• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

77 Yafana Katika Viwanja vya Sabasaba vya Halima Dendego

Imewekwa : July 11th, 2023

77 2023, Yafana Katika Kata ya Ilolompya

Katika kusherehekea Maadhimisho ya Kilele cha Sikukuu ya Sabasaba, wananchi wa Kata ya Ilolompya wameomba Kiwanja cha Sabasaba kuitwa jina la “Kiwanja cha Sabasaba cha Halima Dendego” ili kutoa heshima kwa kiwanja hicho, kwa sababu ni mara ya kwanza Mkuu wa Mkoa wa Iringa wa kwanza kukanyaga kiwanja hicho.

Tukio hilo limetokea Julai 10, 2023 katika Kuadhimisha Siku ya Kilele cha Maadhimisho ya Sabasaba, na kwamba ombi hili limetolewa na Diwani ya Kata ya Ilolompya kwa niaba ya wananchi.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendego amesema kuwa, “nimefurahishwa na maandalizi ya Maadhimisho haya, kwani imefanya kuamsha ari ya wananchi kujitokeza kuonesha biadhaa zao na mambo mengi ya utamaduni”. Pia nimekubali uwanja huu uitwe Uwanja wa Sabasaba wa Halima Dendego”.

Pamoja na mambo mengine Mheshimiwa Dendego ametoa maagizo kwa Mkurugenzi kuwa, aanze maandalizi ya upimaji wa kiwanja hicho na kwamba ujenzi wa kiwanja uanze mara ifikapo Septemba 30.

“Uwanja huu ukijengwa utakuwa uwanja wa Maonesho ya Sabasaba na Nanenane kila mwaka. Kimkoa tutafanya maadhimisho haya katika viwanja hivi ili wananchi waje waoneshe bidhaa zao na kuongeza kipato”.

Akisoma taarifa fupi wakati wa Maadhimisho hayo Diwani wa Ilolompya Mheshimiwa Fundi Mihayo amesema, “pamoja na mafanikio mbalimbali yaliyopatikana katika maeonesho hayo, kuna changamoto ambazo haziishi kama, ugomvi kati ya wakulima na wafugaji na kuhitaji suluhu ya kudumu, umeme wa uhakika, mitandao (minara), vyombo vya fedha (benki) na usafiri” ni changamoto kubwa kwa Tarafa ya Pawaga”.

Pia wananchi wamomba kijiji cha Isele kuwa Lango la kuingilia Hifadhi ya Ruaha kwa ajili ya kuendeleza utalii, na kuongeza utalii wa utamaduni (ngoma na vyakula vya asili) katika Tarafa ya Pawaga.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Veronica Kessy amesema kuwa, changamoto zote zilizowasilishwa zimepokelewa na baadhi yake zimeanza kufanyiwa kazi.

Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji (W), Bi. Lucy Nyallu amewashukuru wananchi wa Kata ya Ilolompya kwa kuandaa maadhimisho hayo wakiongozwa na Mhe. Diwani pamoja na Wadau mbalimbali. Pia ameahidi kufanyia kazi maagizo yote yaliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa.

Katika Kilele cha Maadhimisho hayo, Mheshimiwa Dendego ameweza kushuhudia fainali za michezo mbalimbali ikiwepo ngoma za asili na kandanda. Mechi ilikuwa kati ya Kata ya Mlowa Kijiji cha Malinzangana Kata ya Ilolompya kijiji cha Magozi, ambapo kijiji cha Magozi kiliibuka mshindi na kupata zawadi ya kiasi cha Shilingi Milioni Moja na Laki Tano (Tsh. 1,500,000/-).

  

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa