• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KATIBU TAWALA WILAYA YA IRINGA APONGEZA UFAULU KIDATO CHA SITA

Imewekwa : July 9th, 2025


Ahimiza matumizi sahihi ya mifumo mbalimbali  kwa wa watumishi ili kuendana na kasi ya sasa ya Sayansi na teknolojia na hivyo kutoachwa nyuma hususani mfumo wa tathmini.

Katinu Tawala wa Wilaya ya Iringa Ndugu Bernard Urassa ametoa pongezi kwa walimu na wadhibiti ubora wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa ufaulu mzuri kufuatia matokeo ya Mtihani wa kidato cha Sita yaliyotoka hivi karibuni.

Ndugu Urassa amezungumza hayo alipokuwa akifungua mafunzo ya mfumo wa tathmini uthibiti wa ubora kwa walimu yaliyofanyika katika ukumbi wa Sias ani Kilimo Julai 09, 2025.

Aidha Ndugu Urassa ametoa wito kwa watumishi kuhakikisha kuwa wanaendana na kasi ya mifumo mbalimbali katika zama hizi za sayansi na teknolojia na hivyo kutoachwa nyuma.

Kwa upande mwingine katibu wa CWT Wilaya ya Iringa ameunga mkono pongezi za katibu Tawala wa Wilaya ya Iringa Ndugu Urassa na kuongeza kuwa hiyo ni kazi kubwa inayofanywa na walimu wanaojituma hadi usiku na hivyo kuomba kuwa kuna haja ya kuangalia upya maslahi ya walimu hawa ikiwemo kutokuwekewa makato kwenye nyumba wanazoishi ili kuwapa hamasa ya kujituma zaidi.

Mafunzo haya ya tathmini yameandaliwa na Idara ya Uthibiti Ubora ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ambayo inatekeleza tathminiza jumla, ufuatiliaji na maalumu katika asasi 203 yaani shule za awali na msingi na sekondari.

Matangazo

  • KARIBU IRINGA MHE. SITTA June 30, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATIBU TAWALA WILAYA YA IRINGA APONGEZA UFAULU KIDATO CHA SITA

    July 09, 2025
  • DC IRINGA MHE. BENJAMIN SITTA APOKELEWA NA KUKABIDHIWA OFISI

    June 30, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA ESS YATOLEWA KWA WATUMISHI IRINGA DC

    June 25, 2025
  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa