hayo wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka na uwasilishaji wa taarifa yam waka 2024/2025 ya maendeleo ya Jumuiya hiyo ya MBOMIPA. Mkutano huo umefanyika Desemba 19, 2025 katika Ukumbi wa Chuo Kikuu Huria Manispaa ya Iringa.

Amesema kuwa mafanikio ya uhifadhi yanaongezeka na yanatakiwa kugusa maisha ya mwananchi mmoja mmoja nasiyo kutumika kwenye shughuli zisizokuwa naa manufaa huku akiagiza miradi isimamiwe na kutoa matokeo yaliyo bora 

Taarifa ya uwasilishwaji huo inaeleza kuwa, mapato ya jumuiya hiyo yameongezeka kutoka Milioni 64 mwaka 2022/2023 hadi milioni 700 mwaka 2024/2025 na kupelekea mgao wa fedha kwa vijiji kuongezeka kutoka  Milioni 30 kufikia Milioni 258 na kusaidia kuboresha huduma za kijamii ikiwemo  miundo mbinu , ajira kwa vijana , na afya kwa kutoa bima za afya kwa kaya 105.

  

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI JIMBO LA KALENGA & ISMAN October 12, 2025
  • Happy Nyerere day October 14, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mafanikio ya Uhifadhi Yaguse Maisha ya Wananchi

    December 19, 2025
  • Kituo cha Mahuninga Kuzinduliwa Januari

    December 18, 2025
  • ELIMU YA LISHE KWA VITENDO ITOLEWE MASHULENI KUJENGA UELEWA - NDG. MASUNYA

    November 27, 2025
  • IRINGA DC YASAINI MKATABA WA BVC NA VIJIJI VYA BOMALANG'OMBE NA LYAMKO

    November 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa